Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,891
- 3,591
hilo jengo la hadhi ya Kitaifa, hivyo Rais ndo mahala mtu sahihi.Na wewe hujui, kiprotocal alitakiwa kuwa yeye au Wa chini yake?
hilo jengo la hadhi ya Kitaifa, hivyo Rais ndo mahala mtu sahihi.Na wewe hujui, kiprotocal alitakiwa kuwa yeye au Wa chini yake?
Akiwa verified haita msaidia sana nadhan hivyo hivyo ilivyo ni sahihi zaid , akisha kuwa verified kuna mambo yatampita.Hili limedhihirika kila siku katika hotuba zake na nahisi ana ID JF. Muda huu anahutubia katika uzinduzi wa jengo la ofisi za NBS yaani National Beaural for Statistics ambapo ameelezea msemo wa vyuma kukaza kwamba ameona mchoro unaotembea kwenye mitandao ya kijamii ukionyesha vyuma vikizunguka huku oil ikiwa unamiminiwa kulainisha vyuma hivyo.
Rais ametolea mifano mingi inayotembea kwenye mitandao ya kijamii kitendo kinachoonyesha huyu ni mwanamitandao mwenzetu na narudia tena huenda ana ID yake hapa JF.
NAOMBA MODS WA JF WAWASILIANE NAYE ILI WAMSAIDIE RAIS KUWA NA VERIFIED ID HAPA JF ILI TUFURAHIE UWEPO WAKE MUBASHARA......
NAWASILISHA.
Kama hujaelewa pita karibu na kituo cha Polisi halafu tamka vyuma vimekaza.Mi siajelewa fulesh hapo
Nami pia.Kwa mara ya kwanza leo yuko composed,amejenga hoja vizuri mno kuhusu kukua uchumi ingawa kama kawaida alichomekea na vitisho juu (tradition dies hard).Leo karibu hotuba yote niliona amekomaa na hizi habari za vyuma sijui nani kamkwaza mzee baba
Mshaanza na issue za uzinduzi. Hamkosi cha kuzungumza. Watanganyika Hatuna jema.Jengo ambalo lingeweza kuzinduliwa na DC,delegation iko wapi??Hachoki kuonekana kwenye TV kila siku.Kweli Zitto hakukosea!!!
Sio lazima. Atakuwa whatsapp.Hili limedhihirika kila siku katika hotuba zake na nahisi ana ID JF. Muda huu anahutubia katika uzinduzi wa jengo la ofisi za NBS yaani National Beaural for Statistics ambapo ameelezea msemo wa vyuma kukaza kwamba ameona mchoro unaotembea kwenye mitandao ya kijamii ukionyesha vyuma vikizunguka huku oil ikiwa unamiminiwa kulainisha vyuma hivyo.
Rais ametolea mifano mingi inayotembea kwenye mitandao ya kijamii kitendo kinachoonyesha huyu ni mwanamitandao mwenzetu na narudia tena huenda ana ID yake hapa JF.
NAOMBA MODS WA JF WAWASILIANE NAYE ILI WAMSAIDIE RAIS KUWA NA VERIFIED ID HAPA JF ILI TUFURAHIE UWEPO WAKE MUBASHARA......
NAWASILISHA.
Kama hujaelewa pita karibu na kituo cha Polisi halafu tamka vyuma vimekaza.
vyumavimekaza ishapigwa marufuku tatariTunakoelekea hili neno "VYUMA VIMEKAZA "litakuja kupigwa marufuku yaani ukiliongea tu tayari kesi ya uchochezi inakuhusu.
Haha anasoma na kupitia kimya kimyaHili limedhihirika kila siku katika hotuba zake na nahisi ana ID JF. Muda huu anahutubia katika uzinduzi wa jengo la ofisi za NBS yaani National Beaural for Statistics ambapo ameelezea msemo wa vyuma kukaza kwamba ameona mchoro unaotembea kwenye mitandao ya kijamii ukionyesha vyuma vikizunguka huku oil ikiwa unamiminiwa kulainisha vyuma hivyo.
Rais ametolea mifano mingi inayotembea kwenye mitandao ya kijamii kitendo kinachoonyesha huyu ni mwanamitandao mwenzetu na narudia tena huenda ana ID yake hapa JF.
NAOMBA MODS WA JF WAWASILIANE NAYE ILI WAMSAIDIE RAIS KUWA NA VERIFIED ID HAPA JF ILI TUFURAHIE UWEPO WAKE MUBASHARA......
NAWASILISHA.
Kwa maneno ya mkuu unaweza kutafsiri kwamba Nchi hii kila mtu alikua mwizi! Kama hata mama ntilie wanalalamika vyuma kukaza sijui mama ntilie nao walikua majizi wa nini,,
.Hata mie nilitaka kusema hivo hivooooo...., yani huku tunakoelekea sasa ni Mungu tu anayejuaMwambieni Ndugai aitishe bunge la Dharura ili mpitishe sheria au kiongezwe kifungu kwenye Penal code cha mtu anayelalamikia ugumu Wa maisha kushtakiwa.
Na wewe ulikuwa unamuibia nani? mbona unamaisha duni tu na hata kibarua huna unashinda JF full time upate posho ya buku 7? nashangaa majobless ndio mashabiki wa mtu anayesababisha mnakosa vibaruwa vya kujikimu.Wezi lazima walalamike, hilo lipo wazi. Sote tunajua hilo.
Nasikia kuna zoezi lingne kuzindua vyuo jamatin paleDr.Mpango kasema amamshukuru sana rais kwa kukubali mwaliko wao. Ni rais wa watu, ukimualika kwenye mambo ya maana anakuja.
ukiwa muongo unatakiwa usiwe msahaulifu.Kwaio leo ndo amejichanganya mara reli ijengwe kwa fedha za ndani mara msaada, mara mkopo kweli huyu mtu ana frustrations