Maskini Mimi
Member
- Jun 25, 2008
- 43
- 2
We believe kwamba tutafika, kwani mbio za sakafuni lazima ziishie ukingoni!!!!!!!!!Dr. Iddriss Rashid katoa Press Release LEO ambayo inaonesha kuwa mkataba huo hautokuwepo kufikia August mosi mwaka huu. Najua hii ni habari njema kwa walio wengi na mbaya kwa wachache.
Taarifa zaidi tutafahamishana hapa.
Kwa wanaoangalia TBC wanaweza kuona hii habari muda si mrefu
Thanks God for hearing prayers of millions of average human being in Tanzania