Hivi unajua kuwa Chelsea Clinton ana PhD kutoka Oxford? Sijawahi kuona popote pale akijitambulisha kama Dr.Chelsea Clinton...
Sasa subiri Ridhiwani apewe hata hiyo ya heshima....
Kama habari tayari umeisoma kilichokuleta humu kwenye huu uzi nini!? Au ni kiherehere?
Kama atakuwa amepandishwa atakuwa siyo professor bali ni associate professor. Utofautishe hivi vitu. Huwezi kutoka dr kuwa professor moja kwa moja. Kuna cheo hapo katikati ambacho nimekitaja hapo juu. Ukome kudanganya umma
It's gorgeous! so, far amefanya kazi nzuri kitaaluma (mtazamo ni wangu). Nimesoma machapisho yake hapo juu and to be frank I'm impressed by the knowledge he has contributed to his field of study. I think, asihukumiwe kwa imperfection because it is equally true that we all have perfection fetishes. Muhimu kwake, na wengine ni kuhakikisha jamii inanufaika na elimu aliyonayo.hizo hapo chini ndiyo publications
Publications
Mkumbo, K.A.K (2010). What Tanzanian young people want to know about sexual health; implications for school-based sex and relationships education.pdf Sex Education, 4, 405-412.
Mkumbo, K.A. K. (in press). Students' attitudes towards learning with their peers with disabilities: Implications for inclusive education. Journal of Adult Education in Tanzania.
Mkumbo, K.A.K (2010). Correlates of teachers' attitudes towards and comfort in teaching school-based sex education in urban and rural Tanzania. Papers in Education and Development, 29, 57-76.
Mkumbo, K.A.K. & Ingham, R (2010). What Tanzanian parents want (and don't want) covered in school-based sex and relationships education.pdf Sex Education, 10,67-78
Mkumbo, K.A.K. (2009). Content analysis of the status and place of sexuality education in the national school policy and curriculum in Tanzania.pdf Educational Research and Reviews, 4, 616-625.
Mkumbo, K.A.K., Schaalma, H., Kaaya, S., Loorijer, J., Mbwambo, J., & Kilonzo, G. (2009). The application of Intervention Mapping in developing and implementing school-based sexuality and HIV/AIDS education in a developing country context: The case of Tanzania.pdf Scandinavian Journal of Public Health, 37(Suppl 2), 28-36.
Mkumbo, K.A.K. (2008). Do children with disabilities have equal access to education? A research report on accessibility to education for children with disabilities in Tanzanian schools. Dar es Salaam: HakiElimu.
Omari, I.M & Mkumbo, K.A.K. (2006) Adolescence and school learning. In I.M. Omari (Ed.),Educational psychology for teachers (pp. 173-197). Dar es Salaam, Tanzania: Dar es Salaam University Press.
source: Dr. Kitila Mkumbo
Haya basi twende huko kwenye huo unaouita Usomi, wamefanya nini?
I thought so.
They should take it from someone who should know.
Professor maana yake ni mwalimu.
Kifaransa ukitaka ku distinguish mwalimu wa chuo kikuu unasema le professeur dans le superieur, otherwise hata mwalimu.wa shule ya msingi ni "le proffeseur".
Kuna jamaa alikuwa anafundisha historia first year, wanafunzi wakimwita Dr. ilibidi awasahihishe.na kuwaambia kwamba "mimi.si Dr. kwa maana sijafanya Ph.D yangu bado, mimi.ni professor tu".
Sasa bongo nashangaa kuona "professor", which is basically "teacher", inakuwa na prestige kuliko Dr. which is an actual academic distinction denoting that someone has a Ph.D .
Hata Obama alikuwa professor wa sheria, lakini hana Ph.D
Hivi unajua kuwa Chelsea Clinton ana PhD kutoka Oxford? Sijawahi kuona popote pale akijitambulisha kama Dr.Chelsea Clinton...
Sasa subiri Ridhiwani apewe hata hiyo ya heshima....
Mbona na Dr. Slaa ni professor lakini ajitambi, mbona Mwlm Nyerere alikuwa Prof. lakini alikufa akiitwa mwalimu acha usamba u-prof ni jina tu kama la majimarefu ua professor J
Katunukiwa???
BACK TANGANYIKA
sisi ni zaidi ya Banana Republic.' labda tujiite 'Maandazi Republic'
Nyani Ngabu na Kiranga
Kimsingi nakubaliana na mitazamo yenu.
Lakini katika academic rankings za kwenye academic institutions za Tanzania, mtu kuwa 'Professor' ni ishara ya kupanda kitaaluma.
Ngoja niwape mchanganuo:
1. Tutorial Assistant (B.Sc. or B.A) ,
2. Assistant Lecturer (M.Sc. or M.A),
3. Lecturer (PhD),
4. Associate Professor (PhD and other requirements), na
5. Professsor (PhD and other requirements)
Hata kama neno 'Professor' lina maana ya mwalimu kwa kifaransa, katika academic rankings linamaana kubwa sana. Professor (nazungumzia aliye na PhD na vigezo vingine vinavyohitajiwa) anakuwa ni nguli katika eneo lake la kitaalamu.
