DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

Mkuu watu wote watakuwepo siku ya kiama hata wewe 😃
Hoja ya kwanza 👉Siku ya kiama hakuna kufa bali hata walio kufa watafufuliwa na kuwepo kama ulivyo sema wewe ...

Hoja ya pili 👉kama yesu akufa na kuja siku ya kihama vipi auishwe na kutwaliwa mbinguni ...maana imeandikwa kuwa mungu atakuuisha na kukutwaa mbinguni
Quran 3:55
"Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana" (hapa kuna maswali mengi na makuu mno na ya msingi sana )

Sasa tuje kwenye hoja zaidi kuhusu 👉👉sura hii
Quran 3:55
"Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata.
💥hapa tunaona maneno
1) KUUISHA
2)NITAKUNYANYUAA
3)KUFUATA(nitaweka wale walio kufuata juu ya walio kufuru)

Sasa hapa tunaona hayo maneno matatu yanayo zua maswali mengi sana nayo ni
1)waislamu wanasema Yesu akufa bali alitwaliwa mbinguni ....ila hapo kwenye hiyo sura tunaona neno KUFISHA sasa tunajiuliza Kwa mujibu wa waislamu wanadai yesu atakuja mara 2 duniani ila akija mara ya pili atawaelekeza watu wote kumfuata MUNGU NA MTUME MUHAMMAD SIYO KUMFUATA YEYE ...hivyo hiyo sura inazungumzua nyakati gani za Yesu duniani.
 
Kuhusu kutokana na neno la Allah hata Adam pia katokana na neno hilo je na yeye ni mungu?
Kuhusu hiyo miujiza ni kuwa kila nabii ana miujiza yake
Kuhusu kuitwa Masih hata dajjal kaitwa je na yeye vipi 😃
Kama yeye ni Mungu sasa kwa nini aliomba chakula 😃
Hilo swali niulize mimi ? Ni swali tamu sana linalo kwenda kuthibitisha Yesu ni Mungu ? Yaani tofauti ya kuumbwa kwa Yesu na Adamu .
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

17) wameaminishwa kuwa nguruwe ni halali kuliwa wakati maandiko yapo yanayokataza Kula nguruwe

Wazungu watu wabaya sana
Nimesoma mpaka namba tatu nimegundua kua wewe hamnazo. Ukiuponda ukristo na ukaukumbatia uislam bado unakua mwehu. misingi ya kikristo ipo kwenye torati na injili, na waislamu wanasoma pia. Hebua achana na udini wako tujenge taifa..
 
Back
Top Bottom