DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

Wazungu watu wabaya sana
Umetufunguwq macho na masikio
 
UISLAMU UNARUHUSU UONGO

Aya inayojulikana zaidi inayotumiwa kuelezea taqiyya ni

Surah Al-Imran (3:28)

"Wamwache Mumin asiungane na waongo na wapambe wake. Na yule atakayewaunganisha wao, basi hakika ametenda dhambi."
"Isipokuwa wale waliolazimika na mioyo yao kuwa na amani kwao, lakini wao wamesalimu kwa kuficha imani yao..."
(Tafsiri huru)


Aya hii inatambua hali ambapo mtu anaweza kusema uongo kwa kuonusuru Imani au dini


Ushahidi kutoka Hadith

Hadith zinaonyesha kwamba Mtume Muhammad (SAW) aliruhusu kuficha imani na kusema uongo katika hali fulani za hatari

Ibn Umar aliripoti kwamba Mtume alisema:

"Mtu asiyetambua taqiyya si miongoni mwa wapendwa wa Mwenyezi Mungu."
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

Wazungu watu wabaya sana
Naona shetani unahangaika na Wakristo!! Vipi, unakosa wafuasi wa kukuabudu?

Hao wanaokukataa ufahamu kuwa hao siyo wako. Walio wa Kristo, kamwe hawatakuja kwako.

Yn 10:27-30​

Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata. Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu. Mimi na Baba tu umoja.


Asante Yesu Bwana wangu kwa kuniwezesha kuwa miongoni mwa kondoo wako. Naomba unijalie hekima yako ili wakati wote niisikie sauti yako.
 
Kabla hujaita Ukristo uongo, ni vizuri ukubali ukweli kuhusu dini yako mwenyewe.

Uislamu umejengwa juu ya msingi unaoruhusu uongo kupitia kitu kinachoitwa Taqiyya.

Hii ni ruhusa ya kuficha ukweli au kusema kinyume na unachoamini ili kulinda Uislamu au maisha yako.

Qur’an 16:106 inaruhusu hili waziwazi. Hii inamaanisha mfuasi wa Uislamu anaweza kukuambia chochote, hata kama si kweli, mradi anasema ni kwa faida ya dini.

Sasa kama dini inaruhusu kuficha ukweli na kusema uongo kwa makusudi, ni vipi mtu anaweza kuwa na uhakika kuwa anachoambiwa si sehemu ya Taqiyya?


Ukristo hausimami kwenye msingi wa uongo, lakini Uislamu wenyewe umeshikilia wazi kwamba unaweza kutumia uongo kulinda dini yake.


NDIO MAANA UISLAMU UMEJAA UONGO NAWEZA KUANDIKA HAPA MPAKA ASUBUHI


Tena uislam sehemu nyingine upo kinyume kabisa cha Mungu wa kweli.

Mungu wa kweli ni mkweli na mwaminifu katika ahadi zake. Lakini Mungu wa waislam wanasema eti bingwa wa hadaa.

Wakati ukweli ni kuwa mwingi wa hadaa ni shetani.

Kama waislam wanamwabudu mwingi wa hadaa, inaleta maswali mengi!! Je, ina maana wanamwabudu shetani, ambaye ni mfalme wa hadaa?

Tuzidi kuwaombea ndugu zetu hawa ili wamjue Mungu wa kweli ambaye kwake tumepewa wokovu kupitia mwanaye mpendwa Yesu Kristo, ambaye aliagiza watu wote wanaotaka kumfuata Mungu wa kweli, wabatizwe kwa JINA LA BABA (nafsi ya kwanza), NA la MWANA (nafsi ya pili) na ROHO MTAKATIFU (nafsi ya 3).
 
Tena uislam sehemu nyingine upo kinyume kabisa cha Mungu wa kweli.

Mungu wa kweli ni mkweli na mwaminifu katika ahadi zake. Lakini Mungu wa waislam wanasema eti bingwa wa hadaa.

Wakati ukweli ni kuwa mwingi wa hadaa ni shetani.

Kama waislam wanamwabudu mwingi wa hadaa, inaleta maswali mengi!! Je, ina maana wanamwabudu shetani, ambaye ni mfalme wa hadaa?

Tuzidi kuwaombea ndugu zetu hawa ili wamjue Mungu wa kweli ambaye kwake tumepewa wokovu kupitia mwanaye mpendwa Yesu Kristo, ambaye aliagiza watu wote wanaotaka kumfuata Mungu wa kweli, wabatizwe kwa JINA LA BABA (nafsi ya kwanza), NA la MWANA (nafsi ya pili) na ROHO MTAKATIFU (nafsi ya 3).
Mimi Bora nikatwe kichwa ,ila sio kurudi kwenye uislamu
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

Wazungu watu wabaya sana
Acha upumbavu. Kama jambo hulijui kaa kimya. Huwezi kushindana na Mungu ukashinda.
 
UISLAMU UNARUHUSU UONGO

Aya inayojulikana zaidi inayotumiwa kuelezea taqiyya ni

Surah Al-Imran (3:28)

"Wamwache Mumin asiungane na waongo na wapambe wake. Na yule atakayewaunganisha wao, basi hakika ametenda dhambi."
"Isipokuwa wale waliolazimika na mioyo yao kuwa na amani kwao, lakini wao wamesalimu kwa kuficha imani yao..."
(Tafsiri huru)


Aya hii inatambua hali ambapo mtu anaweza kusema uongo kwa kuonusuru Imani au dini


Ushahidi kutoka Hadith

Hadith zinaonyesha kwamba Mtume Muhammad (SAW) aliruhusu kuficha imani na kusema uongo katika hali fulani za hatari

Ibn Umar aliripoti kwamba Mtume alisema:

"Mtu asiyetambua taqiyya si miongoni mwa wapendwa wa Mwenyezi Mungu."
Kuna tofauti kati ya kuficha imani ili kujinusuru na hatari na kusema uongo ili kutetea dini ambako kiuhalisia hakuruhusiwi kama unavyodai
 
DINI YA WAARABU NIMEIKATAA USHASHIDI HUU HAPA UFIRAJI NA ULAWITI NI RUHUSUA KWENYE VITABU VYA AHLU SUNNA WALJAMAA
FB_IMG_1754763495941.jpg
 
UONGO WA QUR'AN (3)

7:157 - Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa

ETI MTUME WAO TUNAMKUTA AMEANDIKWA KWETU KATIKA TAURATI NA INJILI


Huu ni uongo usio na soni wa Allah. Kaallah ni kaongo ni balaa. Kameharibu hata wafuasi wake nao wamekuwa waongo hakuna mfano.
 
UISLAM NI DINI YA UONGO ( ILITUMGWA NA WAARABU)

Taqiyya ni somo la waislam lakuikana Iman pale wanapokuwa hatari kukwepa kuuwawa au kuteswa maana yake ni somo la kudanganya kwasababu ya Imani,

Pia kwenye kutangaza uislamu wameamriwa kutumia uongo, ndio maana uislamu umejaa uongo wa kila aina ,

wanaweza kujifanya kuja kuwaona kipindi kukiwa na majanga si kwasababu wanapenda ni kwasababu wanadanganya kwa sababu ya uislamu, kumbuka waislam wameamriwa kupendana wenyewe TU ukikuta yupo karibu na mtu wa dini nyinyingine ujue niwaongo wanakufanyia taqiyya, uwongo na kweli hivichangamani ,

Mungu haruhusu uongo kabisa ila Allah ukidanganya sababu ya uislamu yeye kwake ni sunna.
 
Kamba kuna mjanja mmoja huko mashariki ya kati alifufuka halafu akapaa na kumsepa pilato
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

Wazungu watu wabaya sana
Hakika hoja Yako namba nne nimeifanyia utafiti mara 10 nikiwa secondary Kulikuwa na wanafunzi wanapanda mapepo Kisha tunawaombea kwa JINA LA YESU mapepo hayo yanatoka lakini nishajaribu au Mimi na jamaa zangu mara tatu kusema kwa jina la MUNGU PEPO LINACHEKA UKITAJA ALLAH linazidisha kucheka zaidi kwanini iwe ni YESU tu ebu nisaidie hapo.
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

Wazungu watu wabaya sana
Unataka kusema maandiko ya mnyaazi ndio ya ukweli wakati ni copy na paste ya dini zingine
 
Wazolee

Tujikite kuamini Quran.
Quran ndio imeelezea vizur Kuhusu Yesu. Nabii Issa .

Jinsi alivyozaliwa.
Alivyotwaliwa na Allah kwa kupaa.
Na kuwa ndio Nabii pekee atarud siku ya Kiama.

Quran 3:45
"Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).”

Quran 3:47
"Maryamu akasema: Mola wangu Mlezi! Vipi nitampata mwana na hali hajanigusa mwanaadamu? Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho. Anapo hukumu jambo, huliambia: Kuwa! Likawa.”

Quran 66:12
"na tukampulizia humo aliye linda ubikira wake, kutoka roho yetu, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi...”

Quran 4: 157-158
"Na kwa kusema kwao: "Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu." Lakini hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi wowote nayo, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.”

Quran 3:55
"Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana"
Kijitabu kilichoandikwa 650AD
 
Hakika hoja Yako namba nne nimeifanyia utafiti mara 10 nikiwa secondary Kulikuwa na wanafunzi wanapanda mapepo Kisha tunawaombea kwa JINA LA YESU mapepo hayo yanatoka lakini nishajaribu au Mimi na jamaa zangu mara tatu kusema kwa jina la MUNGU PEPO LINACHEKA UKITAJA ALLAH linazidisha kucheka zaidi kwanini iwe ni YESU tu ebu nisaidie hapo.
Et yanatoka😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom