Disclaimer:: Just got back its around midnight my time with few drinks kichwani, but all in all: Lets go
Mh. Zitto, I was the one who made serious allegations of blackmail and/or corruption from Mtandao to U guys on this dowans issue. I'm not offended with ur reply though U used some slick words, but since I dished first, its all good.
Now, U are talking about serious problems within Tanesco, which we all agree but the cause of the problems are contracts that were signed in the same way U guys want to do with Dowans. Let us say Tanesco wants 200MW, so the solution is to buy 200MW generators from source companies ie GE or Wartsila right?? Here we all agree no middleman, and with the current financial crisis GE and Wartsila have very good prices, Google what other countries are doing. Unasema Tanesco wanalipa 84% ya mapato kwa kampuni zinazozalisha 42%, sasa tukinunua generators za Dowans, hiyo ratio itapungua?? No, kwa sababu haziingiliani ila ni maneno tu mnatumia kuchanganya wananchi wa vijijini, 84% blah blah, kwa hiyo on top of all those cash flow problems, solution ni kuongeza matumizi mapya ya $80 million to dowans kwenye mitambo chakavu?? Only in TZ.
Why do U insist on Dowans?? We all agree we need generators, but we want the generators from source companies where we will have warranties and other guarantees and a competitive price in this financial climate we are in.
Tanesco signed a bad deal with Songas, and Songas bought their generators from GE, Why don't we go to GE direct??? Mbona hao majambazi tukiwapa contracts wanakimbilia GE au Wartsila??? IPTL went to wartsila and Songas went to GE. This is our issue.
Now, U buy generators from Dowans, a company that does not generate electricity anywhere in this world, sasa baada ya manunuzi ikitokea tatizo na hizo generators tutaenda wapi mkuu?? Mbona Zitto tunakuamini sana lakini hapa unaact kama Viongozi wetu maboga??
Halafu unathubutu kusema eti mbona serikali inataka kununua mitambo ya IPTL, so vilevile tununue mitambo ya DOwans?? Really Zitto?? Unaona IPTL na Dowans ni sawa sawa?? IPTL tuko kwenye contract kuwalipa capacity charges kubwa mpaka 2018 I believe, so if tukinunua mitambo itasave money, WE ARE ALL UP FOR IT, sababu tutasave in the long run and it will cut down that 84% ratio U were talking about, which will improve Tanesco Cashflow situation. Sasa dowans, hatuna nao contract, kwa nini tununue mitambo yao?? PPRA ina maana gani??? Kwa hiyo msitake kuchanganya wananchi wetu huko vijijini kwa maneno mengi.
Ahsante mkuu, na I hope umeona kwa nini tunaissue na Dowans. U will do ur country a big service kama utatumia letterhead ya kamati kuandika barua GE and Wartsila kuulizia info tu ya NEW 100MW generators availability to Tanzania and at what price, then utaongea kama kijana mjanja na sio eti MD wa Tanesco kasema hivi na vile wakati unajua kabisa Chenge, Rostam, Karamagi, Lowassa wanashirikiana na huyo fisadi hapo Tanesco na Lowassa ndie alimweka hapo.
Dowans generators kwa habari za ndani zinaworth about $15 million, so sababu tunawadai $10milion, TUTAKUBALI KUNUNUA HIZO GENERATORS kwa $5million.
Kama hawataki, Powa tu maana hamna mtu yeyote dunia hii anayetaka kununua hizo generators, na mwisho wa siku Tanesco wakiwa wajanja na kusubiri, Dowans watatupa hizo generators bure maana hamna wanakoweza kupeleka.
Swali la mwisho::: Zitto hao Dowans unajua wanafanya kazi ya umeme sehemu gani dunia hii, ili wana JF walioko kona zote watembelee ofisi zao popote duniani tuone ufanisi wao???