sheria ni msumeno, mlifurahia mlipopata ahueni lile suala la mgomo kwa waalim - mkapata ahueni tena suala la madaktari -- sasa leo hii mnataka kuigeuka mahakama kuwa haijatenda haki?
Pole sana dr. kafumu ni vizuri sasa ukajikita kwenye sekta ya madini uliyosomea maana tunahitaji wataalam sana.
nadhani baada ya Mh. Tundu Lissu 'kupiga msitari' na kuainisha kati ya Black&white ya hawa majaji wetu watakuwa wameanza kushktuka. Maana kuwa subjected kwenye 'vodafasta' ni aibu na kila mmoja anajitahidi asiwe upande huo hivyo kutumia muda wao kulinda fani hii.Sasa hata mahakama zimewachoka hawa magamba.Wanabebwa na sasa hawabebeki tena.
Kila chenye mwanzo kina mwisho.
Hata mahakama zinaona uovu wao na zinaundwa na watanzania wale wale ambao hata ndugu zao nao wanateseka kutokana na utawala huu mbovu.
"Mahakama haijatenda haki"
Samahani kamanda wangu mimi niko mbali na mji sasa heading imenishtua nikafurahia then ndani sipati ukweli very sorry!
Natabiri ushindi kwa CCM...!
:coffee: