barakaglory
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 481
- 474
Mungu ni mwema kwa kweli.
Sawa.mpaka yakuishe ayo magonjwa mtambuka ndio utakuwa free kichwani
Mhusika anajulikana
Siungi mkono lissu kupigwa lisasi Ila hii ya kusema Kenya Wana demokrasia sana napinga, uchaguzi wa Kenya kufutwa maana yake ulikuwa na kasoro kwamba demokrasia ya uchaguzi haikufuatwa, pili mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya aliuawa hata uchunguzi wa kudanganyia watu haukufanyika toka kwa huyo mnayemuita Baba wa demokrasia.SAFI, APELEKWE KWA WASHUA, KUOKOA MAISHA YAKE.
KWA AINA HII YA KUVIZIANA KUTAKA KUUANA BILA SABABU ZINAZOELEWEKA ITATUCHUKUA MIAKA 500 KUFIKIA MAENDELEO YA MAJIRANI ZETU WA KENYA
Sjawahi kutoa machoz misiba yote namajanga yote leo kwamala takwanza nimetoa machoziEe Mungu uwe pamoja na lisu
Sijawahi kutoa machozi lakini taarifa ya mtu huyu imenitoa machozi
Emu think nje ya box ndugu....ushabiki usio na msingi sio mzuriHuko huko hosptali ndio tamaliziwa vizuri...
but nahisi hii ni kiki ya CHADEMA baada ya kuona Magufuli kawafunik na issue ya report ya bunge
FungaI hope ni kick ambayo na weza Sema imekuwa kicked off. Uhuni wa CDM ili tu kuichafua nchi
Nikuhakikishie tu ndugu machozi yako hayatopotea bure, mie binafsi naona huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wadhalimu na mafia wakubwa wa taifa hili ambao wamejivika kilemba cha 'watawala'.Ee Mungu uwe pamoja na lisu
Sijawahi kutoa machozi lakini taarifa ya mtu huyu imenitoa machozi
Hivi hiyo sheria au mikataba mibovu siku mnasaini mlikuwa pande zote mko meza moja, leo unataka kuvunja uko mwenyewe kisa tu wewe ni serikali na hatimaye hata ukishindwa kesi hulipi weweHATUWEZI KULINDA SHERIA INAYOTUUMIZA. HATUWEZINKUHESHIMU MIKATABA ILOSAINIWA NAWAPIGA DILI NASISI TUENDELEE KUIABUDU .....IVI KWAN NYINYI WAPINZANI SINDO MLIKUAGA MNALALAMIKIA HIIII ????? MMEKUAJI NYINYI ????????.
NANI ALITHIBITISHA KUA HUYO ULOMTAJA ANAVYETI FEKI ???? .NAKAM ANAVYETI.FEKI KWANN UKAGUZI HAUKUMTOA ?.
Utakufa wewe lkn Lissu atapoma nyamaPicha? Yuko hai kweli?
Mkuu nilazima tujifute matope ya unafiki ktk nyuso zetu.....Tundu lissu ivi anatetea taifa au nayeye anatumika kuliumiza taifa ??? Sindo huyu aliomba tuwekewe vikwazo mpaka zito naye aka mkrash ??????
N.b sishabikii tukio lilompata lissu et sababu ni mpinzani wakila kitu chaserikali... Maana nje yasiasa naye anatwgemewa namkewe.,watoto nandugu.