Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Concrete hapa umetisha, ngoja nipate capuchino kwanza niondowe usingizi.
 
Last edited by a moderator:
la mkozaji tu! nabado hajalipa gharama zote za kesi kwa mwalimu! na jimbo tunachukua!
 
Chadema bila kuchelewa peleka M4C huko Igunga kumaliza na kufunga kazi. RIP CCM
 
Mahakama yao, polisi wao, mbunge wao, ngoja tuone!
By far we can see mizani imeegemea upande wa kafumu, atatangazwa mshindi!
hizo zilikuwa enzi za makamba -- ha ha ha
 
we ndiyo umejua leo kwamba ccm i mashakani?
 
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz ona raha ya ushindi
P1020141.JPG P1020137.JPG P1020152.JPG
 
Magufuli amezid kupenda sifa nakuongea bila nidhamu,. Yani hata material ya kumpa uongozi nyeti,. Magufuli ukome kulopoka


Mwaka 20O9 nilikuwa na shughuli zangu katika Bank ya NBC tawi la Chuo Kikuu cha Dar-Es Salaam.
Baada muda akaingia Magufuli,wakati huo akihangaikia na PhD yake pale UDSM, na kuanza kupiga soga na mtu mmoja.Baadaye kidogo akaingia Dkt wa kike mhadhiri UDSM ambaye hajaolewa mpaka sasa.(Naomba nisimtaje jina). Sasa Magufuli alipomwona huyo Mwanataaluma baada ya kusalimiana akamwuliza ,tena kwa sauti ya juu ,kiasi cha kila mtu aliyekuwepo ndani kusikia :''vipi umeshapata mchumba?''
Nilimtazama huyo Mwanataaluma na uso wake ulionyesha wazi kufaidhaika sana...kwa mtazamo wa baadhi ya wadau waliokuwepo pale, Magufuli alikuwa amefanya utani usiopendeza na unaodunisha heshima ya mtu hasa jinsia ya kike.Nami nilifadhaika sana.
Binafsi sikufurahishwa na kauli ya namna hiyo tena kutolewa na mtu wa hadhi ya Waziri wa serikali.
Ni kweli kabisa Magufuli ni mropokaji tena asiyechukua muda kupima kauli zake.Hana busara wala hekima ingawa amepita shule.
Ni vema tukumbuke kumpongeza Prof.Abdalah Safari kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiiwakilisha CHADEMA katika hiyo kesi.
 
Pongezi hizi zimfikie Prof. Abdallah Safari aliyekuwa mwanasheria wa Mwl. Kashindye
CDM ina vichwa vingi vya sheria
 
Mwaka 20O9 nilikuwa na shughuli zangu katika Bank ya NBC tawi la Chuo Kikuu cha Dar-Es Salaam.
Baada muda akaingia Magufuli,wakati huo akihangaikia na PhD yake pale UDSM, na kuanza kupiga soga na mtu mmoja.Baadaye kidogo akaingia Dkt wa kike mhadhiri UDSM ambaye hajaolewa mpaka sasa.(Naomba nisimtaje jina). Sasa Magufuli alipomwona huyo Mwanataaluma baada ya kusalimiana akamwuliza ,tena kwa sauti ya juu ,kiasi cha kila mtu aliyekuwepo ndani kusikia :''vipi umeshapata mchumba?''
Nilimtazama huyo Mwanataaluma na uso wake ulionyesha wazi kufaidhaika sana...kwa mtazamo wa wadau pale Magufuli alifanya utani usiopendeza na unaodunisha heshima ya mtu hasa jinsia ya kike.Nami nilifadhaika sana.
Binafsi sikufurahishwa na kauli ya namna tena kutolewa na mtu wa hadhi ya Waziri wa serikali.
Ni kweli kabisa Magufuli ni mropokaji tena asiyechukua muda kupima kauli zake.Hana busara ingawa amepita shule.
Ni vema tukumbuke kumpongeza Prof.Abdalah Safari kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiiwakilisha CHADEMA katika hiyo kesi.

Kivuko cha kigamboni, aliwaambia wabunge wa Dar, kama wananchi hawawezi kulipa Tshs 200 basi wapige mbizi.
 
Wakati wa kampeni walitumia nguvu kubwa bila kutumia akili, walipofuka macho ya busara wakasahau heshima ya vyeo vyao wakabakia kubwabwaja tu majukwaani. Matokeo yake si sheria kuwafunza ukubwa, wakaangukia pua. Ikabakia ile ile kauli mbiu iliyotumiwa na Chadema wakati wa kampeni ya "Kafumu afumuliwe, Kashindye ashinde".
Ingawa alishinikizwa kushindwa wa kati ule haki ya Mungu imerejrlea tena kwa upya.
 
Naomba sana mkuu wangu unipelekee salam hizi kwa mheshimiwa sana mchumi wa daraja la kwanza Mwigulu wa Mchemba bin Mchamba chamba! mkubushe tu kwamba ubaya huwa haulipi!

Kiswahili ni lugha yako ya Taifa lakini nna uhakika si lugha mama kwako.
 
Huyu Profesa Abdala Safari nilimvulia kofia pale alipotoa jibu kuhusu sekeseke la kuvuliwa hijabu kwa mama DC. Unajua alijibuje lile vumizo lililoanikizwa na CCM kuwakuvuliwa hijabu kwa mama huyu ni udhalilishaji wa kidini.
Profesa huyu yeye mwenyewe akiwa ni Mwislamu wa swala tano ajibuje alipoulizwa? "iacheni mahakama iamuwe kama alichovuliwa mama DC ni hijabu au ni mtandio". Kesi haikwenda mahakamani.
 
Hii Tanzania bado inaniacha mdomo wazi, sijui lini tutafik
 
Pongezi hizi zimfikie Prof. Abdallah Safari aliyekuwa mwanasheria wa Mwl. Kashindye
CDM ina vichwa vingi vya sheria


Hiki kichwa kinahitajika sana Mjengoni. Namshauri aanze kupiga jaramba mitaa ya kwao kwa ajili ya 2015. Naamini kikiungana na T.L, JJM, na makamanda wengine pale mjengoni, nchi itanyooka hii. Kwa kichwa kimoja tu T.L. hadi mhimili ule wa mahakama umenza kujistukia, sijui Prof. naye akiingia humo itakuwaje. Kichwa kama hiki CUF siyo mahali pake kabisa!
 
Back
Top Bottom