Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,609
- 1,731
Examples, please.
You can find lots of them inside this book (including ones on what causes poverty in Africa) : Why Nations Fail by Daron Acemoglu and James Robinson
Examples, please.
Examples, please.
Which is not to say that correlation equals causation.
In set language, causation is a subset of the larger set of correlation. Cases of causation are correlated to the results, but there are many other cases correlated to yet many other cases with no causation. The chocolate example above isa fine testimony.
One can simplify this by saying say all causations are correlated but not all correlations are causations.
"Binadamu wote ni bipeds, lakini kuna bipeds si binadamu" style.
Gongolamboto, unaleta siasa. Nipo kwenye field hii kwa muda mrefu sasa. Mbeki thesis yake imekuwa kwamba hakuna uhusuano kati ya hiv na aids na kwa hivyo akadai kwamba arvs ni sumu, ndio maana akaweka kizingiti hizi dawa zisiingie nchini mwake. Haya mambo yapo wazi hata kwa google tu. Soma acha uvivu!
WOWOWO,
Kwa faida ya JF naomba ututajie jina la mtoto wa Thabo Mbeki aliyekufa kwa HIV.
Hebu soma swali kama lilivyoulizwa kwa usahihi na Dr Kitila Mkumbo,usiogope,limetafsiriwa kwa kiswahili!Kitila Mkumbo,
Bahati nzuri upo kwenye field hiyo muda mrefu kama unavyotujuza...kwa hiyo marais wawili wa Afrika Kusini Thabo Mbeki na Nelson Mandela watoto wao walikufa kwa ukimwi?
Mind you saying "poverty causes AIDS" is not one and the same thing as saying "poverty causes HIV"
Correct, but HIV causes AIDS, this is the bone of contention here.
Why couldn't Mbeki respect his audience by gracing them with admitting his former peccadillo?
Hebu soma swali kama lilivyoulizwa kwa usahihi na Dr Kitila Mkumbo,usiogope,limetafsiriwa kwa kiswahili!
Former?
Why couldn't Mbeki respect his audience by gracing them with admitting his former peccadillo?
Former as in that which took place originally in the past, currently he is not exactly peccadillo-ing, rather buttressing the catacombs of his legacy as a hyperbole's poster boy by not redeeming himself.
Kitila Mkumbo,
Bahati nzuri upo kwenye field hiyo muda mrefu kama unavyotujuza...kwa hiyo marais wawili wa Afrika Kusini Thabo Mbeki na Nelson Mandela watoto wao walikufa kwa ukimwi?
kitila alipaswa kujua kwamba Mbeki alivyosema ukimwi ni ugonjwa wa maskini alisema kwa muktadha gani.kwa mfano; wakati mtu anakemea uzembe wa madereva, anaweza kusema "ajali barabarani husababihwa na uzembe wa madereva" sasa hapa haina maana kwamba ni kila ajali itakayotokea itakuwa ni usembe wa dereva lakini kulingana na mazingira ya kauli;kauli inakuwa ni sahihi.Sasa mbeki alipo sema vile. alitaka kuonyesha kwamba umaskini una mchango mkubwa katika kuenea kwa ukimwi;kitu ambacho kina ukweli.
An academic audience that is supposed to search and read this voluminous and well-researched biography:
Mbeki admits he is still Aids dissident six years on | World news | The Guardian
Mbeki shall be asked on this matter to his deathbed if circumstances permit. The stance is that absurd.
Redemption from what?
Absurd according to whom - Conventionalist/Anti-Dissidence?
swali lake ni relevant mnoHakuna anayekataa kama Ukimwi sio janga hapa tunazungumzia swali alilouliza Dr wenu!
Chama
Gongo la mboto DSM
kitila alipaswa kujua kwamba Mbeki alivyosema ukimwi ni ugonjwa wa maskini alisema kwa muktadha gani.kwa mfano; wakati mtu anakemea uzembe wa madereva, anaweza kusema "ajali barabarani husababihwa na uzembe wa madereva" sasa hapa haina maana kwamba ni kila ajali itakayotokea itakuwa ni usembe wa dereva lakini kulingana na mazingira ya kauli;kauli inakuwa ni sahihi.Sasa mbeki alipo sema vile. alitaka kuonyesha kwamba umaskini una mchango mkubwa katika kuenea kwa ukimwi;kitu ambacho kina ukweli.