Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,552
Mwanakijiji,
Hizo chati za sub group za hii Poteki ni Gademu!
Hizo chati za sub group za hii Poteki ni Gademu!
Hivi leo ni jumanne ??
Nilisha toa ushauri mapema sana mambo sio mazuri nchini the best solution ni viongozi wakuu kujiuzuru na kuitisha uchaguzi mpya.
Huwezi kuficha kosa kwa kosa lingine na bahati mbaya kosa ilwezi kufichwa kwa ukweli.
then the right solution ni kujiuzuru na kuitisha uchaguzi mwingine.
Kweli Tanzania inahitajika kutokee kama Madagascar. Huwezi amini watu wameshupalia kule kwa Mwakyembe na kuacha RA azidi kula vyake. Kweli RA ana akili huyoooo!!!! Kesho nisikie mtu anasema SI KWELI.
Tunaamini kuwa kuingia kwa Dowans kuliingia kwa ulaghai (under false pretence) na
ya kuwa hawakuingia wakiwa na nia ya kuaminiana (good faith). Yote haya mawili yanatosha kabisa kuilazimisha serikali kuitaifisha mitambo ya Dowans na kuanza kuitumia bila kulazimika kulipa chochote!
Tutakubali kuwaachia majenereta hayo pale tu watakapokuja Portek Systems and Equipment Ltd kutuonesha kuwa ina hisa yoyote kwenye kampuni ya Dowans Tanzania Limited ukiondoa kwenye makaratasi ya BRELA.
Hivi leo ni jumanne ??
Very bold of you Mwanakijiji. This could be the first step that is needed.
Kama kweli Idris alivyo kua anasisitiza udharula wa umeme within the next few months lasivyo giza nene litaikumba Tanzania. You have given them a life line kutaifisha mitambo ya Dowans to save the day.