Tatizo kwa upande wa Tanzania linakuja katika namna ya vigezo vingine (zaidi ya kuwa na PhD) vinavyopatikana na kuwa assessed. Kwa mfano, moja ya vigezo ni kuwa na published articles katika 'international journals'. Kwa Tanzania, vyuo vikuu havina utaratibu wa kurank hizi international journals. Mwishowe, watu wanakuwa promoted to 'Professorship' katika journals ambazo hata published articles zao haziwe kusomwa wala kuinfluence policy, knowledge, theories n.k.
Katika publishing world kuna namna journals zinakuwa ranked kwa namna articles zinazochapishwa katika journals hizo zinavyokuwa cited na kuinfluence the state of knowledge. Hapa ndipo unasikia journal inakuwa na 'impact factor'. Kwa sasa, journals zenye high impact factor katika ulimwengu wa sayansi ni journals za 'Nature', 'Cell', 'PLoS', na Science'. Pia kuna journals zingine zinakuwa na high impact factor katika eneo husika la kitaaluma kama fizikia, kemia, uchumi, elimu, biashara, siasa, tiba, mazingira, sheria n.k.
Kwa vyuo vikuu vya nje, promotion based on published works inakuwa scrutinised kwelikweli kwa assessors kuangalia aina za journals ambazo mtu anaye seek promotion amepublish. Kwa Tanzania, nimeambiwa hilo suala halifuatiliwi kabisa, ilimradi iitwe international journal, basi mtu atasubmit hizo published articles kwa promotion.
Nitafurahi kuona journals ambazo Kitila Mkumbo kapublish maandiko yake aliyoyatumia kuseek promotion to associate professorship.
Ni hayo tu.
Nyani Ngabu na Kiranga
Kimsingi nakubaliana na mitazamo yenu.
Lakini katika academic rankings za kwenye academic institutions za Tanzania, mtu kuwa 'Professor' ni ishara ya kupanda kitaaluma.
Ngoja niwape mchanganuo:
1. Tutorial Assistant (B.Sc. or B.A) ,
2. Assistant Lecturer (M.Sc. or M.A),
3. Lecturer (PhD),
4. Associate Professor (PhD and other requirements), na
5. Professsor (PhD and other requirements)
Nyani Ngabu na Kiranga
Kimsingi nakubaliana na mitazamo yenu.
Lakini katika academic rankings za kwenye academic institutions za Tanzania, mtu kuwa 'Professor' ni ishara ya kupanda kitaaluma.
Ngoja niwape mchanganuo:
1. Tutorial Assistant (B.Sc. or B.A) ,
2. Assistant Lecturer (M.Sc. or M.A),
3. Lecturer (PhD),
4. Associate Professor (PhD and other requirements), na
5. Professsor (PhD and other requirements)
Hata kama neno 'Professor' lina maana ya mwalimu kwa kifaransa, katika academic rankings linamaana kubwa sana. Professor (nazungumzia aliye na PhD na vigezo vingine vinavyohitajiwa) anakuwa ni nguli katika eneo lake la kitaalamu.
Tatizo kwa upande wa Tanzania linakuja katika namna ya vigezo vingine (zaidi ya kuwa na PhD) vinavyopatikana na kuwa assessed. Kwa mfano, moja ya vigezo ni kuwa na published articles katika 'international journals'. Kwa Tanzania, vyuo vikuu havina utaratibu wa kurank hizi international journals. Mwishowe, watu wanakuwa promoted to 'Professorship' katika journals ambazo hata published articles zao haziwe kusomwa wala kuinfluence policy, knowledge, theories n.k.
Katika publishing world kuna namna journals zinakuwa ranked kwa namna articles zinazochapishwa katika journals hizo zinavyokuwa cited na kuinfluence the state of knowledge. Hapa ndipo unasikia journal inakuwa na 'impact factor'. Kwa sasa, journals zenye high impact factor katika ulimwengu wa sayansi ni journals za 'Nature', 'Cell', 'PLoS', na Science'. Pia kuna journals zingine zinakuwa na high impact factor katika eneo husika la kitaaluma kama fizikia, kemia, uchumi, elimu, biashara, siasa, tiba, mazingira, sheria n.k.
Kwa vyuo vikuu vya nje, promotion based on published works inakuwa scrutinised kwelikweli kwa assessors kuangalia aina za journals ambazo mtu anaye seek promotion amepublish. Kwa Tanzania, nimeambiwa hilo suala halifuatiliwi kabisa, ilimradi iitwe international journal, basi mtu atasubmit hizo published articles kwa promotion.
Nitafurahi kuona journals ambazo Kitila Mkumbo kapublish maandiko yake aliyoyatumia kuseek promotion to associate professorship.
Ni hayo tu.
Saivi anaitwa prof kufata mkumbo
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums