Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
I guess muhusika mkuu hapo ni Rostam, jee CCM itaweza kumkaanga RA? Nadhani kuna setup inayokuja. Kama mzazi wako yupo close na CCM mwambie awe muangalifu, i smell setup hapo.
Muhamed Saleh anajua nani ni mmiliki wa hii kampuni, kwani si yeye aliyekuwa anaripoti kisiri siri kwa Richmond/Muhamed Gire/Rostam mambo ya internal negosiation ya Tanesco. Sasa mbona hii serikali ya Jakaya inataka kutufanya Watanzania hatuna hakili? Muhamed Saleh aliacha kazi Tanesco kwenda kuwa mkurugezi wa Dowans baada ya Richmond kuachia ngazi. Sasa kama mnataka kumjua nani muhusika wa Dowans si mnakwenda kumshika Saleh anamtaja muajiri wake?? Wote tunajua kabisa Saleh ndio aliwalobby Tanesco kuhusu Richmond na ni yeye aliyesoma na Muhamed Gire.
Hawa CCM always wanataka kujifanya wanabraking news, not this time na cheap news zao. Waambie hawajangundua kitu, swala la Dowans and Richmond was solved tangu report ya Mwakyembe ni wao ndio walio fail kutekeleza. We need swala la Balali na EPA, we need swala la Meremeta, swala la IPTL, Tangold and Kiwira, and Ndege ya Rais na Rada ambayo imesababisha vijimilion dollar vya chenge kuongezeka kwenye offshore account. That is what we need now
Muhamed Saleh anajua nani ni mmiliki wa hii kampuni, kwani si yeye aliyekuwa anaripoti kisiri siri kwa Richmond/Muhamed Gire/Rostam mambo ya internal negosiation ya Tanesco. Sasa mbona hii serikali ya Jakaya inataka kutufanya Watanzania hatuna hakili? Muhamed Saleh aliacha kazi Tanesco kwenda kuwa mkurugezi wa Dowans baada ya Richmond kuachia ngazi. Sasa kama mnataka kumjua nani muhusika wa Dowans si mnakwenda kumshika Saleh anamtaja muajiri wake?? Wote tunajua kabisa Saleh ndio aliwalobby Tanesco kuhusu Richmond na ni yeye aliyesoma na Muhamed Gire.
Hawa CCM always wanataka kujifanya wanabraking news, not this time na cheap news zao. Waambie hawajangundua kitu, swala la Dowans and Richmond was solved tangu report ya Mwakyembe ni wao ndio walio fail kutekeleza. We need swala la Balali na EPA, we need swala la Meremeta, swala la IPTL, Tangold and Kiwira, and Ndege ya Rais na Rada ambayo imesababisha vijimilion dollar vya chenge kuongezeka kwenye offshore account. That is what we need now