Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Haya vipi kuhusu yale marupurupu yote aliyokwisha pokea bungeni? kama gari, mikopo??? au ndio ilikuwa njia ya kuenda kukomba vyetu then anaachia???

WHO'S NEXT.............???
 
Haya vipi kuhusu yale marupurupu yote aliyokwisha pokea bungeni? kama gari, mikopo??? au ndio ilikuwa njia ya kuenda kukomba vyetu then anaachia???

WHO'S NEXT?....

Mikopo haina shida kwan iko insured, insurance company zitarefund mabenki, pia gari halina shida kwani walipa kodi wa Kitanzania huwa hawana utamaduni wa kulalamika.
 
na huu ni ushindi wa Nape kwani walimkataa kushiriki kampeni Igunga

hapa heshima itapatikana tu

Mkuu hapa siyo Nape peke yake Lowasa pia coz uchaguzi wa igunga ulikuwa wakurudisha Heshima.This is total failure kwa Mwigulu coz chaguzi zote ambazo alikuwa kampeni maneja CCM Chali.:nerd:
 
Prof Abdallah Safari alikosekanaje kwenye TUME YA KATIBA MPYA? Huyu baba ametulia sana. Ningekuwa JK, ningemteua kuwa AG wa NCHI hii. Kwa nini taaluma ya sheria haizingatii ELIMU kwenye teuzi zake kubwa?
 
Haya ni Maneno ya Mkosaji alishajaribu mara mbili kugombea ubunge na kutaka kutelekeza Proffesional yake....
Alisema baada ya ubunge wake kutenguliwa, anaendelea na shughuli zake za madini kwa kuwa ni mtaalamu wa sekta hiyo... “Ndugu mwandishi karibu Singida, mimi narudi kuendelea na shughuli zangu za madini.”
Sababu za kutengua matokeo
 
Mwenye kumbukumbu ya haraka alifahamishe, Tundu Lisu alimsemaje huyu jaji? Nataka nijue kama analysis ya Lisu ina mantiki

Huyu hayupo katika orodha ya majaji feki. Inaelekea ni wa ukweli huyu.
 
Kwanza kipekee namshukuru Mungu kwa kumwongo Jaji ktk hali ya hekima na busara na kuweza kusimamia haki. Pili Mungu amekuwa akiiyonekania Tanzania kila kukichwa kwakutufunulia maovu ya viongoz wetu na kuwaweka wazi na hata kuwashusha chini. Napenda kusema mwisho wa CCM a.k.a wazee wa kijan umefika. Siku zao zinahesabika. Mungu ibarik Tanzania Mungu ibarik Africa
 
Si tu muda mfupi bali pia kwa gharama kubwa. Majuzi alitoa msaada wa shilingi milioni 400 kwa waliokuwa wapiga kura wake. Swali la kujiuliza hapa ni kama fedha hiyo ni halali na kaipataje? Na kama ni ya mkopo vipi atairudisha ikiwa ubunge wenyewe ndo umeota mbawa!
Kama hiyo pesa ni ya mkopo hapo kweli kuna kazi...
 
Benjamin w.mkapa hoyeeeeeeee,mwigulu nchemba hoyeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sheria zetu zikoje jamani!
-Katika hoja zote hizo hakuna hata moja inayomgusa au kumhusisha aliyeshinda uchaguzi ule, Dr Kafumu.
-Waliotoa hoja zile hawakuwa wagombea, mgombea hakuwatuma wala kuwaita kuja kwenye kampeni yake.
-Kauli zinazofanana na hizo zilizotolewa na upande wa pili, yaani CHADEMA, hazikuzingatiwa.
Kwa maana hiyo hata ile rufani ya Lema kule Arusha haitapita?
 
Wanajamvi, Kwanini vyombo vya habari vimeshindwa kuripoti kwa ukamilifu hukumu ya kesi ya Uchaguzi - Igunga? yaani magaZeti yote hayana picha ya yaliyokuwa yakijiri zaidi ya kutumia picha za wakati wa kampeni. TBC ndiyo hoi ilikuwa ikiripoti kwa kutumia picha za wakati wa kampeni. hatujaona shamrashamra au simanzi kwa waliopokonywa kama tulivyoshuhudia hapa Arusha kupitia vyombo vya habari. KWELI HAKI YA MLAJI WA HABARI IMEMINYWA.

Wanahabri mjirekebishe., NATARAJIA HII WEAKNESS IZUNGUMZWE NA DOTO KWENYE KIPINDI CHA STAR TV- JICHO LETU KATIKA HABARI CHA JUMAMOSI.
 
mkuu vyombo vingi vya habari wameja Makanjanja, ila hata JF sijaona pix ya mahakamani mkuu!
 
Teh teh teh....Kafumu uso mdogo km nukta,Ulipokelewa bungen kwa shangwe mpk nikazima tv.Kumbe ni udhalimu tupu

Tehe tehe. Aliyefaidi zaidi kwenye uchaguzi huo wa Igunga ni "Chemba" kwa kula uroda na mke wa kada wa Magamba. teh teh
 
Kama ilivyokuwa kwa Arusha, Ubungo maSegerea tunaomba mwenye nakala yahukumu AIMWAGE HAPA JAMVINI.

Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu hapa siyo Nape peke yake Lowasa pia coz uchaguzi wa igunga ulikuwa wakurudisha Heshima.This is total failure kwa Mwigulu coz chaguzi zote ambazo alikuwa kampeni maneja CCM Chali.:nerd:

Kila udhalimu una mwisho wake. Ngoma ya unyanyasaji wa Watanzania imelia sana imefika wakati wa kupasuka kwake.
 
Tumepata habarii jujuu kwamba ubunge wa Kafumu umefumuliwa na kwamba Rage kahukumiwa jela miaka miwili. Hii ama kwa hakika ni habari njema kuelekea ukombozi kamili dhidi ya mkoloni CCM

Hata hivyo ni vyema habari kamili ikawekwa hapa janvini

Rage huyu wa Simba ndie kafungwa miaka miwili??? ebana eeh unasema kwa Dhati au Kwa Chat?
 
Back
Top Bottom