Phillemon Mikael,
Mkuu walioingia mkataba na IPTL, Songas, Richmond/Dowans ni TANESCO..hivyo huwezi kutenganisha serikali na Tanesco ikiwa nchi yetu bado inaendeshwa Kikomunist.. nachokataa mimi ni pale unapotenganisha Tanesco na serikali wakati Idrissa amechaguliwa na rais kushika wadhifa huo. Hili sio shirika huru mkuu wangu, tunadanganyana tu kwani ni watu wale wale wangekuwa madarakani kama lingekuwa shirika la Umma chini ya Ujamaa.. Hawa wote wanatakiwa kulaumiwa, Toka Mwinyi, Mkapa hadi Kikwete ahadi hizi zilikuwepo hazikuanza jana, hawa wote wanakula sahani moja isipokuwa wanalala vitanda tofauti..Mwenye donge mkononi sasa hivi ni Idrissa na lazima alaumiwe yeye kwani maamuzi yake ndio yatakayo tuweka kizani - hadi lini Mungu ndiye anajua...
Mkuu walioingia mkataba na IPTL, Songas, Richmond/Dowans ni TANESCO..hivyo huwezi kutenganisha serikali na Tanesco ikiwa nchi yetu bado inaendeshwa Kikomunist.. nachokataa mimi ni pale unapotenganisha Tanesco na serikali wakati Idrissa amechaguliwa na rais kushika wadhifa huo. Hili sio shirika huru mkuu wangu, tunadanganyana tu kwani ni watu wale wale wangekuwa madarakani kama lingekuwa shirika la Umma chini ya Ujamaa.. Hawa wote wanatakiwa kulaumiwa, Toka Mwinyi, Mkapa hadi Kikwete ahadi hizi zilikuwepo hazikuanza jana, hawa wote wanakula sahani moja isipokuwa wanalala vitanda tofauti..Mwenye donge mkononi sasa hivi ni Idrissa na lazima alaumiwe yeye kwani maamuzi yake ndio yatakayo tuweka kizani - hadi lini Mungu ndiye anajua...