DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

Ibn Umar aliripoti kwamba Mtume alisema:

"Mtu asiyetambua taqiyya si miongoni mwa wapendwa wa Mwenyezi Mungu."

Hadithi hazinukuliwi hivi. Tuwekee kitabu na muandishi wa kitabu ambacho haya umeyanukuu.
 
Surah Al-Imran (3:28)

"Wamwache Mumin asiungane na waongo na wapambe wake. Na yule atakayewaunganisha wao, basi hakika ametenda dhambi."
"Isipokuwa wale waliolazimika na mioyo yao kuwa na amani kwao, lakini wao wamesalimu kwa kuficha imani yao..."
(Tafsiri huru)

Tarjama sahihi ya hii aya ni :

28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.

Hakuna kitu kinachoitwa "Tafsiri huru". Hizi tarjama unazipata wapi ?
 
Ivi mtume wa mungu anaweza kutembea na mtoto wa miaka 9
 
Ivi mtume wa mungu anaweza kutembea na mtoto wa miaka 9

Mtume anapenda watoto.

Kuna mtoto mchanga wa kiume alikuwa hatak maziwa ya mama yake bali alikuwa ananyonywa Ulimi wa mtume mpaka alivyofikisha miaka 2.

Mtume ndio akaacha kumla denda
 
Imeandikwa wapi katika Qur'an ?

Najua unaafiki kuwa Yesu alipaa.
Allah mwenyewe alimpaisha.

Na Kuhusu Nabii Issa kurud kuhukumu.
Hapa mtume anasema.

"Naapa kwa Yule ambaye nafsi yangu imo Mkononi Mwake, ni hakika mwana wa Maryamu hivi karibuni atashuka kati yenu kama hakimu wa haki, na atavunja msalaba, kuua nguruwe, na kukomesha Jizyah (ushuru), na mali itakuwa nyingi sana hadi kwamba hakuna mtu atakayeikubali, hadi sajda moja itakuwa bora kuliko ulimwengu na kila kitu ndani yake.” (Saheeh Al-Bukhari 95)
 
Hoja yako inakosa uungwaji mkono unaposhadiadia uislam na kuuponda ukristo wakati uislam ndio utopolo mtu. Bora ungeandika bila kuupepelea uislam ungeeleweka
 
Ungeandika dini za kuletwa toka mashariki ya kati ni abrakadabra ungeeleweka umeandika nini ila umekosea ulipoandika kwa mtazamo wa kiislam
 
Hizo dogma kama haziwadhuru watu acha waziamini maana zinawapa matumaini, we endelea kuamini uongo wa kiislam
 
1. Wameaminishwa ukifa utakuta mabikra na mito ya pombe mbinguni wakati kule hakuna miili kama hii tuonayo
2. Wameaminishwa Mtume kuoa mtoto wa miaka 6 ni sawa wakati ule ni ubakaji
3. Wameaminishwa ukivaa bomu ukaua mwanadamu mwenzio unapewa mabikra na pombe, wakati ukweli ni jehanamu moja kwa moja
 
Umeanza kujibu vizuri ila huku chini umeharibu na umeharibu Kwa sababu umeingiza mafundisho ya DOGMA

Umesema baba ni Mungu na Yesu pia ni Mungu hii ni DOGMA

Jibu hili swali

Kati ya huyo Mungu baba na Mungu Yesu Kwa mujibu wa Maneno yako katika hao wewe

Umeumbwa na nani?

Na unamuabudu nani?
Kila nilichokuambia nimekupa na andiko la kukusaidia. At least unaanza kujua kwamba unajibiwa.

Na sasa umeongeza maswali ya ziada.
1) Nimeumbwa na nani?
Jibu ni Mungu. Hii ndiyo sababu wakristo tunaamini Mungu katika Utatu wake uliojifunua katika maandiko matakatifu ndiye anayehusika na uumbaji wa ulimwengu wote.

Mwanzo 1:26
"[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi."

2) Ninamwabudu nani?
Jibu ni Mungu. Ukiamua ku address jina la Yesu katika ibada sawa, maana Yesu ni Mungu na anastahili heshima sawa na Baba
YOHANA 5:23

Ukiamua ku address kwa Baba ni sawa kabisa kimaandiko. Lakini mwenye kustahili ibada ni Mungu pekee.

Jambo muhimu la kukumbuka kuhusu Yesu ni;
*Alikuja duniani akivaa mwili wa kibinadamu
 
Back
Top Bottom