Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 63,240
- 106,677
Sio sawa na broken English anayozungumza BashiteHizo unazoita wewe swaga sio swaga bali ndivyo wanavyoongea kiswahili na ukiongeza na tatizo la R na L. Makosa mengine yanayofanyika kwenye kiswahili hata hatujui kama ni makosa.