Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Don't bet against Magufuli, utaliwa...

Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
mkuu, sisi wengine tutaendelea ku-bet against him hadi pale tu atakapokuwa fair & square (NO siasa, NO visasi).

msisitizo upo hapo kwenye siasa na visasi.
 
Mafisadi nisawanamwizi akibainikamtu aripemarizote nakifungojuu
 


Sasa wewe unafurahia mapambano dhidi ya ufisadi au watu usiowapenda na wenye itikadi tofauti na zako kushtakiwa? Ni kama vile unasema mtuhumiwa akiwa mwanachama wa Chadema, mashabiki wa Chadema hawapaswi kuzungumzia suala hilo au kutaka mtuhumiwa afikishwe mahakamani. Is that your point? Ukwapuaji wa nyumba za serikali ni jeuri kubwa kuliko zote kuwahi kuoneshwa na mafisadi wa nchi hii. Bila kujali kuwa wahusika wako Ikulu, Msoga, Lushoto, CCM, au Chadema, wote wanapaswa kuchukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa vizazi vya sasa na vijavyo kuwa jeuri ya kifisadi ya kiwango kile haina nafasi katika jamii yetu.
 
Kuna matumaini kwa taifa letu huko mbele; Magufuli ukifikiria sana anafanya hata kazi ya upinzani ije kuwa rahisi sana huko mbeleni.
Mi naona kama ndiyo wanazidi kumpa wakati mgumu zaidi kwa sababu kila anapofanya kile ambacho wao walikuwa wanapiga kelele ili kifanyike, wanageuka tena na kuja kivingine. I don't understand Tundu Lissu mimi na sitamwelewa tena milele! Na mimi mtu akini-miss amen-imiss, once and for all!
 
Kuna watu walikuwa wanauliza sana mbona fulani hajakamatwa, mbona fulani hajafikishwa mahahakamani n.k Kuitwa kwa Lowassa kwa DCI inawzekana ukawa ni mwanzo wa jambo jingine kubwa tu.. I would not bet against Magufuli..
 
Kuna watu walikuwa wanauliza sana mbona fulani hajakamatwa, mbona fulani hajafikishwa mahahakamani n.k Kuitwa kwa Lowassa kwa DCI inawzekana ukawa ni mwanzo wa jambo jingine kubwa tu.. I would not bet against Magufuli..

Nakumbuka kuwahi kuandika sehemu kuwa Magufuli hakuwahi kutoa timetable ya nani atakamatwa lini au nani atapandishwa kizimbani lini.....
 
Watu wamepiga magoti waliozoea kusimama. Betting against Magufuli is not that wise after all. Mtu atakula hadi king!

Wahamisha magoli wawe waangalifu
Betting against magu kunaweza kukupa utajiri wa kutupwa....matukio yake hayafikagi mwisho....nadhani washauri Ladbrokes waweke betting options za matukio ya magu uone tutakavyopiga pesa....
 
Kuna mambo ambayo hatukuweza kudhani yanaweza kufanyika; lakini sasa yanaenda kufanyika. Na hata kama yakifanyika kwa asilimia 50 tu tutakuwa tumefanya kuliko tulivyowahi kufikiria kufanya kwa miaka hamsini!
 
Wakati mazungumzo juu ya suala la makinikia yanaendelea bado wapo watu kati yetu ambao ama kwa sababu ya woga au kwa sababu ya kutokujiamini wana mashaka na kile kinachoweza kutokea mbeleni. Watu wa Barrick wamepima vizuri 'options' zao; lakini wamegundua njia bora ni kufikia muafaka.. hawakutaka kubet against Magufuli..
 
Wakati mazungumzo juu ya suala la makinikia yanaendelea bado wapo watu kati yetu ambao ama kwa sababu ya woga au kwa sababu ya kutokujiamini wana mashaka na kile kinachoweza kutokea mbeleni. Watu wa Barrick wamepima vizuri 'options' zao; lakini wamegundua njia bora ni kufikia muafaka.. hawakutaka kubet against Magufuli..

I'd rather be seen as a traitor than being draged around. I dont think its a conversation of "YES WE HAVE STOLEN FROM YOU HOW MUCH DO YOU WANT US TO PAY?" These guys have been always saying they have declared the correct figures and they dont agree with the results of the two reports.

We are talking of billion dollars here, $190B of taxes without mentioning the additional payments on the "undeclared" gold for the past 17years or so.

The solution should have been Tanzania to send its team of experts with the exported gold who will physically verify the actual amount of gold and compare with the ACASIA declaration figures and then discussions starts from there.
 
Back
Top Bottom