DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA zako peleka kanisani Mimi sizihitaji

Nimekuliza swali dogo

Yesu ni nani?

Na baba ni nani?

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Na hapo Yesu anasujudu na kuimba

Anamsujudia na kumuomba Mungu gani kama yeye ndio Mungu?
go back to my replies, kama hutaki kuelewa siwezi kujichosha kukupa notes zaidi wakati ulipaswa ufanye homework yako vizuri.
 
go back to my replies, kama hutaki kuelewa siwezi kujichosha kukupa notes zaidi wakati ulipaswa ufanye homework yako vizuri.


Nimekuliza swali dogo

Yesu ni nani?

Na baba ni nani?

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Na hapo Yesu anasujudu na kuimba

Anamsujudia na kumuomba Mungu gani kama yeye ndio Mungu?


Nilitaka nikuonyeshe tu kuwa wagalatia hamufuati Yesu ila mnafuata DOGMA za Wazungu

Hayo maswali yote yanamuhusu Mungu wako aliyekuumba na unayepaswa kumuabudu

Unashindwa kujibu alafu unategemea upate uzima wa milele wakati hata Mungu aliyekuumba haumjui labda kama hiyo pepo ya mjomba wako

Yesu ni nani haujui

Baba ni nani haujui

Yesu alikuwa anamuabudu Mungu gani haujui

Hayo ndio madhara ya DOGMA uliyolishwa kanisani
 
Utumwa wa kiakili, kila kitu ni ndio tu. Unatawala watu bila kutumia silaha, silaha yenye nguvu hasa dunia ya tatu ni "DINI ". Unaogopa moto wa milele, hata professor tena wa sayansi anaogopa moto.
 
Quran ina amini Biblia.
Ww hauamini Biblia.
Ila ww una amini Quran.

Napata mashaka sana na Iman yako.
Nabii Issa hakupewa kitabu kinachoitwa Bible, Amepewa Injili

Hivyo hatuamini katika Bible bali Injili ya kweli aliyo teremshiwa.
 
Yule kamanda mmoja aliekuwaga anandaa thread za kumtusi virgin mary yuko wapi sasa hivi
Nauliza tu ilikuwa utawala wa stone town
 
Nabii Issa hakupewa kitabu kinachoitwa Bible, Amepewa Injili

Hivyo hatuamini katika Bible bali Injili ya kweli aliyo teremshiwa.
Bible - kingereza
Injili - kiswahili
Naomba kingereza cha injili pamoja na kiswahili cha bible
Niko tutani
 
Kwenye uislamu kuongea uongo rukhsa lakini unaweza kuongea uongo maeneo matatu
Ukiwa kwenye shida
Ukitaka kuutetea uislamu
Ukitaka kupatanisha watu


Kuran 16:106 tafsiri ya ibn kadhir ila huku kwenye ukristo kudanganya mwiko
Kwenye uislam inafaa kuoa mke zaidi ya mmoja mwisho wa nne,

Kwenye ukristo mke mmoja zaidi ya hapo mwiko ila mahawara mnao na watoto wa zinna juu.

Bora ukweli uliowazi kuliko uongo ulijificha.
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Mbona umeandika makanusho pekee bila kuweka yaliyo ya kweli ili yajulikane?
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Ukikuwa utaacha
 
Kama nimeelewa unachotaka kusema ni kwamba kama DANIELI 7:13-14 inazungumzia Yesu maana yake ni kuwa; Yesu ni mwenye mamlaka, utukufu na ufalme ili watu wa kabila zote, mataifa yote, lugha zote wamtumikie na kwamba mamlaka yake ni ya milele na ufalme wake pia ni wa milele isipokuwa tu hiyo haitoshi yeye kuitwa Mungu. Good job.

Umekuwa kiswahili hukifahamu nikuwekee kwa English ??
 
Bila DOGMA la Warumi hata Uislam haupo.... In short DINI ni UTAPELI...
Unawakataa hawa wahuni wa Roma halafu unamkubali mhuni mmoja aliyesema kashushiwa aya za kitabu na mwamba God kwa miaka 23... :BoneZone: :BoneZone: :BoneZone:

Si umepewa challenge ya kuleta aya moja tu yenye mfano wa Quran , miaka zaidi ya 1400 imekwenda hakuna kiumbe aliyeleta ., labda wewe mwamba unaweza kutuletea
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Mafindo a'nokho!
 
go back to my replies, kama hutaki kuelewa siwezi kujichosha kukupa notes zaidi wakati ulipaswa ufanye homework yako vizuri.

Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.

Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.

13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.


Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.

MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake

Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.

Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.

WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.


Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?

MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.

“Watakatifu” Wapokea “Pelach”


Danieli 7:27 iko wazi kabisa kwamba watakatifu wanapokea “Pelach”, lakini tafsiri mpya za Biblia zimepotosha kifungu hiki na kukifanya ionekane kwamba Yesu ndiye anayepokea “huduma” hii, siyo watakatifu.

Sasa hebu tusome jinsi wanavyopotosha kifungu hiki kwa ujanja katika Danieli 7:27:


New International Version (©2011)
“Kisha mamlaka, nguvu na ukuu wa falme zote zilizo chini ya mbingu zitakabidhiwa kwa watu watakatifu wa Aliye Juu Zaidi. Ufalme wake utakuwa wa milele, na watawala wote watamwabudu na kumtii yeye.”
New Living Translation (©2007)
“Kisha mamlaka, nguvu na ukuu wa falme zote chini ya mbingu watapewa watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Zaidi. Ufalme wake utadumu milele, na watawala wote watamtumikia na kumtii yeye.”

Tunaona kutokana na vifungu hivi kwamba “Ufalme chini ya mbingu” utatolewa kwa “watu watakatifu”, yaani watakatifu. Mwishoni mwa mstari, wasomi wa kitritaria, kwa kukata tamaa, wameongeza neno “yeye” ili kuwafanya watu waamini kwamba kifungu kinamhusu Masihi, na hivyo kwamba yeye anapaswa kuabudiwa.


Sasa hapa ndipo ilipo shida—tukichunguza kwa makini maandiko ya Kiaramu, neno “yeye” halipo kabisa. Halipo hata sehemu ya maandiko hayo. Danieli 7:27 inaishia na maneno “na watawala wote watatumikia na kutii”—na basi!


Kwa hiyo, tukilitazama kifungu hiki bila neno “yeye” lililoongezwa na wafuasi wa Utatu, ni wazi kabisa kwamba wanaopokea “Pelach”, sawa na ilivyo katika Danieli 7:14, ni watakatifu.


Hapa kuna picha ya ushuhuda, neno kwa neno, kutoka kwenye tovuti ya Kikristo, kuhusu Danieli 7:27, ili mjionee wenyewe kwamba neno “yeye” halimo kwenye kifungu hicho:


(daniel 7:27 pelach)


Ukisoma hadi mwisho wa mstari wa 27, utatambua kwamba katika maandiko ya asili ya Kiaramu, neno “yeye” siyo sehemu ya maandiko.




“Watakatifu” Wapokea Pelach​


Sasa sehemu inayofuata ni orodha ya tafsiri mbalimbali za Biblia zinazokubaliana kwamba Danieli 7:27 inawahusu watakatifu wanaopokea “Pelach”. Angalia neno “wao” mwishoni mwa kila tafsiri:


  1. Concordant Version of the Old Testament Daniel 7:27
    Ufalme, mamlaka na ukuu wa ufalme ulio chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi. Ufalme wao ni wa milele, na mamlaka yote mengine yatatumikia na kusikiliza wao.
  2. New Century Version Daniel 7:27
    Kisha watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Zaidi watapewa nguvu za kutawala. Watawala juu ya falme zote chini ya mbingu kwa nguvu na ukuu, na mamlaka yao ya kutawala itadumu milele. Watu kutoka falme zote zingine watawaheshimu na kuwatumikia wao.
  3. The Message Daniel 7:27
    Kisha utawala wa kifalme na mamlaka na utukufu wa falme zote chini ya mbingu utapewa watu wa Mungu Aliye Juu Zaidi. Utawala wao wa kifalme utadumu milele. Watawala wote wengine watawatumikia na kuwatii wao.
  4. English Revised Version Daniel 7:27
    Kisha watu maalumu wa Mungu watatawala ufalme. Nao watawala juu ya watu wote kutoka falme zote duniani. Ufalme huu utadumu milele. Na watu kutoka falme zote zingine watawaheshimu na kuwatumikia wao.
  5. God’s Word Translation Daniel 7:27
    Ufalme, pamoja na nguvu na ukuu wa falme zote chini ya mbingu, utapewa watu watakatifu wa Aliye Juu Zaidi. Ufalme wao ni wa milele. Nguvu zote zingine zitawatumikia na kuwatii wao.
  6. Complete Jewish Bible (CJB) Daniel 7:27
    Kisha ufalme, utawala na ukuu wa falme chini ya mbingu zote utapewa watu watakatifu wa Aliye Juu Zaidi. Ufalme wao ni wa milele, na watawala wote watawatumikia na kuwatii wao.
  7. English Standard Version Anglicised (ESVUK) Daniel 7:27
    Na ufalme na mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.
  8. Expanded Bible (EXB) Daniel 7:27
    Kisha watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Zaidi watapewa nguvu za kutawala. Watawala juu ya falme zote chini ya mbingu kwa nguvu na ukuu, na mamlaka yao ya kutawala itadumu milele. Watu kutoka falme zingine zote watawaheshimu na kuwatumikia wao.
  9. Good News Translation (GNT) Daniel 7:27
    Nguvu na ukuu wa falme zote duniani utapewa watu wa Mungu Mkuu. Nguvu yao ya kifalme haitakoma kamwe, na watawala wote duniani watawatumikia na kuwatii wao.
  10. Names of God Bible (NOG) Daniel 7:27
    Ufalme, pamoja na nguvu na ukuu wa falme zote chini ya mbingu, utapewa watu watakatifu wa Elyonin. Ufalme wao ni wa milele. Nguvu zote zingine zitawatumikia na kuwatii wao.
  11. New Revised Standard Version (NRSV) Daniel 7:27
    Ufalme, mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.
  12. New Revised Standard Version, Anglicised (NRSVA) Daniel 7:27
    Ufalme, mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.
  13. New Revised Standard Version, Anglicised Catholic Edition (NRSVACE) Daniel 7:27
    Ufalme, mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.
  14. Revised Standard Version (RSV) Daniel 7:27
    Na ufalme na mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.
  15. Revised Standard Version Catholic Edition (RSVCE) Daniel 7:27
    Na ufalme na mamlaka na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote utapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi; ufalme wao utakuwa wa milele, na falme zote zitawatumikia na kuwatii wao.



Kutokana na tafsiri hizi za Biblia, tunaona ushahidi wa wazi kwamba watakatifu ndio wanaopokea Pelach.
 
go back to my replies, kama hutaki kuelewa siwezi kujichosha kukupa notes zaidi wakati ulipaswa ufanye homework yako vizuri.


Ikiwa mtu katika Danieli 7:14 anapokea Pelach (huduma/ibada) na jambo hilo linamfanya awe Mungu, basi vipi kuhusu watakatifu katika aya ya 27 wanaopokea kitu hicho hicho?

Je, hilo linamaanisha kwamba wote ni Miungu?

Ni wazi sasa kwamba dai la wanaoamini utatu—kwamba neno la Kiebrania/Kiaramu Pelach linatumika kwa Mungu pekee—ni la uongo.


Montgomery James Alan, msomi Mkristo, anatoa maoni kuhusu Danieli 7:27:


“Angalia: katika aya ya 27, watu wa watakatifu ndio lengo la huduma hii (Pelach)...”

Tambua kwamba James Alan anasema wazi kuwa watu katika aya ya 27 wanapokea “huduma” (Pelach).


“Watakatifu” watapewa mamlaka na kutawala milele:


Wamisionari wakaidi wanaweza kujibu: “Vipi kuhusu aya ya 14: ‘Alipatiwa mamlaka, utukufu, na nguvu kuu… Ufalme wake ni wa milele—hautakoma kamwe. Ufalme wake hautaangamizwa.’”


Hata hivyo, hilo bado halimfanyi mtu huyo kuwa Mungu! Tukitumia hoja hiyo hiyo ya Kikristo, vipi kuhusu watakatifu ambao nao watapewa mamlaka ya kutawala milele, kama ilivyo katika aya ya 14? Inawezekanaje mtu ambaye amepewa mamlaka awe Mungu? Ikiwa mtu amepokea mamlaka na ufalme, inamaanisha kuwa awali hakuwa navyo, na hivyo yuko chini ya mamlaka ya Mungu.


Angalia vifungu hivi:


  • Danieli 7:18“Lakini watakatifu wa Aliye Juu Zaidi watapokea ufalme na kuumiliki milele—ndiyo, milele na milele.”
  • Danieli 7:22“...hata alipokuja Mzee wa Siku, akatoa hukumu kwa ajili ya watakatifu wa Aliye Juu Zaidi, na wakati ukafika ambapo walimiliki ufalme.”
  • Danieli 7:27“Kisha ufalme, mamlaka na ukuu wa falme zote zilizo chini ya mbingu yote vitapewa watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi. Ufalme wao utakuwa ufalme wa milele, na watawala wote watawahudumia na kuwatii.”

Ushahidi ni wa kutosha kabisa. Unabomoa kabisa wazo la Kitrinitari kwamba kifungu hiki kinathibitisha au kuhalalisha ibada ya Masihi.


Hitimisho:
A) Danieli 7:13–14 haithibitishi uungu wa Yesu.
B) Kifungu hiki hakimhusu Masihi (Yesu) bali watakatifu—kulingana na wanazuoni watatu wa Kikristo waliotajwa.
C) Neno la Kiaramu Pelach (“hudumia”) halitumiki kwa Mungu pekee—pia limetumika kwa “watakatifu.”



 
Back
Top Bottom