petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 788
- 909
Inabidi Tanzania nzima tulime korosho ndio zao pekee ya biashara linalolipa kwa sasa
Kila mwezi tungekua tunapata hotuba bora kama hii tungezidi kunenepa!
Ni Sawa kabisa mkuu, Sasa Rais yeye mbona kama inamuuma watu kusema vyuma vimekaza? What is the big deal?Mkuu wimbo wa vyuma vimekaza umekuwa wimbo wa taifa.Ni wachache sana wanasababu za mcng vyuma kukaza,wengi imekuwa ni defense mechanism ktk kujitetea.vilevile kumbuka awamu yyt ya uongozi mtanzania aliwahi sema maisha mazuri.Enzi za jk watu walikua wanalia na kusifia kwa mkapa na kwa mkapa hivohivo watu walisifia kwa mwinyi.Ni kama fashion kwa mtanzania kulia maisha magum na kusifia kilichopita lkn ukienda ukamhoji vizur unakuta hana sabb za mcng na maisha yake hayana utofaut wwt na awamu iliyopita.Hata Mimi Nina mkumbo huo lkn mda mwingine nikikaa naona sina hoja za mcng most ni uzembe wangu.
Vijishuhuli vya kufanywa na naibu wa fedhwa hiviHakuna tatizo kufanya hivyo wala sheria haikatazi...
Nadhani tuwe watulivu na tuhangaike na mambo makubwa ya kuisaidia nchi badala ya kukosoa kila kitu! Je, unafahamu kwamba daraja la waenda kwa miguu la Manzese lilifunguliwa rasmi na Rais? Muhimu ktk hayo huwa siyo ufunguaji wa kitambaa, ni yale ambayo mkuu wa nchi anaongea. Utayapataje kwa mkuu wa wilaya au mtendaji wa kijiji?Jengo ambalo lingeweza kuzinduliwa na DC,delegation iko wapi??Hachoki kuonekana kwenye TV kila siku.Kweli Zitto hakukosea!!!
aliyekuroga hakunawa usoKila mwezi tungekua tunapata hotuba bora kama hii tungezidi kunenepa!
Hili limedhihirika kila siku katika hotuba zake na nahisi ana ID JF. Muda huu anahutubia katika uzinduzi wa jengo la ofisi za NBS yaani National Beaural for Statistics ambapo ameelezea msemo wa vyuma kukaza kwamba ameona mchoro unaotembea kwenye mitandao ya kijamii ukionyesha vyuma vikizunguka huku oil ikiwa unamiminiwa kulainisha vyuma hivyo.
Rais ametolea mifano mingi inayotembea kwenye mitandao ya kijamii kitendo kinachoonyesha huyu ni mwanamitandao mwenzetu na narudia tena huenda ana ID yake hapa JF.
NAOMBA MODS WA JF WAWASILIANE NAYE ILI WAMSAIDIE RAIS KUWA NA VERIFIED ID HAPA JF ILI TUFURAHIE UWEPO WAKE MUBASHARA......
NAWASILISHA.
Tatizo kubwa ufipa hivi sasa hamjikiti kwenye mada mnaparamia watu hii nia tabia aliwaambukiza lissu hivi mmemuambukiza zitto!aliyekuroga hakunawa uso