Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,799
- 22,221
Mbona haihitaji nguvu kujua kwamba anatakiwa apime. Kule ni S.A na hapa ni Tanzania haoni utofauti huo. Labda angesema katoka Arusha kaja Dar.
Anapingaje protokali za nchi husika. Uyu dogo licha ya kupimwa corona apelekwe pia muhumbili huenda malaria inamsumbua.
Anapingaje protokali za nchi husika. Uyu dogo licha ya kupimwa corona apelekwe pia muhumbili huenda malaria inamsumbua.