Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,630
- 4,687
Isaac Ndodi....Isaac Ndodiii!....same guy kila siku.../whyyyy?
Hakuna ishuzingine?
Akinenepa mnaulizana,...
Akikonda mnamshangaa..
Give him a break...kweeek!
Oooh Sorry Dr. Ndodi!!!!
Isaac Ndodi....Isaac Ndodiii!....same guy kila siku.../whyyyy?
Hakuna ishuzingine?
Akinenepa mnaulizana,...
Akikonda mnamshangaa..
Give him a break...kweeek!
duh! umeniumiza roho! kwani we uwapi mbinguni? ama?Hakuna huduma makini huko kwenu.
Kila mtu anatafuta kujaza mfuko(tumbo) lake.
Huo ndio ukweli.
pole zenu!.
Huyu Dokta/Mchungaji tena kijana ni mfano wa kuigwa.Napenda vipindi vyake vya redio na TV kwa maana anazungumzia mambo ya maisha ya kawaida kabisa.Kipindi chake cha juzi Jumatano kuhusu namna ya kuchagua mchumba kwa vijana wa kike na kiume kilinivutia sana.Laiti angejiunga hapa akaweza kuchangia hizi mada kwenye jukwaa la mahusiano na JF Dr.
Huyu Dokta/Mchungaji tena kijana ni mfano wa kuigwa.Napenda vipindi vyake vya redio na TV kwa maana anazungumzia mambo ya maisha ya kawaida kabisa.Kipindi chake cha juzi Jumatano kuhusu namna ya kuchagua mchumba kwa vijana wa kike na kiume kilinivutia sana.Laiti angejiunga hapa akaweza kuchangia hizi mada kwenye jukwaa la mahusiano na JF Dr.
ndodi, ndodi bado haijaiva tu
Ni ujinga kwa kila mganga wa kienyeji kujiingiza katika mambo ya kiuchungaji ili watu wawakubali!Alianza Yahaya Hussein,akaja Ndodi sasa Joseph Kalokola Buberwa wa JKB international nae eti anatoa neno la mungu!Acheni kukufuru mungu kwa kutaka ufalme wa hapa duniani.Kalokola mke kamshinda na wametengana kwa kupigana magumi pale ubungo plaza mimi pamoja na wafanyakazi wake akina Vick,Mrutu na Ndutu ndio tulioamulia hizo ngumi leo nae anafundisha watu jinsi ya kuishi katika ndoa!Aibu.Hawa ni wafanyabiashara tuu wala hawatendi mambo ya mungu,achaneni nao.
Huyu ni mfanyabiashara - sishangai mbinu anazotumia
Pwent? au pont, Any way sio kitu, mtoa mada amesema huyu bwana ni ghali sana, ukitaka kumuona ni Tsh 50,000/= hapo matibabu bado,
Ni vyema tukamuomba akaangalia kipato cha watanzania akapunguza kidogo.
Naunga mkono mada asilimia 100,hawezi kuwa mtume na ni mfanyabiashara,na kwa sasa wanakosa soko cos babu anatoa kikombe mia tano tu.Ndodi ni mshenzi na tapeli mkubwa. Mwanaume gani anaongea kama malaya mitaani. Dawa zake ni bei kubwa sana na sidhani kama kuna tiba ya ghali kiasi hicho hapa nchini. Wanaomfagilia ndodi ni wale wanaopenda porojo. Wakitaka wamfahamu vizuri basi waende zahanati yake wakaulizie bei za dawa zake. Watashikwa na butwaa. Mshenzi sana huyo.
Acha kabisa LIBIDOZY kwani tofauti kati ya Buberwa na Dr. Ndondi ni sawa na tofauti kati ya Farao na Musa.
Buberwa ni member wa group ya anti-Christ na nina sema hivi kutokana na hotuba zake ambazo hazina hadhi ya kuitwa mahubiri bali KEJELI zinazosababishwa na UPOFU WA KIROHO.
Dr. Ndondi anakusaidia si lazima ukanunue dawa lakini vipindi vyake ni dawa tosha. ni kweli ni mtu muhimu mno katika jamii ya watanzania ingawaje hawa madaktari wetu wa kuchonga wamemkataza kujitangaza kwa kigezo eti SI RUKSA KIMAADILI YA UTABIBU DAKTARI KUJINADI KWA WAGONJWA. Huyu dokta hata kma hana doctorate ya Darasani lakini ni zaidi sana kuliko hawa wanaozeeka au kufa na utaalam wao bila kmnufaisha mtu zaidi ya familia zao.
Wadanganyika kuweni makini sana ...Convicing power anayo na si kila mwenye convicing power anaongea ukweli..kwa tulio somea taaluma huwa tunaona anavyoibia watu kwa kuchanganya changanya maneno...He is a good at marketing tho what he markets is totally a lie...amkeni wadanganyika si kila unachoambiwa ni kweli....ni kama ilivyo internate si kila habari unayoiona kwenye net ni kweli kazi kwako kuchuja,,,,watoto wa mjini wanasema akili kumkichwe.
Ndondi ni kweli ni public speaker mzuri mwenye mvuto na asiyechosha anapokalia kipindi chake sawasawa.