- pole sana dr. Kitila ila maandishi yako kwangu ninayejua siasa yanaonyesha kwamba wewe sio mwanasiasa, ungekuwa basi usingeandika maneno ya kukata tamaa mapema hivi ulitakuwa kuwa kama zitto kupigana mpaka damu ya mwisho wewe hujapigana, umekalia maneno maneno tu ya kulia lia kama haya yatakusaidia nini? Nani anayasikiliza haya now, watu wanasonga mbele kaka umeshirikana na hawa wahuni huko chadema sasa wamekutema unaleta hizi? Wote huko mlikuwa wammoja ni zitto tu peke yake ndiye hakuwa na nyinyi siku zote na ndio maana mpaka leo anasimama nao na kinaeleweka,
- kitila wewe ndugu yangu sana naomba kukwambia bila kuchanganya maneno wewe sio mwanasiasa ni mbabaishaji, sasa wachana na hii field ya siasa endelea na kufundisha kaka, zitto ni politician sio wewe kaka badilisha field now ulikimbia ccm sasa umekimbizwa chadema, ni wakati wa kuwacha siasa tu ninakwambia hvii kwa sababu ninakuheshimu sana wacha siasa huziwezi kaka!!
Le mutuz