Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Amegundua hata kama wakirudia na sasa cuf nayo imekufa huyu jamaa wa cdm atachukua ndio maana kakimbia game. Kwanza hii kesi ilikuwa nyepesi sana aache kusema jaji hakuwa na imani naye (bastola ya rage, kutukmika kwa mawaziri kama serikali na kumpigia kampeni) sasa hata mimi ningekuwa ni jaji ambaye sina elimu ni hukumu hivi hivi na bakora juu.