Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,673
- 2,574
Leo karibu hotuba yote niliona amekomaa na hizi habari za vyuma sijui nani kamkwaza mzee baba
Hawakupitia hiyo kozi.Hivi mawaziri wao hawawezi kufungua au kuweka mawe ya msingi?
Sijaweka takwimu hapo mkuu...Mkuu bado unatoa takwimu za uongo?
Hakuna tatizo kufanya hivyo wala sheria haikatazi...Hata tawi la benki anafungua yy
Kwani mradi wa SGR una awamu ngapi?
Jengo ambalo lingeweza kuzinduliwa na DC,delegation iko wapi??Hachoki kuonekana kwenye TV kila siku.Kweli Zitto hakukosea!!!
Nyie ndo wale wasio na akili.Jengo ambalo lingeweza kuzinduliwa na DC,delegation iko wapi??Hachoki kuonekana kwenye TV kila siku.Kweli Zitto hakukosea!!!
Elfu ishirini na saba na mia tisa na themanini na moja point sifuri sifuri tanoKwani mradi wa SGR una awamu ngapi?
Hamkosoi badala yake mnapotoshaNinachomshauri mh Rais ni kuwa aache uoga, ni muoga mno wa kukosolewa, km unafanya kazi sawa sawa unaogopa nini?
unajua vizuri protocal ya uwekaji wa mawe ya msingi na ufunguzi wa majengo ya serikali? kama hujui siyo lazima kuchangia kila mada.Kazi za naibu katibu mkuu wa wizara zinapofanywa na raisi
Hakuna cha milestone hapa,zaidi ya kuongeza maumivu kwa wananchi kwa kauli za kukejer huku hali ya maisha ikizidi kuwa ngumu.Bora akae kimya tu hana la maana.Visingizio vya kila mtu akikua mwzi kwake .Inakera sanaJamani ndiye Rais wetu na hii ni milestone kubwa.Tuweke akiba ya maneno.
Dr.Mpango kasema amamshukuru sana rais kwa kukubali mwaliko wao. Ni rais wa watu, ukimualika kwenye mambo ya maana anakuja.Jengo ambalo lingeweza kuzinduliwa na DC,delegation iko wapi??Hachoki kuonekana kwenye TV kila siku.Kweli Zitto hakukosea!!!
Mkuu wimbo wa vyuma vimekaza umekuwa wimbo wa taifa.Ni wachache sana wanasababu za mcng vyuma kukaza,wengi imekuwa ni defense mechanism ktk kujitetea.vilevile kumbuka awamu yyt ya uongozi mtanzania aliwahi sema maisha mazuri.Enzi za jk watu walikua wanalia na kusifia kwa mkapa na kwa mkapa hivohivo watu walisifia kwa mwinyi.Ni kama fashion kwa mtanzania kulia maisha magum na kusifia kilichopita lkn ukienda ukamhoji vizur unakuta hana sabb za mcng na maisha yake hayana utofaut wwt na awamu iliyopita.Hata Mimi Nina mkumbo huo lkn mda mwingine nikikaa naona sina hoja za mcng most ni uzembe wangu.Kwa maneno ya mkuu unaweza kutafsiri kwamba Nchi hii kila mtu alikua mwizi! Kama hata mama ntilie wanalalamika vyuma kukaza sijui mama ntilie nao walikua majizi wa nini,,