Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
Yaani, inasikitisha kama utetezi wetu wa Tanesco ndio ulikuwa hivyo. Hata ningekuwa mimi ningewakatalia hoja zao.
Mkuu, hapa nimewasha tukutuku kwenda kutafuta vocha ili niisome fasta this night....niliishiwa mafuta kwenye modem banaInvisible ndo naipata saa hii saa 6.19 ya tarehe 1/1/2011. Niko macho. I have a very good gift for 2011. Ubarikiwe sana.
Jitu hata halijamaliza kusoma linakuja na conclusion eti document icomplete, unataka nondo nzima kwani wewe hakimu unataka kuhukumu, msianze kukimbia vivuli vyenu tulia mnyolewe mwaka huu mtatajana mmoja baada ya mwingine.OP uko vague sana kwenye swali lako na nini haswa unachotaka kutufahamisha hapa
Nimesoma lakini inaonekana kuwa doc iko incomplete. Sidhani kama kuna mtu anaweza akaja na proper legal arguments on this kwa document iliyokuwa posted na kama akija na hoja then atakuwa ana mislead wasomaji wa JF. If anything itakuwa ni ngumu hata mtu kuwa na bias (either way) kwa kuwa kilichopo hakijakamilika na kwa kuelewa types za watu wa humu ni kuwa out of 100 or so watakao download maybe ni watu 6 tu ndio watakao kuwa wameisoma the whole thing na kati ya hao maybe ni watu 4 au 3 ndio watakao kuja na proper legal arguments ambazo hazina bias na walio baki wote itakuwa yale yale ambayo tumezowea humu nayo ni:
a) CCM ni mbaya
b) JK hafai
c) DR SLAA is the right person
d) ROSTAM ashitakiwe
USHAURI:
Weka nondo nzima then watu (hatakama wachache ) waingie kazini kuja na arguments or counter arguments on this document
Wanasheria tufungueni macho!
wew umeishia katikati...soma yote kwanza banaaaOP uko vague sana kwenye swali lako na nini haswa unachotaka kutufahamisha hapa
Nimesoma lakini inaonekana kuwa doc iko incomplete. Sidhani kama kuna mtu anaweza akaja na proper legal arguments on this kwa document iliyokuwa posted na kama akija na hoja then atakuwa ana mislead wasomaji wa JF. If anything itakuwa ni ngumu hata mtu kuwa na bias (either way) kwa kuwa kilichopo hakijakamilika na kwa kuelewa types za watu wa humu ni kuwa out of 100 or so watakao download maybe ni watu 6 tu ndio watakao kuwa wameisoma the whole thing na kati ya hao maybe ni watu 4 au 3 ndio watakao kuja na proper legal arguments ambazo hazina bias na walio baki wote itakuwa yale yale ambayo tumezowea humu nayo ni:
a) CCM ni mbaya
b) JK hafai
c) DR SLAA is the right person
d) ROSTAM ashitakiwe
USHAURI:
Weka nondo nzima then watu (hatakama wachache ) waingie kazini kuja na arguments or counter arguments on this document
nop.yuko sahihi kabisa ni ahead compare to tz time.Atakuwa amejichanganya. Amefurahia kupata Document akasahau kuandika vizuri masaa
kivipi wakati washakubali kulipa??!hii unaongelea ni ushauri wa hapo baadaye tukifanyiwa ufisadi tena.kwa sasa tumeliwa.Iliyopo sasa kwa TANESCO ni kusema hatuwezi kulipa na kampuni inakuwa mfilisi na kuanza upya .. Full stop..
OP uko vague sana kwenye swali lako na nini haswa unachotaka kutufahamisha hapa
Nimesoma lakini inaonekana kuwa doc iko incomplete. Sidhani kama kuna mtu anaweza akaja na proper legal arguments on this kwa document iliyokuwa posted na kama akija na hoja then atakuwa ana mislead wasomaji wa JF. If anything itakuwa ni ngumu hata mtu kuwa na bias (either way) kwa kuwa kilichopo hakijakamilika na kwa kuelewa types za watu wa humu ni kuwa out of 100 or so watakao download maybe ni watu 6 tu ndio watakao kuwa wameisoma the whole thing na kati ya hao maybe ni watu 4 au 3 ndio watakao kuja na proper legal arguments ambazo hazina bias na walio baki wote itakuwa yale yale ambayo tumezowea humu nayo ni:
a) CCM ni mbaya
b) JK hafai
c) DR SLAA is the right person
d) ROSTAM ashitakiwe
USHAURI:
Weka nondo nzima then watu (hatakama wachache ) waingie kazini kuja na arguments or counter arguments on this document