BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
aliyekuwa mbunge wa jingo la igunga amefunguka na kusema kuwa hakuwa na imani na jaji kwa kuwa aliegemea upande wa chadema na matokeo yake ameipa chadema ushindi, pia Dk. kafumu ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa yeye siyo mbunge tena na ataendelea na kazi yake ya utafiti wa madini.
source EAT
Wana JF niliwaambia mapema Magufuli haendi Igunga kwakuwa anajua Dalai Lama wa Igunga asingepona ng'o hata kwa mbinde, Namshukuru Kafumu kwa kutambua hata akikata rufaa hashindi na sasa apumzike kwa amani katika Politiki za Magamba hiyo inaitwa KATA UJUTE, MABILIONI YALIYOTUMIKA IGUNGA KWENYE KAMPENI YANGEIBADILI IGUNGA NA KUWA MANISPAA, Na hapo bora Apishwe Kashindye tu na siyo tena tuingie hasara kutafuta Mbunge wakati Mbunge anajulikana ni kutoka peoples poweeeeeeeer