habari za kuaminika za hivi punde zinasema kwamba, Dr. shayo (US blogger) a.k.a Kawawa ndiye yule aliyemvamia mashaka kwa michuzi. Habari hizi zimepatikana baada ya Daktari kutuma barua pepe kwa bahati mbaya au nzuri kwa mtu ambaye hakuwa mlengwa
Habari hizo zimeendelea kusema kwamba, shayo amejigamba kwamba mdahalo kati yake na mashaka lazima ufanyike kwa sababu tayari wanahabari wake wameanza kumfatili mashaka ili kumshawishi kushiriki.
Mzee mzima dakta, pia ameonyesha shauku ya kugombea ubunge katika bunge lijalo
Kama hizi habari ni za kweli, basi jamaa takuwa amejidhalilisha sana.
Habari hizo zimeendelea kusema kwamba, shayo amejigamba kwamba mdahalo kati yake na mashaka lazima ufanyike kwa sababu tayari wanahabari wake wameanza kumfatili mashaka ili kumshawishi kushiriki.
Mzee mzima dakta, pia ameonyesha shauku ya kugombea ubunge katika bunge lijalo
Kama hizi habari ni za kweli, basi jamaa takuwa amejidhalilisha sana.