nsangaman
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 275
- 42
Kwanza naomba nirekebishe kidogo,
Dr. Isack Ndodi si Mchungaji bali ni Mwinjilisti. Kuna tofauti kati ya Mchungaji na Mwinjilisti. Dr. Ndodi hajawahi kuwekewa MKONO WA KICHUNGAJI, hivyo yeye si Mchungaji bali ni Mwinjilisti anayefanya kazi ya kueneza Injili ya Bwana Yesu. Pia, Dr. Ndodi ni Mganaga anayetumia Tiba Asilia hasa ya mimea amabayo hata ktk maandiko matakatifu yanashauriwa tuyatumie, kwani haya yenye kemikals yamekuwa na side effects nyingi sana kwetu. Dr. Ndodi hapigi Ramli na ndiyo maana yuko tofauti na Waganga wa Jadi/Kienyeji. Tatizo ni kwamba ni kweli Gharama yake ni kubwa sana, hivyo wengi wenye kuhitaji huduma yake wanashindwa kupata kutokana na gharama yake.
Ni sangoma tu.Amesajiliwa kama mganga wa kienyeji