Kweli kabisa chadema kimechuja hatukitaki tena kabisa kabisa.
Nimesoma makakala yako na nadhani nimeielewa vizuri.there is nothing in between the lines, the whole of your story is clear.nianze kwa kusema kama CHADEMA wasinge chukua busara ya kuwa a bit conservative napenda nikuhakikishie kuwa chama hiki kingekuwa kimesambaratika.Na hii conservatism ya chama ndio umekuwa mhimili wa uimara wa chama.Wakiridhika na mwenendo wa mwanachama, anapewa heshima zote na kupewa majukumu kulingana uwezo,umri na namna anavyo kilinda na kukitetea chama hadharani na hata akiwa mafichoni.
Hivi Dr mkumbo umewahi kujiuliza kwanini ZZK anataka kuwa mwenyekiti wa chama hiki kikubwa na chenye maadui wengi kutoka chama tawala? binafsi nilikuwa napata mashaka kuona ZZK yuko serious na utaka uenyekiti wa CHADEMA kwa udi na uvumba tena kabla ya 2015!! kweli? alikuwa na nia njema huyu? Hata kama alikuwa na nia njema,kwa maoni yangu ZZK hana mapenzi ya dhati kwa CHADEMA,si mfia chama.Mara ngapi amekisaliti chama wakati collective responsibility inahitajika BUNGENI? mara ngapi ameshiriki mikutano ya M4C? Halafu leo zitto huyu apewe chama haiwezekani.ZZK ATAFUKUZWA NA CHAMA HAKITATETEREKA.Amini usiamini chama hiki kina viongozi makini na wanachama makini.Mtu yeyote akijifanya ni mashuhuri kuliko CHAMA lazima aoneshwe mlango wa kutokea.zzk anakiburi kisicho na maana.Huwezi kudharau viongozi walio kujenga halafu ukabaki salama.utafukuzwa tu.
ZZK ananikumbusha jeuri aliyo kuja nayo marehemu TUNTEMEKE SANGA(R.I.P),Kwakuwa alikuwa msomi akamtaka Mwl ampe uwaziri mkuu wakati hajui waliopo walipata ugumu gani kuifikisha Nchi hapo alipo ikuta.arrogance gani hii?hata alipobembelezwa apewe ukuu wa mkoa akakataa!! anautaka uwaziri mkuu. Nyerere akasema huna adabu,akatiwa ndani kuwekwa kizuizi cha kijijini kwake takribani miaka 20! Sasa ndio haya ya ZZK. kuwa naibu katibu mkuu hakutosheka anataka uenyekiti,kwa umri wake haya ni madaraka makubwa sana kwake.Na kwa hakika baadhi yetu tupo CHADEMA kwasababu tunaridhika na ukomavu wa viongozi wa juu wa chama. siyo ZZK.
Ushauri wangu kwa zitto,kwanza aoe,na kama kweli amedhamiria kuwa maisha yake yatakuwa katika siasa basi ajifunze uvumilivu na kuheshimu kanuni,sheria na taratibu za chama.kuwa msomi siyo lazima uwe na madaraka katika vyama vya siasa! that is an added advantage,the most important thing is wisdom!! yes, wisdom.
Naomba nisamehe kwa kuleta hoja dhaifu, ila nadhani hujanielewa, sikatai kuhama chama na kweli siasa sio uadui. Mimi mtazamo wangu ni kwamba walipokuwa chama hiki walikiona kile ni kibovu, walipohamia kwenye ubovu hatuoni ubunifu wao na changamoto mpya, wamewazidi hata waliowakuta huko kwa siasa zisizo na tija. Mimi nilitarajia wangepeleka mabadiliko mapya kwani madhaifu ya ccm walikuwa wakiyajua toka wakiwa cdm. Sasa wao wamegeuza ni uhasama badala ya kujenga chama chao kipya!!!usitoe hoja dhaifu mkuu ktk siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu..machali anasema ni upepo tu upitao..kubadili chama ni kawaid...shibuda alikuwa ccm nw ni cdm..je alikuwa kibaraka wa chadema hapo awali.....yule katibu wa ccm Arusha aliyehamia chaedema baada ya nassari kuwin Arumeru mashariki je alikuwa kibaraka wa chadema.........iweje ukihama kutoka ccm kwenda CDM iwe sahihi na kutoka CDM kwenda CCM uwe msaliti......hii ndio demokrasia na uheshimu wa haki za binadamu tunaoupigania....................mimi naamini ukombozi wa mtamzania haupo ktk Ballot pper au box...upo kichwani mwake...na ndiomaana tunatumia fedha nyingi nyakati za uchaguzi kusha madege ............lakini hukuti tukitoa michango kuchenga hata public libraries watu wasome vitabu waondokane na ujinga...tunawaburuza na kuwaaminisha...........CCM imeamisha watu bila yenyewe hamna amani..watu wanaandamana na mabomu yanapigwa ccm inapata credit wao hawaandamani kwani ni watu wa amani...----!!!!!!!!!! wengine ndio watu wa vurugu...vyama vyetu vimeshindwa kuutegua mtego huo.........shida 2pu
So Kitila Mkumbo you need mbadala wa CDM na CCM, kwa hiyo mlitaka muangamize CDM ili muelekee kwa huyo mbala. Acheni uhuni bhana.
