yapo mambo mengi ambayo wanasiasa wanaipotsha jamii; hii kauli toka kwa kiongozi kam mbeki kweli yawezapata uaarufu mkubwa sana na mwishowe watu wakaamini kuwa si ngono bali umaskini ndo kinasababisha ukimwi; mbeki si maskini hata kidogo kama tu kiongozi aliyefikia hatua hiyo ktk taifa tajiri afrika lakini pia liligusa familia yake; tunachoweza kumwelewa vema ni kusema kusema kuwa madhara ya ukimwi kwa maskini ni dhahiri na yanaonekana mapema sana. pole sana kwa hilo swali ingawa naamini halikuwa na nia ya kufuatilia familia ya mbeki
hapa kwetu tunaaminishwa hakuna kitu kinaitwa ushirikina, wakati zikiwadia nyakati fulani wanasiasa wanakuwa ktk njia ya kuelekea bagamoyo kwa misururu kwa mambo kama hayo. leo hii tumesikia huko meatu mkuu wa wilaya kampeleka kituo cha polisi mtu ambaye alifufuka baada ya wananchi kugoma kumzika na hatimaye mkuu huyo kuwomba waachane na hii imani, na hapo ndo wakazika na usiku huo huo mtu huyo karudi; nadhani ni bora kuusemea na kuweka sheria juu ya hilo; kwea maana ya kulinda wanachi dhidi ya hii kitu
hapa kwetu tunaaminishwa hakuna kitu kinaitwa ushirikina, wakati zikiwadia nyakati fulani wanasiasa wanakuwa ktk njia ya kuelekea bagamoyo kwa misururu kwa mambo kama hayo. leo hii tumesikia huko meatu mkuu wa wilaya kampeleka kituo cha polisi mtu ambaye alifufuka baada ya wananchi kugoma kumzika na hatimaye mkuu huyo kuwomba waachane na hii imani, na hapo ndo wakazika na usiku huo huo mtu huyo karudi; nadhani ni bora kuusemea na kuweka sheria juu ya hilo; kwea maana ya kulinda wanachi dhidi ya hii kitu