Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,644
- 7,929
Kuna variant ndiyo zinazolengwa. Hizo variants zikiingia huwa kunakuwa na milipuko na tunaweza kuwa na mlipuko hatari kama tukiruhusu hovyohovyo hasa nchi zenye variant zinazoua watoto wadogo.Yani huku mitaani wameachia tu watu waambukizane corona wanavyotaka halafu et mapambano yao ya corona wameelekeza kwa watu wanaoingia nchini kutoka nje ya nchi.
Itakuwa hatari kwetu.