Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,787
- 145,605
Huwezi kusema swali la msiba halikuulizwa, nukta, kwa mujibu wake. Inasemwa: swali la msiba halikuuliwa, koma, kwa mujibu wake.
Sijui unanielewa?
Ukikoma maana yake unakiri kuwa ulichokisema kabla ya koma huna hakika nacho, hujui, ukitua maana yake umemaliza, ulichokisema umekisema, lakini huwezi kuhitimisha kama mamlaka yako ni "kwa mujibu wake." Hatujui, wewe hujui, kilichoulizwa wala kilichojibiwa.
Kitila ameshutumiwa na Mbeki kwamba katoa taarifa potofu, sasa huwezi kutegemea Kitila huyo huyo aje hapa awe mamlaka hakika ya alichokisema, anaweza akakipaka chokaa alichokisema ili kubakiza smokescreen ya tukio zima. Yeye si mjinga, alikuwa hapa chini muda wote kabla hajachangia, akachekiiiii akaona watu wenyewe wanatapa tapa hakuna aliyekuwepo, waliokuwepo hawajui Kiingereza (amesema hivyo mwenyewe).
Tutakubali nothing short of this balancing evidence or the ultimate incontrovertible proof: Tunataka Mbeki nae aje hapa ajitee au tuna demand video ya tukio!
There is no such this as the ultimate incontrovertible proof. The very act of gathering that ultimate incontrovertible proof interferes with the integrity of that proof.
Hata Thabo Mbeki akija hapa utasema anavutia kwake.Hata ikiletwa video utaweza kuhoji angle iliyochukuliwa, jinsi ilivyokuwa edited, quality ya audio na visuals.
At some point you have to choose what is practical and acceptable.
Ama sivyo unaweza kubisha hata kama Thabo Mbeki ni mtu kweli au hadithi tu.