But every thing in this world needs planing, ndio maana Jeshi linakuwa na Stock ya silaha , askari , training etc.
Sasa tukirudi kwenye Tanesco iwe ni serikali mkosa au yenyewe tanesco kwa kutotekeleza kile walicho takiwa kutekeleza , kama kutoa pesa in time etc , ndio hapo tunapo taka kumjua mchawi wetu nani? kwamba moja anafanya maksudi ili aweke mazingira ya dharura, then watu watengeneze chao? at the expense ya kuuwa mtaji huo mdogo wa nchi na adha zingine. kwa sababu mradi kama huu si endelevu, ni sawa sawa na dawa ya kutuliza maumivi, wakati tiba ni chloroquine na si panadol.
Tatizo lilipo toke Mwaka 2006, Lowasa kama waziriMkuu aliwahakikishia wananchi kwamba serikali imejipanga na wasihofu (meaning pesa ipo au itatafuywa toka chanzo chochote ku-solve hiyo problem) sasa 3 year in tatizo linajirudia , na fedha kama unavyosema wewe hakuna kugharamia miradi mikuu, bali zipo za umeme wa dharura, je hii inaingia akilini?