Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Wapi FMES na William Malecela?

Hawa ni mapacha!!!! Identical twins!!! Alijigamba eti amejiaondoa JF eti ni mfazili wakati sisi hapa tunaiwezesha hii taaasisi yetu JF kwa michango ya maandishi yetu hapa and otherwise. Tena aje hapa akaombe wana JF msamaha!!! JF ina founders na sisi ni washikadau!!!
 
mafisadi

kamufumu alipoteza pesa nyingi sana sasa NyinyiEm sijui atazi cover vipi? shame on you!
 
Nakumbuka sana mh. Nape Nnauye ndo alikuwa wa kwanza kuja kuzomea Chadema hapa jf, tunataka aje atoe msimamo wake hapa tena baada ya hukumu hii. Kwa kweli siku ile alitumia maneno ambayo hakustahili kuyatumia kwa nafasi yake. Ningethamani aje tena leo tumsikie mh sana.

Wenye ile maandishi yake ya kunanga CDM wakati aliposhinda Kafumuliwa ayatoe hapa ili tumchapu Mnaapppppe Mnnnnnnauuuye sawasawa.
 
naona mahakama imetoa hukumu ya aina yake, wengi hawakutegemea ila binafsi sishangai kwani naamini tanzn kuna demokrasia na uhuru japokuwa bado tuna safari ndefu.
Pongezi kwa mahakama.
 
tunaelekea kwenye ukombozi. Kafumu sijui uhamie huku,naona kama hujachelewa sana
 
This seems unfair!!!??. Kule kwenye ukamishna wa madini si walishaweka mtu mwingine? Yeye aende wapi?
 
MAANDALIZI_YA_CHAKULA%2B%25281%2529.JPG


Team ya Kamfumu Igunga iliwaza vema sana ambao ni Mwigulu, Lusinde, mkapa, Magufuli, Easter Bulaya, na kubwa jinga Tyson

EeH ilikua hivi sio eeh! Basi wasimlaumu MTU........wamejiloga wenyewe hawa.
 
Pole ya nini na mahakama haijatenda haki, mmesahau kwa Lema?
Naomba sana mkuu wangu unipelekee salam hizi kwa mheshimiwa sana mchumi wa daraja la kwanza Mwigulu wa Mchemba bin Mchamba chamba! mkubushe tu kwamba ubaya huwa haulipi!
 
Nafikiri wakati umefika kwa CCM kutubu na kufanya toba. Na hayo wayafanye wakati wa mapumziko 2015 hadi 2075
 
naona mahakama imetoa hukumu ya aina yake, wengi hawakutegemea ila binafsi sishangai kwani naamini tanzn kuna demokrasia na uhuru japokuwa bado tuna safari ndefu.
Pongezi kwa mahakama.
 
Kaisahihishe,..njiwa pori wewe...

Hukumu iko sahihi kabisa cha msingi ni yeye kutekeleza haki yake kikatiba kukata rufaa lakini kisheria na hasa sheria ya uchaguzi iko wazi na sahihi.mahakama imetekeleza wajibu ningeshangaa kama ingekuwa vinginevyo.
 
Pakajimmy,Rutashubanyuma na bila kumsahau dada yangu wa ukweli Preta leo nitakua maeneo ya Arusha Night Park AKA !!!!!! Baa kwa ushindi huu huru kutoka mahakami! Karibuni wote Samaki wa Foil na bia Barrrrrrrrrriiiiiid!
 
Naomba sana mkuu wangu unipelekee salam hizi kwa mheshimiwa sana mchumi wa daraja la kwanza Mwigulu wa Mchemba bin Mchamba chamba! mkubushe tu kwamba ubaya huwa haulipi!

images


Matatizo ya familia kutegemea mtu mmoja hapa familia ya commissioner kafumu, kwisha habari.
 
Back
Top Bottom