cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,321
- 187,999
[emoji23][emoji23][emoji23]Kiingereza chake kiko unpredictable kuliko hata hali ya hewa ya Dar es Salaam.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kiingereza chake kiko unpredictable kuliko hata hali ya hewa ya Dar es Salaam.
Halafu ni Professor huyo, ila Ndalichako khaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Ile ya Ndalichako ni kiboko nafikiri hata Dotto Magari anamzidi.
Haswaaa.Hiyo ni broken English
Watanzania wengi inaweza kuwa 90% tunaongea broken English
Shuleni sekondari walimu wanafundisha kwa Kiswahili. Hata somo la Kiingereza linafundishwa kwa Kiswahili
Ana PhD ya Canada nasikia. Sijui ali defend vipi??Ila Prof Ndalichako, nilicheka sana ile siku, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Kenya hawajui kingereza? Ndio mnaambizana hivyo kwenye makorido ya LumumbaKenya waliishobokea English sana ila tazama hivi sasa ENGLISH hawaijui na kiswahili pia hawakijui.
Huyu ni zezeta mwandamiziView attachment 3591661
Halafu English yake imeishia hapo Ubungo tu hapo ikitokea Magomeni 😂😂😂😂
Halaf majitu majinga huwa yana confidence sana yan; yan hapa Bashite humwambii kitu kuwa English yake mbovu😂😂View attachment 3591661
Halafu English yake imeishia hapo Ubungo tu hapo ikitokea Magomeni 😂😂😂😂
Si ndio huwa tunaambiwa huko darasani kwamba ukitaka kujua kuongea kiingereza basi uongea usiogope kukosea ndio utajua kuongea kiingereza, matokeo yake mtu anajenga confidence ya kuongea lugha isivyofasaha.Halaf majitu majinga huwa yana confidence sana yan; yan hapa Bashite humwambii kitu kuwa English yake mbovu😂😂
Hata sijui kwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23]Ana PhD ya Canada nasikia. Sijui ali defend vipi??
Huwezi kuwa na matako makubwa ukawa pia na akili za kujuwa English languageAFCON itabdi tumuazime waziri wa Kenya ndo awe msemaji wetu
Alizungumza Ulega piaWabongo tuna allergy na English. Imagine huyo ni waziri na ana degree! Professor Ndalichako akizungumza ndio utazimia kabisa.