Wakati wa uchaguzi 2010 kampeni zinaendelea. Zitto alikuwa busy kutangaza atagombea Urais 2015. Was it right timing? Acheni uhuni na kuaminisha wananchi ujinga.
Ndio Zitto alitaka kugombea Uenyekiti wa CDM, Kitila nakwambia kwamba, huyo Zitto wako angepata Uenyekiti leo CDM isingekuwepo.
Endelea kutuletea porojo zako unadhani wote ni mabwege.......
ungekua na akili japo kidoooogo tu wala usingejisumbua kuandika comment ya kijinga kama hii.Mbadala wa CDM? Kwa hiyo mabadiliko 2013 ilikuwa ni kuleta mbadala wa CDM? Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri nia ni kuleta chama kingine cha siasa ili kiwe mbadala ! Kama ni hivyo viongozi na wanachama wote wa CDM wanahaki zote kuwaita wasali, wahaini kwani nia yenu ilikuwa kuuwa CDM na kuanzisha mbadala. Je huoni mlikuwa hamuwatendei haki wale waliokubaliana na CDM, sera, taratibu , katiba, nk. Ni vyema mkaanzisha mbadala mkaendesha kwa vile mnavyoona inafaa ndio maana ZZK anatakiwa atoke mwenyewe kama anafikiri kama unavyofikiri asisubiri tsunami kwani lazima imbebe.
Tumeikataa CCM kwasababu inakumbatia makosa kwa kuogopa watu eti watayumbisha nchi. Lazima tujifunze kutoa adhabu na kupokea adhabu lazima tuanze na ZZK ili kutengeneza std zinazokubalika. NCCR haikuwa taasisi ilikuwa ni viongozi wenye uchu mkubwa sana wa madaraka na fedha, usalama wa taifa nk. Mazingira yamebadilika sana hatuwezi kuacha kuadhibiana kwa kuogopa kivuli cha NCCR. Dr ingebidi kwanza useme wazi je kwenye sakata lenu kwa vyovyote vile mlivunja katiba ya chama na kama mlivunja adhabu yake ilikuwa nini kwa mujibu wa katiba?
Lazima tuzifuate sheria zetu tulizokubaliana nazo. Sioni upofu wa wanachama ila naona tamaa ya tuliowaamini.
kama watanzania wote tungekuwa tunafikiri kwa mtazamo huu au mpana zaidi ya huu nchi hii ingekuwa mbali sana.makosa au mapungufu ya viongozi wa cdm yakisemwa hadharani basi utasikia mlinganisho na mtu wa ccm,sasa unajiuliza ya nini kuwaondoa ccm madarakani kama hao hao ndio role modo wenu?Ulichoongea ndio hasa tatizo la CDM sasa hivi, utajiita vipi chama cha demokrasia kama role model wako ni Nyerere?Utajiita vipi mwana DEmokrasia halisi kama kigezo chako cha kushindanisha watu kwenye uchaguzi ni Umri na Uzoefu?demokrasia halisi inatakiwa iwe open,kwa maana ya kutokuwweka vizingiti kwenye ushiriki hasa wa uhcaguzi.Kama ZITTO hana ushawishi au hafai hii si kwa mwenyekiti na katibu au CC kuamua, hii ni kwa wanachama wa CDM kuamua, mbona ni kitu rahisi sana.
Nyerere ni mmoja kati ya viongozi wenye ahueni kubwa kama sio bora zaidi, Tanzania imewahi kupata so far, lakini siwezi kumuita mwana demokrasia halisi, ukizingatia alikaa madarakani kwa miaka 27!!huyu kama si presure za IMF na umasikini angefia pale.ishukuriwe busara iliyomfanya ang'atuke. Nyerere naye alikuwa na syndrome ya kuona wa chini yake wote hawafai. Simlaumu sana kama kweli walikuwa hawafai, kwani hata ukiitazama CCM sasa hivi, sidhani kama kuna mawaziri/wanachama zaidi ya watano wanaoweza kushindana na JK kwenye poll wakamshinda.Lakini principle ya demokrasia ni pamoja na kung'atuka.
nakubaliana na Dr.Kitila kwa mantiki kuwa wengi tulidhani CDM ni chama mbadala wa CCM na kiko tayari kufanya mambo tofauti ili kuikomboa Tanzania, lakini kosa walilolifanya CDM sasa hivi, wameifanya CCM iwe ndio role model wao,utawasikia makada wao wakiropoka. Mwenyekiti wetu Mzinzi, mbona kapuya Mzinzi,Ebo!!sasa aliyewaambia CCM ni kioo cha kujitazamia ni nani?if CCM is your standard ebarer then we might as well keep the devil we know.
CDM is supposed to be radical and different, and it's leaders are supposed to be standard bearers when it comes to morality, good governance and Democracy.
So far it seems CDM winning stratergy is Populism, this is the only way one can explain MP's like Sugu and Lema. These people can attract crowds and roll in votes.for better or worse if we see CDM in office come 2015/2020, they will have to lead, and that is where the real problem will come to show up.
Dr.Kitila ulikuwa Rais wangu wa Daruso UDSM. Nakumbuka kati ya 96 /97 nilikupa kura yangu! Pia naheshimu sana michango yako kwenye Tv huwa unajitahidi kuongea common sense.
Ila kwa hili brother natofautiana na wewe 100%.
Nakubaliana na hoja ya kuleta mabadiliko kwani ni muhimu siku zote.Kinachonipa shida ni strategy mliyotumia.Haikuwa startegy ya kisomi na haikuwa muafaka especially kwenye politics.
Dr. Kitila hata wewe pamoja na kuhitaji kugrow ili siku moja uje kuwa Mkuu Wa UDSM , its not a one nite job it is a process.Hukurupuki na kuandaa mkakati wa mabadilko ya kumuondoa Prof.Mukandala na bahati mbaya sana ikagundulika and then ukasurvive!.Ladders will be there everwhere bhana!
Procedure mliyotumia inaprotray picture kwamba nyie ni 'wasaliti" na mark my words ina potray to the public nyie mlikuwa, na mnaendelea kuonekana hivyo kwenye jamii kwamba ni watu wa aina gani.
For your information mimi sio Chadema na ninapenda sana mabadilko.Lakini mabadiliko yenye harufu ya mapinduzi, clearly yanngegawa chama zaidi badala ya kujenga.
Ki-ukweli mmechafua CV zenu na credibility.To be trusted even in the future will need an extra work.Ni mjinga tuu au mbumbumbu atakayekuwa tayari kuruhusu mtu ambaye publicly amekubali kufanya changes behind the scenes awe naye kwenye same party or as a member! In short mme-jiexpose!
Najiuliza why didnt you guys influence CC na wanachama wote wa CHADEMA kuwasupport through your harworking, ushawishi mlionao, kujenga hoja za wazi wazi za mabadiliko (bila kuonyesha wazi mnamtaka ZZK).Hivi hizi point mngepeleka kwenye chama in 'a'proper'way zingekataliwa?!!..au hilo halipo huko CDM.Mimi sijui...sababu am not a member na kama halipo the better way mngeanzisha chama na kuhighlighr mapungufu ya CDM ingekuwa pouwa sana.
Najaribu kujiuliza hivi assume CDM ingeruhusu mlicho plan, don't you think mngeruhusu kila kundi linalofikiria kuweka mgombea urais ndani ya chama lingefuata huo mkondo!.That being the case si mngekigawanya vipande vipande hicho chama?
Kwa mtazamo wangu mdogo, ZZK is not a presidential material.
Not now at least.Kuna a lot of immaturity ambazo nyie wenyewe mli ziona kwenye document yenu. In my view he needs to learn to grow himself and be seemed wants the party to grow.
Mimi binasfi nadhani ZZK alikuwa anatumia platform ta CDM kujijenga na kwa hilo alifanikiwa kwa kiasi fulani lakini sio kuwa Rais wa nchi bhana.!
Sihitaji kuandika mkakati wa kuonyesha ZZK sio presidential material kwa sababu he will never win hata ukimweka na Kagasheki aliyejuzulu juzi ..... at least for now.!!! No
amesema hajavunja katiba. na ndo maana alikataa kuomba radhi. rudia kusoma hiyo thread. tatizo lenu mnasoma utafikiri mnaiba.