Dr. Rashid anasema mkataba unasimamishwa na anasisitiza kuwa umesimamishwa na malipo ya Milioni 152 ambayo walikuwa wanalipwa kila siku itakuwa kwenye hatua ya pili. Hatua ya kwanza ambayo na serikali imeridhia ilikuwa ni kuusimamisha mkataba huo haraka baada ya kushauriwa vema na wanasheria.
Malipo ya Capacity Charge wanalipa Hazina kwa niaba ya serikali. TANESCO inalipia gesi kila mwezi kulingana na gesi inayotumiwa.
Anasema hawataweza kuwadai matumizi ya gesi kwakuwa ilikuwa inatumiwa lakini suala la Capacity Charge ambayo ilikuwa ikilipwa kila siku ndilo wanaliangalia kwa undani.
Waziri William Ngereja pia amethibitisha jambo hili na anasema wamegundua kweli mkataba mzima ulikuwa si halali (ni batili).
Zaidi tutaendelea kupata toka vyanzo vya habari
Hehehehe! Invisible ngoja mi nijichekee na kujiimbia kawimbo haka kazuri sana
Tanzaniaaa Tanzaniaaaa!! Nakupenda kwa moyo woooteee
Nchi yangu Tanzaniaaaa Stori zako ni tamuu saanaaa!!
Nilalapo namwaza Vijisentiiii
Niamkapo Mkapa baba weee!
Tanzania Tanzaniaaaa Nakupenda na EPA zakoooooo
TANZANIA!!! TANZA NIAThe only country were footballers plays BUT they dont win!!
The only country were mzungu comes with one dollars and leaves with millions of dollars!!The only country were engineers builds but House falls down!!
The only country with Politicians who believes in voo doo!!! Attorney General!!
The only country were ufisadi is Prestige!!!The only country with many TUMEz!!
The only country were development is in Figure!!Not visible!!
The only country were politicians are richest men!!the only country were Language iz a problem!!AND
THE ONLY COUNTRY were PRESIDENT keep on SMILING despite of national difficulties! !!
THE ONLY COUNTRY WITH HANDSOME PREZZIDAAA!! ! I LAV THIS COUNTRY!!
Hapo sasa,ngoja tujipe matumaini.