binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,905
- 22,293
Duh!Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Pascal acha unafiki !!. Ashukuru kwa lipi ?! . Naona mnataka wapinzani wawe na mioyo ya malaika. Umbambikie mtu kesi na kumsotesha mahakamani miaka yote hiyo. Halafu anajitokeza DPP eti hana nia ya kuendelea na kesi ??!!!Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Duh,hata wewe pia?Kweli mambo yamebadilika. Ila JPM atakuwa anateseka sana huko kaburini.
Hawezi kumshukuru kwasababu alipoingia madarakani alimwambia afute kesi ndio yeye(Tundu) arudi so mama anatelekeleza bado la kumuwekea ulinziUnapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
".. Jamhuri Haina Nia kuendelea na Shauri"
Tunahitaji Katiba Bora kupunguza dhuluma na umungu MTU.
Ustaarabu wa Lumumba na wa kijima.Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Lisu alivyojaa woga hata hawezi kushukuruUnapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
DPP MFUTA KESI! Tulishamsikia YOHANA MBATIZAJI, sasa tumempata mfano wake - Lakini huyu anaitwa DPP MFUTA KESI. Maisha mema katika kiti chako cha muda.Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru.
Mbali na Lissu washtakiwa wengine walikuwa ni Mhariri wa Gazeti la Mawio, Simon Mkina, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehbooh
Washtakiwa hao kwa pamoja Walikuwa wanakabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kuandika habari za uchochezi kinyume na sheria ya magazeti ya mwaka 2002.
Patrick Mwita wakili wa serikali mbele Thomas Simba Hakimu Mkazi Mkuu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, alisoma shitaka la kwanza na tano.
Mwita alidai kuwa shitaka la kwanza ni la kupanga njama za kutoa chapisho la uchochezi, kosa linalodaiwa kutendwa kati ya tarehe 12 na 14 Januari mwaka 2016 ambapo;
Idrissa, Mkina na Lissu katika eneo lisilojulikana jijini Dar es Salaam walipanga njama za kuchapisha taarifa za uchochezi.
Katika kosa la tano, mshitakiwa namba moja (Idrissa), namba mbili (Mkina) na namba nne (Lissu), wanatuhumiwa kuchochea hofu miongoni mwa wananchi kwa kuchapisha habari “Machafuko yaja Zanzibar” na kwamba, ingeweza kuzua vita au umwagaji damu.
Shitaka pili likimkabili Jabir, Mkina na Lissu, wakidaiwa kuchapisha chapisho la uchochezi katika Gazeti la MAWIO, toleo Na. 182 la tarehe 14-20 Januari 2016.
Shitaka la tatu linamuhusu Ismail akidaiwa kuchapisha chapisho la uchochezi katika gazeti hilo lenye kichwa cha Habari ‘Machafuko yaja Z’bar’.
Shitaka la nne linamkabili Ismail akidaiwa kuchapisha gazeti bila kupeleka kiapo kwa Msajili wa Magazeti.
Unaniita dada dada wakati nalala na mamakoMjinga kabisa katika jukwaa hili huwa ni wewe dada !!. Umekuwa ukivishabikia vitu hivi vya kipumbavu vya kupotezeana muda.
Kelele zote za kumfuata Lissu Dodoma usiku kama jambazi. Zimeishia kwa DPP kusema hana nia ya kuendelea na kesi ?!
Ujinga
Hivi unajua kuwa, mamayako nae ni shabiki wa CDM? hivyo na mamayako ni umbwa? basi na wewe utakuwa umbwa, maana umezaliwa na umbwa!Kwaiyo mama anakosea nae kwenye utawala wake kufuta kesi zisizo na maana??! Nyie mbwa hamna shukrani kabisa
Na mnapomlilia Mama SAMIA afute kesi ya Mbowe ni kwa lipi?Tundu lisu amshukuru mama samia kwa lipi?
Hakuna kiama wewe, DKK 90 ni hapa hapa duniani, ukifa ndiyo imetoka hiyoo! Unarudisha atoms kwa UniverseUdhalimu haukutosha bado na risasi zote zile mwilini kwake! kuna watu siku ya kiama wao ndio watakuwa kuni.
Umeanza tena eeeh.Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P