Hakuna
Mtu kakosea anaambiwa kakosea kuomba radhi ni yeye na utashi wake utakavyomtuma.
mimi nafikiri huu mtindo wakusema eti kusimamia unachoamini hapa hatupo ktk dini hiki ni chanzo cha udikiteta.
Dikteta kwa kuamini mawazo yake zaidi kuliko yaliyo ya wengi ndicho humponza dikteta,Mimi nafikiri kiongozi umetumwa umepewa dhamana ya kuwakilisha kusimamia mawazo ya walio wengi yani wananchi na sio mawazo yako.
Mara nyingi japo si mara zote kiongozi yoyote anayesimamia mawazo yake badala ya wananchi hata kama mawazo yake yapo sahihi mwisho wa mwisho huishia kuwa dikteta na kutoa vitosho anavyoviona yeye vinamfaa maana anaamini mawazo yake siku zote yapo sahihi.
Mtu kakosea anaambiwa kakosea kuomba radhi ni yeye na utashi wake utakavyomtuma.
mimi nafikiri huu mtindo wakusema eti kusimamia unachoamini hapa hatupo ktk dini hiki ni chanzo cha udikiteta.
Dikteta kwa kuamini mawazo yake zaidi kuliko yaliyo ya wengi ndicho humponza dikteta,Mimi nafikiri kiongozi umetumwa umepewa dhamana ya kuwakilisha kusimamia mawazo ya walio wengi yani wananchi na sio mawazo yako.
Mara nyingi japo si mara zote kiongozi yoyote anayesimamia mawazo yake badala ya wananchi hata kama mawazo yake yapo sahihi mwisho wa mwisho huishia kuwa dikteta na kutoa vitosho anavyoviona yeye vinamfaa maana anaamini mawazo yake siku zote yapo sahihi.
Last edited: