Dowans: Another Richmond in making?

Dowans: Another Richmond in making?

WanaJF,

Sikuwa katika mazingira ya kupita humu jamvini na kushiriki katika mjadala. Nimerudi safari na nilipopita nimekuta masuala mengi ya kujibu kwa upendo wangu kuhusiana na mjadala huu wa Mitambo ya kuzalisha Umeme. Ni mjadala mkali na wenye kubeba uchungu wa Taifa letu. Nimeona mumemuweka kiti moto kweli Dr. Slaa. Nadhani ni mwafaka mimi mwenyewe kujibu baadhi ya hoja na kama kuna maswali, basi niweze kujibu kadiri nitakavyoweza.

Kwanza Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Public Investments Committee) haina mamlaka ya kikanuni au ya kikatiba kuiamrisha Serikali au Shirika la Umma kufanya au kutofanya manunuzi. Kamati kazi yake ni oversight (kusimamia). Kwa kweli hii ndio kazi ya Bunge na Kamati zake. Hata Kamati ya Nishati na Madini haina mamlaka ya kuingilia suala la utendaji wa kila siku wa Serikali. Ukishaifanya kamati ifanye kazi hiyo maana yake ni kuwa siku mhimili wa utendaji ukiboronga, Bunge halitaweza kusimamia kwani litakuwa ni sehemu ya uborongaji huo.

Pili, Kamati yangu imepewa mandate ya kufuatilia ufanisi wa mashirika ya Umma. Baada ya kuangalia income statement, na balance sheet, ambazo ndizo nguzo kuu zetu kufuatia taarifa ya CAG huwa tunaangalia je, Shirika linaendana na Corporate Plan yake? Melengo yanafikiwa? Huduma kwa wananchi ni bora, etc.

Kamati ilikutana na TANESCO mwezi Januari mwaka 2009 ili kutizama hesabu zao zinazoishia Disemba 2007. Tuligundua masuala yafuatayo:
- TANESCO katika mwaka unaoishia Disemba 2006 walipata 'Disclaimer Audit Opinion' kutoka kwa mkaguzi. Hesabu zao zilikuwa chafu sana kiasi cha Mkaguzi kuzikataa na kushindwa kutoa Opinion.
- TANESCO katika mwaka unaoishia Disemba 2007 walipata 'Unqualified Audit Opinion' kutoka kwa mkaguzi. Walifanikiwa kuruka hatua kadhaa (hati chafu, hati yenye mashaka) na kufikia hati safi. Hili lilikuwa jambo la kupongeza sana. Hasa ukizingatia kuwa wakati Kampuni ikiwa chini ya menejiment ya wageni (Net Group solutions) tulipata hati 'disclaimer' na ndani ya mwaka mmoja wa menejimenti ya Watanzania, tukapata hati safi na kusafisha madudu yote.

Hata hivyo, tulikuta matatizo kadhaa ndani ya TANESCO. Moja ya tatizo kubwa sana tulilolikuta ni kwamba gharama za kununua umeme kutoka kwa wauzaji (kama IPTL na Songas) zilikuwa zinachota fedha nyingi sana wakati umeme wanaozalisha ni kidogo sana ukilinganisha na umeme unaozalishwa na TANESCO wenyewe. Hebu fikiria: TANESCO inanunua kutoka kwa wawekezaji 42% ya umeme wote wanaouza. Hivyo TANESCO yenyewe inazalisha asilimia 58 ya umeme wote. Hata hivyo asilimia 84 ya mauzo yote ya umeme yanalipia umeme unaonunuliwa kutoka kwa wawekezaji (cost of sales) - yaani katika kila sh 100 ambayo TANESCO inakusanya kutoka kwa wateja wake, sh 84 zinatumika kununua 42% ya umeme ambao TANESCO inauza kwa wateja. Hivyo TANESCO inabakia na sh 16 kwa ajili ya kujiendesha ikiwemo kusambaza umeme zaidi kwa wananchi (kumbuka 12% ya watanzania ndio wenye umeme, na kwa Dar 50% ya wakazi hawana umeme - Household Budget survey 2007 iliyotoka November 2008). Kamati yangu ikasema, he, hili mbona halikubaliki?

Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kamati ikaagiza TANESCO waje kujieleza mbele ya Kamati juu ya hatua wanazochukua ili kupunguza gharama (cost of sales) na kuongeza mapato. (Kamati yangu imejiwekea lengo la kuhakikisha kuwa mpaka itakapokuwa inamaliza muda wake mwaka 2010 Agosti, mashirika yote muhimu ya Nchi yawe ama yana-break-even au yanapata faida. Ndio maana huwa hatupitishi hesabu mpaka tupate commitment za ma-CEO).

TANESCO wakaja katika kamati tarehe 21 Februari an kuwasilisha hatua mbalimbali wanazochukua. Katika hatua hizo ni pamoja na kutaka kununua mitambo ya DOWANS. Wakatueleza sababu zao zote. Tukawauliza maswali yetu. Ilikuwa ni mjadala sober sana katika Kamati. Kamati ikaona kuwa hoja za TANESCO zina mantiki.

Tukawauliza TANESCO, haya mnayotuambia mliiambia kamati ya Nishati na Madini? Kama ndio, mbona wao wamewakatalia? TANESCO, wakatujibu na kusema kamati haijawahi kutoa nafasi kwao kuelezea hoja zao. Tukasema, kama ndio hivyo basi, tunataka haya mnayotueleza sisi mwende mkayaseme tukiwa ni kamati mbili kwa pamoja kwani sisi hatupendi tupingane na wenzetu. Kamati ikaazimia hivyo.

Tukawauliza, Kamati ya Richmond walituambia DOWANS hawazalishi umeme. Iweje leo mitambo yao iwe inafaa ilhali wao walishindwa kuzalisha? TANESCO wakasema sio kweli, kwa mwaka mzima na tulikuwa tunanunua umeme wao MW 100 na hata wakati Dr. Mwakyembe anasoma taarifa ile, tulikuwa tunatumia mitambo ya Dowans. Wakaongeza kuwa ndio maana kipindi kama hiki (ambacho uzalishaji viwandani hukua na kutumia umeme mwingi) mwaka jana hatukuwa na mgawo kwani tulikuwa na 100MW kutoka Dowans mpaka tulipovunja mkataba mwezi Agosti. Pia kulikuwa na AGGREKO ambayo ilikuwa na 40MW. Hivi sasa kuna deficit ya 150MW ya umeme katika gridi.

Tukawauliza, hawa jamaa tunawadai. Wakasema ni kweli. Wamelipa deni lote ambalo tulikuwa tunawadai Richmond (35% of the value of the contract advanced to Richmond) na mpaka tunavunja mkataba tulikuwa tunawadai dola 8m tu maana walikuwa wanakatwa katika malipo yao. Hivyo tukiwanunua pia tunakata na pesa yetu.

Tukawauliza, sheria ya manunuzi inakataza. Wakasema ni kweli inakataza. Ilikuwa inakataza hata mitambo ya IPTL ambayo ni mikuukuu zaidi lakini sheria zina waiver kulingana na mahitaji ya nchi. Hata Ugiriki wakati wa Olimpiki walinunua mitambo iliyotumika nk. Ndio maana huwa tunanunua ndege zilizotumika. Mitambo ya miundombinu mara nyingi huwa ina special cases kisheria na ni nchi zote duniani.

Kamati ikasema sawa. Tutakutana Kamati mbili, Serikali na PPRA ili tuangalie suala hili. Nikafunga kikao

Haya jamani niambieni kosa langu lipo wapi?

Tatizo Watanzania mmezoea viongozi wanaowaambia mnayoyapenda tu. Hamjazoea na kwa mtindo huu hamtazoea viongozi ambao wanathubutu kuingia hata kwenye maeneo msiyoyapenda kusikia. Ndio maana maamuzi hayafanywi serikalini kwa sababu ya midomo.

Hapa JF kila mwanachama kawa leo mtaalamu wa Umeme, wengine wataalamu wa kanuni za Bunge, wengine wataalamu wa manunuzi lakini hata hawawezi kusema kifungu gani cha sheria ya manunuzi kinazungumzia suala la kununua mpya au hapana na kwa mazingira gani. Siasa tuuuuuu. Wengine mnahoji credibility yangu. Bila hata soni mnadhani mimi ni mpumbavu sana wa kuweza kujiwekea bei, at my age!

I am proud to what i have done for my country. I can die today smiling for my achievements. Wengine mdomo tuuuuuuuuuuu.

Wengine mnasema twende gizani. Mpo Ulaya na Marekani. Mnajua giza nyinyi? Mnajua madhara kwenye uchumi kwa umeme kukatika saa moja? Mwaka 2006 this sector grew at -2.5 kwa sababu ya giza and costed 2 points growth to our economy (read my speech bungeni katika mjadala wa richmond and economic survey 2006). Today the sector grow at 8% na mnataka twende nose diving again. Someni EIU survey feb 2009, kale kamgao ka Januari kalisababishwa na nini mnajua? Socket breaker tu iliungua na nchi ikaingia gizani kwani hakukuwa na reserve energy. Grid yetu ipo over done.

Mnajifanya mnajua, si lolote si chochote. Sisi ndio wawakilishi wenu. Tuulizeni. Tutawajibu. Tuulizeni tena. Tutawajibu. Tena na tena. Dont call us names.

This stupidity kills the courage of some of us to question myths of our society.

Lakini ninaelewa. Nchi imekuwa na wanasiasa wezi na waongo kwa muda mrefu sana. Hivyo trust to political class hakuna tena. Mpo paranoid. Kila mwanasiasa mnamwogopa masikini. Mnapata viongozi aina yenu Watanzania, kwani wengi ambao wanahoji humu pia hata ukimpa kijiji atakula mpaka bata wa kijiji (78% of Tanzanians dont trust each other - PHDR 2007).
 
WanaJF,

Sikuwa katika mazingira ya kupita humu jamvini na kushiriki katika mjadala. Nimerudi safari na nilipopita nimekuta masuala mengi ya kujibu kwa upendo wangu kuhusiana na mjadala huu wa Mitambo ya kuzalisha Umeme. Ni mjadala mkali na wenye kubeba uchungu wa Taifa letu. Nimeona mumemuweka kiti moto kweli Dr. Slaa. Nadhani ni mwafaka mimi mwenyewe kujibu baadhi ya hoja na kama kuna maswali, basi niweze kujibu kadiri nitakavyoweza.

Kwanza Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Public Investments Committee) haina mamlaka ya kikanuni au ya kikatiba kuiamrisha Serikali au Shirika la Umma kufanya au kutofanya manunuzi. Kamati kazi yake ni oversight (kusimamia). Kwa kweli hii ndio kazi ya Bunge na Kamati zake. Hata Kamati ya Nishati na Madini haina mamlaka ya kuingilia suala la utendaji wa kila siku wa Serikali. Ukishaifanya kamati ifanye kazi hiyo maana yake ni kuwa siku mhimili wa utendaji ukiboronga, Bunge halitaweza kusimamia kwani litakuwa ni sehemu ya uborongaji huo.

Pili, Kamati yangu imepewa mandate ya kufuatilia ufanisi wa mashirika ya Umma. Baada ya kuangalia income statement, na balance sheet, ambazo ndizo nguzo kuu zetu kufuatia taarifa ya CAG huwa tunaangalia je, Shirika linaendana na Corporate Plan yake? Melengo yanafikiwa? Huduma kwa wananchi ni bora, etc.

Kamati ilikutana na TANESCO mwezi Januari mwaka 2009 ili kutizama hesabu zao zinazoishia Disemba 2007. Tuligundua masuala yafuatayo:
- TANESCO katika mwaka unaoishia Disemba 2006 walipata 'Disclaimer Audit Opinion' kutoka kwa mkaguzi. Hesabu zao zilikuwa chafu sana kiasi cha Mkaguzi kuzikataa na kushindwa kutoa Opinion.
- TANESCO katika mwaka unaoishia Disemba 2007 walipata 'Unqualified Audit Opinion' kutoka kwa mkaguzi. Walifanikiwa kuruka hatua kadhaa (hati chafu, hati yenye mashaka) na kufikia hati safi. Hili lilikuwa jambo la kupongeza sana. Hasa ukizingatia kuwa wakati Kampuni ikiwa chini ya menejiment ya wageni (Net Group solutions) tulipata hati 'disclaimer' na ndani ya mwaka mmoja wa menejimenti ya Watanzania, tukapata hati safi na kusafisha madudu yote.

Hata hivyo, tulikuta matatizo kadhaa ndani ya TANESCO. Moja ya tatizo kubwa sana tulilolikuta ni kwamba gharama za kununua umeme kutoka kwa wauzaji (kama IPTL na Songas) zilikuwa zinachota fedha nyingi sana wakati umeme wanaozalisha ni kidogo sana ukilinganisha na umeme unaozalishwa na TANESCO wenyewe. Hebu fikiria: TANESCO inanunua kutoka kwa wawekezaji 42% ya umeme wote wanaouza. Hivyo TANESCO yenyewe inazalisha asilimia 58 ya umeme wote. Hata hivyo asilimia 84 ya mauzo yote ya umeme yanalipia umeme unaonunuliwa kutoka kwa wawekezaji (cost of sales) - yaani katika kila sh 100 ambayo TANESCO inakusanya kutoka kwa wateja wake, sh 84 zinatumika kununua 42% ya umeme ambao TANESCO inauza kwa wateja. Hivyo TANESCO inabakia na sh 16 kwa ajili ya kujiendesha ikiwemo kusambaza umeme zaidi kwa wananchi (kumbuka 12% ya watanzania ndio wenye umeme, na kwa Dar 50% ya wakazi hawana umeme - Household Budget survey 2007 iliyotoka November 200. Kamati yangu ikasema, he, hili mbona halikubaliki?

Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kamati ikaagiza TANESCO waje kujieleza mbele ya Kamati juu ya hatua wanazochukua ili kupunguza gharama (cost of sales) na kuongeza mapato. (Kamati yangu imejiwekea lengo la kuhakikisha kuwa mpaka itakapokuwa inamaliza muda wake mwaka 2010 Agosti, mashirika yote muhimu ya Nchi yawe ama yana-break-even au yanapata faida. Ndio maana huwa hatupitishi hesabu mpaka tupate commitment za ma-CEO).

TANESCO wakaja katika kamati tarehe 21 Februari an kuwasilisha hatua mbalimbali wanazochukua. Katika hatua hizo ni pamoja na kutaka kununua mitambo ya DOWANS. Wakatueleza sababu zao zote. Tukawauliza maswali yetu. Ilikuwa ni mjadala sober sana katika Kamati. Kamati ikaona kuwa hoja za TANESCO zina mantiki.

Tukawauliza TANESCO, haya mnayotuambia mliiambia kamati ya Nishati na Madini? Kama ndio, mbona wao wamewakatalia? TANESCO, wakatujibu na kusema kamati haijawahi kutoa nafasi kwao kuelezea hoja zao. Tukasema, kama ndio hivyo basi, tunataka haya mnayotueleza sisi mwende mkayaseme tukiwa ni kamati mbili kwa pamoja kwani sisi hatupendi tupingane na wenzetu. Kamati ikaazimia hivyo.

Tukawauliza, Kamati ya Richmond walituambia DOWANS hawazalishi umeme. Iweje leo mitambo yao iwe inafaa ilhali wao walishindwa kuzalisha? TANESCO wakasema sio kweli, kwa mwaka mzima na tulikuwa tunanunua umeme wao MW 100 na hata wakati Dr. Mwakyembe anasoma taarifa ile, tulikuwa tunatumia mitambo ya Dowans. Wakaongeza kuwa ndio maana kipindi kama hiki (ambacho uzalishaji viwandani hukua na kutumia umeme mwingi) mwaka jana hatukuwa na mgawo kwani tulikuwa na 100MW kutoka Dowans mpaka tulipovunja mkataba mwezi Agosti. Pia kulikuwa na AGGREKO ambayo ilikuwa na 40MW. Hivi sasa kuna deficit ya 150MW ya umeme katika gridi.

Tukawauliza, hawa jamaa tunawadai. Wakasema ni kweli. Wamelipa deni lote ambalo tulikuwa tunawadai Richmond (35% of the value of the contract advanced to Richmond) na mpaka tunavunja mkataba tulikuwa tunawadai dola 8m tu maana walikuwa wanakatwa katika malipo yao. Hivyo tukiwanunua pia tunakata na pesa yetu.

Tukawauliza, sheria ya manunuzi inakataza. Wakasema ni kweli inakataza. Ilikuwa inakataza hata mitambo ya IPTL ambayo ni mikuukuu zaidi lakini sheria zina waiver kulingana na mahitaji ya nchi. Hata Ugiriki wakati wa Olimpiki walinunua mitambo iliyotumika nk. Ndio maana huwa tunanunua ndege zilizotumika. Mitambo ya miundombinu mara nyingi huwa ina special cases kisheria na ni nchi zote duniani.

Kamati ikasema sawa. Tutakutana Kamati mbili, Serikali na PPRA ili tuangalie suala hili. Nikafunga kikao

Haya jamani niambieni kosa langu lipo wapi?

Tatizo Watanzania mmezoea viongozi wanaowaambia mnayoyapenda tu. Hamjazoea na kwa mtindo huu hamtazoea viongozi ambao wanathubutu kuingia hata kwenye maeneo msiyoyapenda kusikia. Ndio maana maamuzi hayafanywi serikalini kwa sababu ya midomo.

Hapa JF kila mwanachama kawa leo mtaalamu wa Umeme, wengine wataalamu wa kanuni za Bunge, wengine wataalamu wa manunuzi lakini hata hawawezi kusema kifungu gani cha sheria ya manunuzi kinazungumzia suala la kununua mpya au hapana na kwa mazingira gani. Siasa tuuuuuu. Wengine mnahoji credibility yangu. Bila hata soni mnadhani mimi ni mpumbavu sana wa kuweza kujiwekea bei, at my age!

I am proud to what i have done for my country. I can die today smiling for my achievements. Wengine mdomo tuuuuuuuuuuu.

Wengine mnasema twende gizani. Mpo Ulaya na Marekani. Mnajua giza nyinyi? Mnajua madhara kwenye uchumi kwa umeme kukatika saa moja? Mwaka 2006 this sector grew at -2.5 kwa sababu ya giza and costed 2 points growth to our economy (read my speech bungeni katika mjadala wa richmond and economic survey 2006). Today the sector grow at 8% na mnataka twende nose diving again. Someni EIU survey feb 2009, kale kamgao ka Januari kalisababishwa na nini mnajua? Socket breaker tu iliungua na nchi ikaingia gizani kwani hakukuwa na reserve energy. Grid yetu ipo over done.

Mnajifanya mnajua, si lolote si chochote. Sisi ndio wawakilishi wenu. Tuulizeni. Tutawajibu. Tuulizeni tena. Tutawajibu. Tena na tena. Dont call us names.


This stupidity
kills the courage of some of us to question myths of our society.

Lakini ninaelewa. Nchi imekuwa na wanasiasa wezi na waongo kwa muda mrefu sana. Hivyo trust to political class hakuna tena. Mpo paranoid. Kila mwanasiasa mnamwogopa masikini. Mnapata viongozi aina yenu Watanzania, kwani wengi ambao wanahoji humu pia hata ukimpa kijiji atakula mpaka bata wa kijiji (78% of Tanzanians dont trust each other - PHDR 2007).

One word: Duuuh!
 
Mh. Zitto,
umeeleza vizuri sana na tunapokea malezo yako kwa fikra huru kabisa isipokuwa tu kwamba unakosea sana maelezo yako unapojaribu kuhalalisha kitu ambacho taqarifa zetu zinatofautiana na zako..
Kwanza kabisa, swala la mkataba wa Richmond ni makosa makubwa, pili mkataba wa Dorwans pia ni makosa yalitumika kwa sababu wamerithi mkataba uliokua batili ambao toka mwanzo umetugharibu kiasi kikubwa cha fedha..Kifupi hawa ni wezi toka viongozi waliotuweka ktk mkataba huu hadi shirika husika na mikataba hii..
Kwa hiyo mlipowaita tanesco kuangalia gharama zao na kukuta fedha nyingi wanalipa mashirika haya ya ugawaji , jambo la kwanza kuingilia akilini ni uhakika wa kile tulichokuwa tukidai toka mwanzoni.. hesabu zako zinaonyesha wazi jinsi Dorwans wanavyotuibia ikiwa Tanesco inayozalisha 58% ya umeme inatumia asilimia 80 ya mapato yake kulipia mkataba wa asilimia 42%..Hivyop ni muhimu kwenu kwanza kufahamu hao Dorwans na Songo ina wagharimu kiasi gani ku run mitambo hiyo kabla hujafikiria kuinunua.. What if hata wao gharama kubwa iliyosababisha bei kubwa inatokana na uzalishaji umeme kwa kutumia mitambo hiyo..Je, mmefanya utafiti kuhusiana na mitambo hiyo kwanza na kiasi gani serikali au Tanesco wanaweza ku save kama watainunua mitambo hiyo!.. sidhani kwa sababu Dorwans hawawezi kuwapa figures zao au za kweli hivyo mnachotumia hapa ni guess work tu!..No one knows how much it cost ku run mitambo hiyo iliyochoka!..isipokuwa mnachojua ni kiasi gani Tanesco inawalipa Dorwans..
Halafu nimeona ktk maswali yenu mliuliza kuwa Richmond walikuwa hawazalishi! - ukweli ni kwamba hapa JF tulikwisha ambiwa kuwa Richmond walianza kuzalisha na hata walipouziwa Dorwans tulikumbushiwa tena kuwa hawa jamaa walikuwa wakizalisha ingawa sio ktk kiwango kinachotakiwa hadi mtambo wao wa pili untakapo wasili..Hivyo tulijua kwamba wanazalisha tena baada ya muda mrefu kupita nje ya mkataba wa awali..
Hivyo swala kubwa kwa wananchi ni ununuzi wa mitambo ya WEZI kwa sababu tu ndio tunaona ni suluhisho la muda au kudumu...Mkuu wangu wewe kama mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio unawakilisha mawazo yako mwenye kwa jinsi unavyofikiria ati kwa sababu tunaosema tunaishi nje.. kinachotuweka sote hapa ni moyo sawa na wako hata kama upo Tanzania haina maana wewe una uchungu na Tanzania kuliko sisi tunaoishi nje... Laa hasha mkuu unakosea kabisa kwani hao kina Lowassa na Rostam wanaishi wapi? hao mafisadi wote wanaishi wapi, iweje sisi tuwe na uchungu kuliko wao wakati tunaishi nje!.. acha mkuu wangu unaharibu! sikiliza malalamiko ya wananchi mkisha yawakilishe kama kipengele cha maswali yako sio kutunga maswali wewe na kuyatafutia support ya wananchi!..
Na ajabu unapouliza kama sisi tunajua kiza kwa sababu tunaishi Ulaya, mkuu kwani sisi tumezaliwa Ulaya..wengi hapa wamekuja huku kusoma tu iweje iwe swala la wapi unaishi kujadili makosa ya nyumbani..
Mkuu wangu nimezaliwa Ukerewe na kukulia Kibara ambako kwa umri wote wa ujana wangu sikuona umeme isipokuwa kwa mkuu wa wilaya na hizo generator, hivyo usianze kabisa na kutuuliza kama tunajua kiza..Hapo dar penyewe hufikia Matembele, Ukonga hakuna hata umeme leo wewe unahoji experience yangu kuhusiana na umeme!
Hata hapa Ulaya umeme hukatika na kuna hasara mara 1000 ya hasara ya Tanzania kwa mwaka mzima, hivyo kama mliyajua haya kwa nini mliingia mkataba na Richmond au Dorwans wakati mapendekezo yako yote yametokana na utendaji mbnaya wa serikali iliyopo madarakani..Mitambo hii ni kinyesi cha chakula tulichokula huwezi kuwalazimisha wananchi wakubali kula ati kwa sababu tuna njaa!...Laa hasha mkuu wangu it's not the only solution hilo tunalikataa!

Somo la yote yaliyotokea mkuu wangu ni kutufundisha sisi kwamba uzalishaji wa miundombinu hasa Umeme, Mawasiliano, Maji na kadhalika ni vitu ambavyo hutakiwi kununua kwa shirika binafsi..Hivyo tusichukue njia za mkato kwa sababu tunahitaji umeme kwa asilimia 42 ya mji wa Dar kulivika Taifa zima ukiritimba unaotaka kufanyika..
Mwisho nakuomba utuambie mlifikiria ununuzi wa mitambo mipya utagharimu kiasi gani, na itachukua muda gani kufika wakati tukiwa bado ktk lease ya mitambo hiyo ya Dorwans!..
 
Date::2/27/2009
Kununua mitambo Dowans si ufisadi
Na Ramadhan Semtawa

WAKATI Bunge la Jamhuri ya Muungano likiwa limenawa mikono katika mpango wa kununua mitambo ya kufua umeme wa dharura ya kampuni ya Dowans, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja ameonyesha msimamo kutetea mpango huo, akisema si wa kifisadi.

Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini ilishashauri kuwa serikali isinunue mitambo hiyo kutokana na kuwa imeshatumika, ikieleza kuwa kufanya hivyo ni kinyume na sheria ya manunuzi ya umma, lakini serikali imeonekana kupitia mlango mwingine na kuwasilisha mpango huo kwenye kamati nyingine ya bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, ambayo iliomba kamati hizo zikutanishwe ili kutoa uamuzi kuhusu mpango huo.

Hata hivyo, katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah alisema hakuna haja ya kamati kukutana kujadili suala hilo kwa kuwa bunge halina uwezo wa kuilazimisha au kuikataza serikali kufanya manunuzi kama inavyokuwa wakati ikinunua magari yake na vitu vingine.

Kwa sasa mitambo hiyo inashikiliwa na Tanesco, ambalo linadai kuwa itatumika kama fidia iwapo shirika hilo litashinda kwenye kesi ambayo Dowans imefungua dhidi ya Tanesco kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Biashara iliyo Paris, Ufaransa.

Lakini jana, Waziri Ngeleja aliiambia Mwananchi katika mahojiano ofisini kwake kuwa kununua mitambo hiyo hakutakuwa na chembechembe zozote za ufisadi ingawa wengi wanahisi hivyo.

"Nchi haiongozwi kwa hisia," alisema Ngeleja, ambaye alitetea sana mpango wa kununua mitambo hiyo wakati akiongea na waandishi kuhusu uamuzi wa serikali kukubaliana na ushauri wa kamati ya bunge wa kuzuia kununuliwa kwa mitambo hiyo.

"Ni hatari kuacha kujadili mambo muhimu ya nchi yanayozingatia maslahi ya taifa, na badala yake kuendekeza hisia zisizo na mantiki,"alisema.

Ngeleja alisema kitendo cha watu kuhisi kuna kuna ufisadi katika mpango huo wa kununua mitambo hiyo, hakina mantiki, akisema kuwa serikali iko makini na haiwezi kukubali matokeo kama ya Richmond, ambayo ilipewa zabuni ya kufua umeme wa dharura kwa mazingira tata na kusababisha Bunge kuingilia kati na kufanya uchunguzi uliosababisha Edward Lowassa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mkuu na baadaye kufuatiwa na mawaziri wawili.

Ngeleja alisema vipo vyombo vya serikali vinavyosimamia sheria na vinafanya kazi kwa umakini na akahoji: "Hivi watu hawaoni vigogo wanavyoburuzwa mahakamani, sasa watu wanafikiri serikali imelala, kwanini tuendeshe nchi kwa hisia."

Alipoulizwa kama kuna msukumo wowote kutoka kwa watu ambao walituhumiwa kuhusika katika mpango wa kuifanikisha Richmond kushinda zabuni ya ufuaji umeme wa dharura, Ngeleja alijibu: "Umeangalia maslahi ya taifa tu."

Ngeleja alisema msukumo wa kutaka kununua sasa mitambo hiyo unatokana na kuangalia ukuaji wa uchumi, ambao mahitaji yake ya umeme yanaongekeza kwa asilimia kati ya 10 hadi 15 katika kipindi cha kuanzia mwaka 2008 hadi 2012.

"Utafiti uliofanywa katika Power System Master Plan (mpango wa kuendeleza sekta ya umeme) unaonyesha mahitaji ya umeme yanakua kwa wastani wa asilimia 10 hadi 15 kila mwaka katika kipindi cha kuanzia mwaka 2008 hadi 2012," alisema.

Alisema changamoto ni kwamba mipango iliyopo ya kuongeza uzalishaji haitaweza kuziba pengo kati ya uwezo wa mitambo ya kuzalisha umeme na mahitaji ya umeme yanayotarajiwa kati ya mwaka huu na mwaka kesho, baada ya miradi ya dharura kuondolewa.

"Hii inatokana na ukweli kwamba, ni vigumu kubuni mradi unaoweza kukamilika kabla ya mwaka 2009 kuisha," alisisitiza.
Kuhusu bunge kushauri mitambo hiyo ya Dowans isinunuliwe kutokana na kwenda kinyume na sheria ya manunuzi ya umma, Ngeleja alijibu: "Ninachokumbuka, bunge lilijadili na kupitisha azimio kuhusu uhalali wa mkataba wa Richmond.

"Hakuna mtu anayepinga... mkataba wa Richmond ulibainika kuwa tata na serikali ilichukua hatua. Serikali haiwezi kuzembea wala kufumbia macho vitendo vya kifisadi.

"Juni 28, 2008 serikali ilitoa tamko la kusitishwa mkataba huo ifikapo Agosti mosi na kweli ilifanyika... hatua hiyo ilichukuliwa na serikali lakini pia kwa kuzingatia maelekezo ya bunge," alifafanua.

Alipoulizwa sababu za kung'ang'ania kununua mitambo hiyo kinyume na Sheria ya Manunuzi ya Umme ambayo inazuia taasisi za serikali kununua mitumba, Ngeleja alihoji: "Mbona watu wanasema tununue mitambo ya IPTL.

"Ni kweli sheria ya PPRA inatakaza ununuzi wa vitu vilivyotumika, lakini yapo maeneo ambayo kutokana na mazingira halisi ya kisekta si lazima kinachonunuliwa kiwe kipya.

"Angalia, ATC leo hii inaweza kununua au kukodi ndege lakini si lazima iwe mpya. Tuangalie maeneo ya msingi, jambo kubwa ni watalaamu kuthibitisha ubora na uwezo wa kukidhi mahitaji ya nchi. Mitambo ile unaweza kuifunga leo hii katika toroli na kuipeleka mkoa wowote wenye uhaba wa umeme."

Kuhusu gharama za kununua mitambo mipya kulinganisha na gharama za mitambo ya mitumba ya Dowans, Ngeleja alijibu: "Tuliwahi kupata mtaalamu akasema hii ya Dowans ni kati ya dola 58 hadi 60 milioni, wakati mipya ni kati ya dola 120 milioni... mara mbili ya hii."

Alisema uamuzi huo wa kutaka kununua mitambo ya Dowans, hauna msukumo wala mkono wa mafisadi kwani unalenga kuikoa nchi katika tatizo la mgao wa umeme.

"'Sasa hapa, utaona kwamba uamuzi huu hauna msukumo wala mkono wa mafisadi," alisema.

Utata wa mitambo hiyo ya Dowans sasa unaendelea kama sakata la zabuni ya ufuaji umeme wa dharura lilivyoanza. Dowans ilirithi mkataba wa Richmond iliyobainika kuwa haikuwa na uwezo wa kuzalisha umeme huo wa dharura.

Matokeo ya uchunguzi wa kamati hiyo ya Bunge iliyoongozwa na Mbunge Harrison Mwakyembe ulisababisha Lowassa kujiuzulu baada ya kutuhumiwa kuingilia mchakato wa zabuni na kushauriwa atumie busara kuamua juu ya ushiriki wake katika suala hilo.

Hali mkataba wa Dowans ukiwa umeshaisha, kampuni hiyo imewasilisha mashtaka Mahakama ya Kimataifa ya Biashara dhidi ya Tanesco, ambayo nayo imeshikilia mitambo ya Dowans ikisema kuwa itatumika kama fidia iwapo shirika hilo la serikali litashinda kesi hiyo.

Halafu mwisho wa siku , atakuja kulia oh uwanja wa ndege wa Mza hauko katika standard, oh mkoa au jimbo langu halina umeme wa hakika wakati Arusha, Kilimanjaro etc wana umeme imara, huku wewe mwenyewe unakula kile ambacho kitakuletea manufaa. Ndio maana nasema huu umeme wa viroba utatumaliza. kama kweli Serikali ina nia ya kueleta hayo maendeleo ya kiuchumi, kielimu etc , kwa nini wasijikite kwenye mradi moja mkubwa ? na wasumbawanga wakapata Umeme etc etc.
 
Mheshimiwa Kabwe said:
Mnajifanya mnajua, si lolote si chochote.....Dont call us names.


Mheshimiwa Kabwe said:
This stupidity kills the courage of some of us to question myths of our society.

Mheshimiwa,

..pamoja na maelezo yako mazuri, sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kutumia maneno makali kiasi hicho.
 
Mh. Zitto,
umeeleza vizuri sana na tunapokea malezo yako kwa fikra huru kabisa isipokuwa tu kwamba unakosea sana maelezo yako unapojaribu kuhalalisha kitu ambacho taqarifa zetu zinatofautiana na zako..

Taarifa zipi hizo ulizo nazo ambazo ni tofauti na zangu? Nipo tayari kujadili taarifa hizo ili sote tuelewane kukubaliani au kutokubaliana
Kwanza kabisa, swala la mkataba wa Richmond ni makosa makubwa, pili mkataba wa Dorwans pia ni makosa yalitumika kwa sababu wamerithi mkataba uliokua batili ambao toka mwanzo umetugharibu kiasi kikubwa cha fedha..

kiasi gani cha fedha, unaweza kutaja ili tujadiliane kwa facts maana ni rahisi kusema kiasi kikubwa cha fedha kwa maneno tu bila takwimu. Hebu niambie, kiasi gani?
Kifupi hawa ni wezi toka viongozi waliotuweka ktk mkataba huu hadi shirika husika na mikataba hii..
Kwa hiyo mlipowaita tanesco kuangalia gharama zao na kukuta fedha nyingi wanalipa mashirika haya ya ugawaji , jambo la kwanza kuingilia akilini ni uhakika wa kile tulichokuwa tukidai toka mwanzoni.. hesabu zako zinaonyesha wazi jinsi Dorwans wanavyotuibia ikiwa Tanesco inayozalisha 58% ya umeme inatumia asilimia 80 ya mapato yake kulipia mkataba wa asilimia 42%.
DOWANS ni kampuni moja kati ya kampuni zilizokuwa zinazalisha umeme na kuiuzia TANESCO ikiwemo IPTLHivyop ni muhimu kwenu kwanza kufahamu hao Dorwans na Songo ina wagharimu kiasi gani ku run mitambo hiyo kabla hujafikiria kuinunua.. What if hata wao gharama kubwa iliyosababisha bei kubwa inatokana na uzalishaji umeme kwa kutumia mitambo hiyo.
Gharama ya kuzalisha haihusiani na bei wanayotuuzia kwa kiasi kikubwa. Gharama hii kwa kiasi kikubwa ni bei ya umeme na kitu kinachoitwa capacity charge.Je, mmefanya utafiti kuhusiana na mitambo hiyo kwanza na kiasi gani serikali au Tanesco wanaweza ku save kama watainunua mitambo hiyo!.. sidhani kwa sababu Dorwans hawawezi kuwapa figures zao au za kweli hivyo mnachotumia hapa ni guess work tu!
TANESCO waliajiri mtaalamu kutoka Ujerumani ili kufanya uthamini wa mitambo hiyo kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ndani ya kamatiNo one knows how much it cost ku run mitambo hiyo iliyochoka!..isipokuwa mnachojua ni kiasi gani Tanesco inawalipa Dorwans..
Costs of production kwa uzalishaji wa umeme is an open secret. Haifichiki. Nadhani upo juu juu sana maana maswali yako sasa naona ni rhetorics tu na hisia tupu. Unaweza kuuliza maswali magumu kidogo na factual?

Halafu nimeona ktk maswali yenu mliuliza kuwa Richmond walikuwa hawazalishi! - ukweli ni kwamba hapa JF tulikwisha ambiwa kuwa Richmond walianza kuzalisha na hata walipouziwa Dorwans tulikumbushiwa tena kuwa hawa jamaa walikuwa wakizalisha ingawa sio ktk kiwango kinachotakiwa hadi mtambo wao wa pili untakapo wasili..Hivyo tulijua kwamba wanazalisha tena baada ya muda mrefu kupita nje ya mkataba wa awali..

Kamati ilikwishaagiza kuwa fedha hizi za tozo ya kuchelewwa kuzalisha ilipwe mara moja kwa TANESCO na yaweza kuwa ni sehemu ya mpang wa TANESCO katika kununua. Mpaka mkataba wa Dowans ulipofutwa rasmi deni lilikuwa dola 8m
Hivyo swala kubwa kwa wananchi ni ununuzi wa mitambo ya WEZI kwa sababu tu ndio tunaona ni suluhisho la muda au kudumu...Mkuu wangu wewe kama mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio unawakilisha mawazo yako mwenye kwa jinsi unavyofikiria ati kwa sababu tunaosema tunaishi nje..

Umekasirika? Mbunge wa Jimbo lako nani? Suala kubwa ni ununuzi wa mtambo ya wezi au kama mitambo hiyo inafaa au haifai?

kinachotuweka sote hapa ni moyo sawa na wako hata kama upo Tanzania haina maana wewe una uchungu na Tanzania kuliko sisi tunaoishi nje... Laa hasha mkuu unakosea kabisa kwani hao kina Lowassa na Rostam wanaishi wapi? hao mafisadi wote wanaishi wapi, iweje sisi tuwe na uchungu kuliko wao wakati tunaishi nje!..

Nilikuwa sijui kama una uchungu zaidi. Kipimo gani unachotumia? Tunawajua wenye uchungu na tunawajua wapiga kelele tu.
acha mkuu wangu unaharibu! sikiliza malalamiko ya wananchi mkisha yawakilishe kama kipengele cha maswali yako sio kutunga maswali wewe na kuyatafutia support ya wananchi!..

Sijakuelewa, umesema nini hapa? Nikipata hoja niwe nakuja JF kuuliza nikaulizaje au sio? Au niwe naenda Kigoma Kaskazini kuuliza kata zote 10? Hebu fafanua
Na ajabu unapouliza kama sisi tunajua kiza kwa sababu tunaishi Ulaya, mkuu kwani sisi tumezaliwa Ulaya..wengi hapa wamekuja huku kusoma tu iweje iwe swala la wapi unaishi kujadili makosa ya nyumbani..

Sijasema hivyo. Unajifeel guilty tu. Inawezekana mwenzetu umesahau giza. Sisi wa Kigoma ndio twaishi na giza toka Uhuru, talijua

Mkuu wangu nimezaliwa Ukerewe na kukulia Kibara ambako kwa umri wote wa ujana wangu sikuona umeme isipokuwa kwa mkuu wa wilaya na hizo generator, hivyo usianze kabisa na kutuuliza kama tunajua kiza..Hapo dar penyewe hufikia Matembele, Ukonga hakuna hata umeme leo wewe unahoji experience yangu kuhusiana na umeme!
Hata hapa Ulaya umeme hukatika na kuna hasara mara 1000 ya hasara ya Tanzania kwa mwaka mzima,

Hasara ya Ulaya hainihusu. Unakuhusu wewe unaeishi huko

hivyo kama mliyajua haya kwa nini mliingia mkataba na Richmond au Dorwans wakati mapendekezo yako yote yametokana na utendaji mbnaya wa serikali iliyopo madarakani..Mitambo hii ni kinyesi cha chakula tulichokula huwezi kuwalazimisha wananchi wakubali kula ati kwa sababu tuna njaa!...Laa hasha mkuu wangu it's not the only solution hilo tunalikataa!

There you go again, RHETORICS

Somo la yote yaliyotokea mkuu wangu ni kutufundisha sisi kwamba uzalishaji wa miundombinu hasa Umeme, Mawasiliano, Maji na kadhalika ni vitu ambavyo hutakiwi kununua kwa shirika binafsi..Hivyo tusichukue njia za mkato kwa sababu tunahitaji umeme kwa asilimia 42 ya mji wa Dar kulivika Taifa zima ukiritimba unaotaka kufanyika..
Mwisho nakuomba utuambie mlifikiria ununuzi wa mitambo mipya utagharimu kiasi gani, na itachukua muda gani kufika wakati tukiwa bado ktk lease ya mitambo hiyo ya Dorwans!..

Tujadiliane tu
 
Mheshimiwa,

..pamoja na maelezo yako mazuri, sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kutumia maneno makali kiasi hicho.

Naomba radhi kama umeumizwa na maneno hayo. Credibility yangu inapoguswa huwa ninaumia sana kwani ningeamua kuwa fisadi tu kama wengine na miasha mdundo. Lakini niliamua kwa makusudi kuwa tofauti na wanasiasa wengine ili angalau tufanye mabadiliko katika Taifa.

Samahani Joka na wengine wasiostahili maneno haya kutoka kwangu.
 
August,
Kibaya kuliko yote ni hawa hawa viongozi wanaotupa kila sababu ya ununuzi wa magari mapya (Mashangigi) na kuyaponda yaliyokwisha tumika kisha leo kwenye miradi muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu wanakuja na sababu zisizokuwa na msingi kabisa..sasa ebu fikiria ikiwa matumizi ya umemem hukua kwa kiwango cha asilimia 10 hadi 15 kwa mwaka Kitaifa, basi bila shaka Dar peke yake matumizi hukua kwa zaidi ya asilimia 30 hadi 40 kwa mwaka.. Hivyo, kwa tafsiri yoyote ile mitambo hiyo ya Dorwans sio suluhisho hata kidogo la muda mfupi wala mrefu...
Bure ghali waswahili walisema, leo hiyo bure iwe muhimu sana ktk ununuzi wa miundombinu lakini sio kwa Mashangigi yao..
 
Naomba radhi kama umeumizwa na maneno hayo. Credibility yangu inapoguswa huwa ninaumia sana kwani ningeamua kuwa fisadi tu kama wengine na miasha mdundo. Lakini niliamua kwa makusudi kuwa tofauti na wanasiasa wengine ili angalau tufanye mabadiliko katika Taifa.

Samahani Joka na wengine wasiostahili maneno haya kutoka kwangu.

Mheshimiwa Zitto,

Maneno uliyotumia ni sawa kabisa. Kwanza mimi naona umetumia maneno ya upole. Ulichosema kuhusu watu humu ni cha kweli kabisa. Wengi tuliopo huku tuko majuu na kazi yetu hapa ni kupiga soga tu na kujifanya wajuaji wa kila fani (of course tukisaidiwa na google, wikipedia, na online resouces nyingine).

Hamna haja ya kuomba radhi. Sentiments zako wana share watu wengi tu.

Halafu nina swali: Hivi hii Jamiiforums ni maarufu kiasi gani huko Tanzania? Nikimaanisha ukisema tu Jamiiforums kwa mfano, mtu anajua moja kwa moja unazungumzia nini....
 
eshima kitu cha buree bora wewe unatuomba radhi wanajamiiiforum

mwombe musamaha dokta masau na wanajamiiforum kwa kumsingizia

Heheheheheee...you can't be serious...nani aombe "musamaha"? The Almighty? Since when The Almighty anakosea? Unaweza kunionyesha hata mahala pamoja alopokosea au alipoomba radhi?

Shauri yako...ngoja aione hii....atakunyima hela za mortgage note yako...car note....cell bill...cable bill...na hela za groceries....we endelea kumchezea tu.
 
Mheshimiwa Zitto,

Maneno uliyotumia ni sawa kabisa. Kwanza mimi naona umetumia maneno ya upole. Ulichosema kuhusu watu humu ni cha kweli kabisa. Wengi tuliopo huku tuko majuu na kazi yetu hapa ni kupiga soga tu na kujifanya wajuaji wa kila fani (of course tukisaidiwa na google, wikipedia, na online resouces nyingine).

Hamna haja ya kuomba radhi. Sentiments zako wana share watu wengi tu.

Halafu nina swali: Hivi hii Jamiiforums ni maarufu kiasi gani huko Tanzania? Nikimaanisha ukisema tu Jamiiforums kwa mfano, mtu anajua moja kwa moja unazungumzia nini....

JF ni jukwaa muhimu sana na linaheshimika kwa wale 'middle class', ni eneo la kuchota taarifa na maarifa wakati mwingine.
 
Zitto,
Mkuu nitakujibu kwa hatua na sehemu kubwa ya maswali yako yamejirudia yenyewe ila nitatumia muda kukujibu..
Kwanza:-
Taarifa zipi hizo ulizo nazo ambazo ni tofauti na zangu? Nipo tayari kujadili taarifa hizo ili sote tuelewane kukubaliani au kutokubaliana
Taarifa zangu ni kama zilivyofuata baada ya maelezo hayo yaliyotangulia huo ulikuwa mwanzo wa maelezo yangu hivyo taarifa ni kama ilivyofuata..
kiasi gani cha fedha, unaweza kutaja ili tujadiliane kwa facts maana ni rahisi kusema kiasi kikubwa cha fedha kwa maneno tu bila takwimu. Hebu niambie, kiasi gani?
Umeniuliza ni kiasi gani?.. mkuu maelezo yangu yamefuatia hoja yako uliposema kwamba Tanesco wanatumia kiasi kikubwa kulipa mashirika haya mawili yaani Dorwans na Songo, hivyo mlipotaka wakate matumizi ndipo niliposhauri au kusema matumizi makubwa ya Tanesco kulipia gharama za Umeme huo liwe somo kwenu kuuliza gharama wa wazalishaji badala ya kufikiria jinsi ya kununua Umeme wako.. mfano mdogo ni pale mimi nitakapo ona Umeme wa Tanesco kuwa ghali basi na wanatumia generators za dorwans basi na mimi nifikirie kununua generator bila kufahamu gharama za ku run generator hiyo kwa kudhani kuwa nita save zaidi... Hesabu haziendi hivyo..
Kwa hiyo sina takwimu isipokuwa kwa nukuu ya maelezo yako mwenyewe.
Gharama ya kuzalisha haihusiani na bei wanayotuuzia kwa kiasi kikubwa. Gharama hii kwa kiasi kikubwa ni bei ya umeme na kitu kinachoitwa capacity charge
..
bado jibu lako halina uhakika wa gharama ya uzalishaji Umeme ambayo Dowans wanaitumia hata kama iwe ndogo bado hatuna hakika na maswala mengi sana ikiwa ni pamoja nani mmliki wa hizi Generators.. yawezekana kabisa kuwa Dowans wame sub contract toka Richmond wakati wamiliki bado ni wale wale wa Richmond. Pili yawezekana mitambo hiyo imekopeshwa au kununuliwa on lease basis with an option to buy, hivyo gharama wanazodai hawa Dowans ni pamoja na interest walizokubaliana kati ya Richmond na wenye mitambo..
Tatu, hatuna uhakika wa mitambo hiyo iwe hata uimara wake, hivyo ukarabati wake unaweza kuwa tatizo jipya kwa sababu sisi ni third party tumeuziwa nje ya mnunuzi wa kwanza..Yawezekana kabisa mitambo hiyo haina guarantee kabisa hadi sasa tunavyozungumza..
Kifupi kuna maswali mengi ambayo Tanesco hawawezi kuyajibu wao ikiwa mlitaka kutafuta solution ya mitambo hii. Kumbuka tu hoja yangu sio Tanesco na mahitajki yake isipokuwa hiyo mitambo ya Dorwans hivyo somo hapa ni kuitazama mitambo hiyo kama inakidhi mahitaji yetu..Uchunguzi wangu upo kwa mitambo hii sio Tanesco kwa sababu tulivurunda sisi wenmyewe to begin with..Kwa hiyo ulihitajika uchunguzi zaidi wa mitambo yenyewe na sio swala la malipo ya capacity charge kwani baada ya ununuzi wa mitambo hii swala la capacity charges halipo tena ila ni kiasi gani itatugharimu kuzalisha hizo Khz 100.
Bila shaka hao Dorwans bei walizotupa ni baada ya kuodnoa matumizi yao na kuweka faida..gharama ambazo hata sisi zitatupata.. mathalan, mitambo ina run kwa kutumia Tsh..blaaa blaa za mafuta kwa kila uzalishaji wa khz 1..
Kamati ilikwishaagiza kuwa fedha hizi za tozo ya kuchelewwa kuzalisha ilipwe mara moja kwa TANESCO na yaweza kuwa ni sehemu ya mpang wa TANESCO katika kununua. Mpaka mkataba wa Dowans ulipofutwa rasmi deni lilikuwa dola 8m

Mkuu nitarudia kusema kwamba umeme ulikuwa ukizalishwa wakati mkataba na Richmond umefutwa..kisha kwa ujinga fulani wakapeana na Dorwans tukaufufua mkataba kwa njia ambazo nashindwa hata kuelewa. Unapofuta mkataba wa kwanza na misaini wako iweje yule aliyerithi achukue mkataba mpya kwa kutumia vifaa vile vile vilivyotangulia kuvunja mkataba wa kwanza!..
Huu ni utawala mboya hivyo kama kamati iliagiza fedha zile zirudishwe ni kwa sababu mkataba ulivunjwa na sio kuendelea kuzalsha umeme kwa makusudio ya kuja kununua mitambo hiyo..kamati haikuagiza hivyo!
Umekasirika? Mbunge wa Jimbo lako nani? Suala kubwa ni ununuzi wa mtambo ya wezi au kama mitambo hiyo inafaa au haifai?
Mkuu nitakasirika siku zote kila naposikia Ufisadi unachorwa.. Mbunge wangu ni Zitto wa jimbo langu huwezi kumfahamu kwani wewe na yeye picha haziendi!..by the way niliposema wewe kuwa mwakilishi wetu nina maana hapa JF hivyo ubunge wako hapa JF hauna jimbo mkuu wangu..
Mitambo inafaa au haifai sio uchunguzi mlioufanya isipokuwa mmeetazama gharama zinazoikabiri tanesco.. hapo ndipo ugonvi wangu unapokuja... na pili hata siku moja siwezi kununua mali ya mwizi hata kama naihitaji kiasi gani... nitafanya uchunguzi wa kina kuhusiana na mali hiyo kwanza na sii kiasi gani nakihitaji kitu hicho!
Nilikuwa sijui kama una uchungu zaidi. Kipimo gani unachotumia? Tunawajua wenye uchungu na tunawajua wapiga kelele tu.
Alaaah! baada ya kupewa kura zetu sasa na wewe umeanza kuvimba kifua sio.. hivi siku za nyuma ulikuwa ukipiga kelele kwa uchungu au ulikuwa ukipiga kelele tu!
Ama kweli mbwa akipiga sana kelele mpe mfupa!...utamfunga kamba ya shingo.
Sijakuelewa, umesema nini hapa? Nikipata hoja niwe nakuja JF kuuliza nikaulizaje au sio? Au niwe naenda Kigoma Kaskazini kuuliza kata zote 10? Hebu fafanua
Alaa kumbe wewe umechaguliwa ktk kamati hiyo kuwakilisha Kigoma sio...sikujua hilo, basi kifupi kamati hiyo haitufai bungeni kafungueni ktk manispaa ya Kigoma utawasikia wananchi wako!..
Mh. nakuheshimu sana lakini wewe bado kabisa mtoto mdogo sana ktk habari hizi huna ujanja wowote, huniwezi kabisa acha za kuleta..
Kuchemsha, umechemsha mkuu na ajabu kubwa umeanza kutumia hasira jambo ambalo linanipa wasiwasi kwani siku zote The guilty ones ndio huwa makali kiasi hiki!.. kwani ukikubali kukosea utakuwa umepoteza kitu gani badala ya kujibu majibu ya kunya!.. tuliza ball mkuu wangu!
 
Zitto Ameomba msamaha kwa maneno yake makali aliyotoa, nadhani asamehewe 7X70

Mheshimiwa Zito, Maelezo yako kuhusu hali halisi ni mazuri sana na yanatia moyo, LAKINI baada ya hapo umetamka maneno makali sana. Dr. Slaa amewekwa kitimoto sana kama ulivyokiri hata wewe, lakini amejibu hoja kwa busara ya hali ya juu sana.

I am sure if you will go back and read what you wrote, you may not believe it yourself!!

Hata hivyo your apology is highly appreciated,
 
Bob,

.......unayosema nikweli kabisa....natamani hiyo taarifa ya TANESCO a detailed one......tungeiona tungejua wame-explore kwa kiasi gani mpaka kufikia conclusions walizofikia...........

...halafu tumeambiwa one options tu.......mtu unapotoa hoja za kitaalamu katika masuala kama.......energy production ni muhimu kuwa na options/alternative.........inawezekana akina Zitto walipewa/waliambiwa hizo options mbali mbali ndio nao wakashawishika.............anyway hilo analijua Zitto mwenyewe..........pengine atatueleza zaidi........

Mh Zitto.........heshima mbele mkuu.........mapambano na mafisadi ni makubwa......kasheshe ya RDC na uzalishaji umeme.....naomba tusirudi huko maana........ule ni utapeli........ile ni aibu kwa Taifa.........hatuwezi kujustify ujinga siku zote kwa kuja kumeza matapishi yetu wenyewe...eti kwa sababu tunayameza ya IPTL.....upuuzi hauwi justified kwa upuuzi......NEVER........mafisadi ndio wametufikisha hapa tulipo leo........hata hili tatizo la umeme lisingekuwepo kama taarifa za kitaalamu zingekuwa zinazingatiwa tangu awali.........nafikir hilo walijua......

.......unaposema kuwa rate ilishuka kwasababu ya kiza.....pia kama ukiweza tunaomba utuwekee..........ni kwa jinsi gani mafisadi wanashusha hiyo rate.......au inapanda?.........well mlio karibu na data mtueleze.........my feeling ni kuwa rate ya mafisadi kuitafuna hii nchi inarudisha mno pace yetu ya kwenda mbele.......

Leo GT kaja na taarifa kutoka kule Bandarini...........hivi ni kiasi gani tuna-loose...again nyinyi mlio karibu na hizo data mtuambie..........in short mlango kama bandari no doubt ni sehemu kubwa kwa uchumi wetu..........sasa mnapokuja ku-justify akina TICTS or akina Dowans simply because they function......it does not make sense.......function kwa kiwango gani.........je ni kama hiyo 16% ya Tanesco ambayo inakuwa sawa na hasara.........still the devil is in the detail.........

...........leo mkikaa pamoja na kamati ya kina Shelukindo...what difference will that make...........anyway........in short tunataka maelezo ya kina.......and what are the plans in short, medium and longer terms...........

........kwa mbali naanza kumuelewa Mh Dr Slaa anaposema kuna "missing information" somewhere..........na one day wananchi tutaifahamu....kwa sababu sisi ndio waathirika..........

tuambie leo hii "ideally" kama Tanzania.............pace yetu ilitakiwa kuwa katika rate gani........and what rate are we after (target).......I know nishati affects most of our industries....and hence our uchumi.........lakin hiyo isitufanye wapungufu wa kifikiri........its not the end of the world..........

Finally Mheshimiwa........we both love our country.....dearly......kusema kwako kuwa walio Ulaya na USA hawalijui giza..........na kuwa hawajui chochote.......ni unexpected from you.......umenifanya nikulinganishe na wana-CCM...wanavyojustify uozo wao kwa kusema........hao wanaopiga kelele........ni kwa kuwa wako huko majuu ......eti hawajui lolote..............as if wanayoyafanya ni kwa faida ya Taifa..........bali kila siku hadi siku tunaona ni Mikataba mibovu...huku wananchi wakipewa lugha tamu.........eti maslahi ya Taifa..........

.......we know what you have done/what you are doing to our country....the sacrifice you have taken/you are taking.........many of us too can die smiling kwa kulichangia Taifa letu...........however it does not put me/you/Mkandara in a position to disregard others................
 
Disclaimer:: Just got back its around midnight my time with few drinks kichwani, but all in all: Lets go

Mh. Zitto, I was the one who made serious allegations of blackmail and/or corruption from Mtandao to U guys on this dowans issue. I'm not offended with ur reply though U used some slick words, but since I dished first, its all good.

Now, U are talking about serious problems within Tanesco, which we all agree but the cause of the problems are contracts that were signed in the same way U guys want to do with Dowans. Let us say Tanesco wants 200MW, so the solution is to buy 200MW generators from source companies ie GE or Wartsila right?? Here we all agree no middleman, and with the current financial crisis GE and Wartsila have very good prices, Google what other countries are doing. Unasema Tanesco wanalipa 84% ya mapato kwa kampuni zinazozalisha 42%, sasa tukinunua generators za Dowans, hiyo ratio itapungua?? No, kwa sababu haziingiliani ila ni maneno tu mnatumia kuchanganya wananchi wa vijijini, 84% blah blah, kwa hiyo on top of all those cash flow problems, solution ni kuongeza matumizi mapya ya $80 million to dowans kwenye mitambo chakavu?? Only in TZ.

Why do U insist on Dowans?? We all agree we need generators, but we want the generators from source companies where we will have warranties and other guarantees and a competitive price in this financial climate we are in.

Tanesco signed a bad deal with Songas, and Songas bought their generators from GE, Why don't we go to GE direct??? Mbona hao majambazi tukiwapa contracts wanakimbilia GE au Wartsila??? IPTL went to wartsila and Songas went to GE. This is our issue.

Now, U buy generators from Dowans, a company that does not generate electricity anywhere in this world, sasa baada ya manunuzi ikitokea tatizo na hizo generators tutaenda wapi mkuu?? Mbona Zitto tunakuamini sana lakini hapa unaact kama Viongozi wetu maboga??

Halafu unathubutu kusema eti mbona serikali inataka kununua mitambo ya IPTL, so vilevile tununue mitambo ya DOwans?? Really Zitto?? Unaona IPTL na Dowans ni sawa sawa?? IPTL tuko kwenye contract kuwalipa capacity charges kubwa mpaka 2018 I believe, so if tukinunua mitambo itasave money, WE ARE ALL UP FOR IT, sababu tutasave in the long run and it will cut down that 84% ratio U were talking about, which will improve Tanesco Cashflow situation. Sasa dowans, hatuna nao contract, kwa nini tununue mitambo yao?? PPRA ina maana gani??? Kwa hiyo msitake kuchanganya wananchi wetu huko vijijini kwa maneno mengi.

Ahsante mkuu, na I hope umeona kwa nini tunaissue na Dowans. U will do ur country a big service kama utatumia letterhead ya kamati kuandika barua GE and Wartsila kuulizia info tu ya NEW 100MW generators availability to Tanzania and at what price, then utaongea kama kijana mjanja na sio eti MD wa Tanesco kasema hivi na vile wakati unajua kabisa Chenge, Rostam, Karamagi, Lowassa wanashirikiana na huyo fisadi hapo Tanesco na Lowassa ndie alimweka hapo.

Dowans generators kwa habari za ndani zinaworth about $15 million, so sababu tunawadai $10milion, TUTAKUBALI KUNUNUA HIZO GENERATORS kwa $5million.

Kama hawataki, Powa tu maana hamna mtu yeyote dunia hii anayetaka kununua hizo generators, na mwisho wa siku Tanesco wakiwa wajanja na kusubiri, Dowans watatupa hizo generators bure maana hamna wanakoweza kupeleka.

Swali la mwisho::: Zitto hao Dowans unajua wanafanya kazi ya umeme sehemu gani dunia hii, ili wana JF walioko kona zote watembelee ofisi zao popote duniani tuone ufanisi wao???
 
Last edited:
"Suala kubwa ni ununuzi wa mitambo ya wezi au kama mitambo hiyo inafaa au haifai?" - Zitto.

Today I have heard the unexpected from this "fighter"!God bless Tanzania.
 
Mbunge Kijana haya mapendekezo ya Kikao cha Kamati yako na Timu ya 'Dakta wa Vijisenti' yanaendana na mapendekezo (maagizo?) ya Kamati Teule ya Bunge ya Kuchunguza Richmondi kuhusu namna ya kuinusuru Tanesko na kutatua tatizo la umeme Tanzania? Mwaka sasa umeisha toka mapendekezo hayo yatoke ila bado hamjayasimamia yatekelezwe kwa wakati! Sasa mnatuingiza kwenye 'dharura' nyingine alafu mnataka tu tuwaamini hawa wasomi wa vijisenti? Hakika Watanzania tumechoka kuwa mabwege!
 
Hadi mtatoana ngeu! Nunueni mitambo ya Dowans, mwachilieni Gire.. yaishe! tuangalie mengine.
 
Bob,

.......unayosema nikweli kabisa....natamani hiyo taarifa ya TANESCO a detailed one......tungeiona tungejua wame-explore kwa kiasi gani mpaka kufikia conclusions walizofikia...........

...halafu tumeambiwa one options tu.......mtu unapotoa hoja za kitaalamu katika masuala kama.......energy production ni muhimu kuwa na options/alternative.........inawezekana akina Zitto walipewa/waliambiwa hizo options mbali mbali ndio nao wakashawishika.............anyway hilo analijua Zitto mwenyewe..........pengine atatueleza zaidi........

Mh Zitto.........heshima mbele mkuu.........mapambano na mafisadi ni makubwa......kasheshe ya RDC na uzalishaji umeme.....naomba tusirudi huko maana........ule ni utapeli........ile ni aibu kwa Taifa.........hatuwezi kujustify ujinga siku zote kwa kuja kumeza matapishi yetu wenyewe...eti kwa sababu tunayameza ya IPTL.....upuuzi hauwi justified kwa upuuzi......NEVER........mafisadi ndio wametufikisha hapa tulipo leo........hata hili tatizo la umeme lisingekuwepo kama taarifa za kitaalamu zingekuwa zinazingatiwa tangu awali.........nafikir hilo walijua......

.......unaposema kuwa rate ilishuka kwasababu ya kiza.....pia kama ukiweza tunaomba utuwekee..........ni kwa jinsi gani mafisadi wanashusha hiyo rate.......au inapanda?.........well mlio karibu na data mtueleze.........my feeling ni kuwa rate ya mafisadi kuitafuna hii nchi inarudisha mno pace yetu ya kwenda mbele.......

Leo GT kaja na taarifa kutoka kule Bandarini...........hivi ni kiasi gani tuna-loose...again nyinyi mlio karibu na hizo data mtuambie..........in short mlango kama bandari no doubt ni sehemu kubwa kwa uchumi wetu..........sasa mnapokuja ku-justify akina TICTS or akina Dowans simply because they function......it does not make sense.......function kwa kiwango gani.........je ni kama hiyo 16% ya Tanesco ambayo inakuwa sawa na hasara.........still the devil is in the detail.........

...........leo mkikaa pamoja na kamati ya kina Shelukindo...what difference will that make...........anyway........in short tunataka maelezo ya kina.......and what are the plans in short, medium and longer terms...........

........kwa mbali naanza kumuelewa Mh Dr Slaa anaposema kuna "missing information" somewhere..........na one day wananchi tutaifahamu....kwa sababu sisi ndio waathirika..........

tuambie leo hii "ideally" kama Tanzania.............pace yetu ilitakiwa kuwa katika rate gani........and what rate are we after (target).......I know nishati affects most of our industries....and hence our uchumi.........lakin hiyo isitufanye wapungufu wa kifikiri........its not the end of the world..........

Finally Mheshimiwa........we both love our country.....dearly......kusema kwako kuwa walio Ulaya na USA hawalijui giza..........na kuwa hawajui chochote.......ni unexpected from you.......umenifanya nikulinganishe na wana-CCM...wanavyojustify uozo wao kwa kusema........hao wanaopiga kelele........ni kwa kuwa wako huko majuu ......eti hawajui lolote..............as if wanayoyafanya ni kwa faida ya Taifa..........bali kila siku hadi siku tunaona ni Mikataba mibovu...huku wananchi wakipewa lugha tamu.........eti maslahi ya Taifa..........

.......we know what you have done/what you are doing to our country....the sacrifice you have taken/you are taking.........many of us too can die smiling kwa kulichangia Taifa letu...........however it does not put me/you/Mkandara in a position to disregard others................

Oyaaaa. Hivi ulijifunzia wapi kuandika wewe? Midoti doti kibaaaaaao. Ngoja nanihino ayaone
 
Back
Top Bottom