Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,035
49,718
Habari zenu wanabodi..

Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.

Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..

Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.

My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.

Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
👇


 
Juzi rais Samia akiongea kwa msisitizo alisema "nchi yetu uchumi wake haukuteteleka sana kama majirani zetu kutokana na sera na maamuzi mazuri ya hayati Magufuli kutokufungan nchi kipindi cha COVID 19 , uchumi wetu upo imara kuzidi majirani zetu na Afrika"

Hoja yako imekaa kizushi na kihiyo, kwa mujibu wa bank ya dunia uchumi wa dunia umeshuka kutokana na janga la COVID 19,vita vya Ukraine na mabadiliko ya tabia nchi.

Jana rais Biden akihutubia maelefu ya watu mjini Warsaw Poland amesema vita ya Ukraine imeleta tatizo kubwa la kiuchumi duniani hasa Afrika .

Mleta mada utakuwa na mimba kubwa ya Magufuli inakutesa tulia uzae tu

USSR
 
Juzi rais Samia akiongea kwa msisitizo alisema "nchi yetu uchumi wake haukuteteleka sana kama majirani zetu kutokana na sera na maamuzi mazuri ya hayati Magufuli kutokufungan nchi kipindi cha COVID 19 , uchumi wetu upo imara kuzidi majirani zetu na Afrika"

Hoja yako imekaa kizushi na kihiyo,kwa mujibu wa bank ya dunia uchumi wa dunia umeshuka kutokana na janga la COVID 19,vita vya Ukraine na mabadiliko ya tabia nchi.

Jana rais Biden akihutubia maelefu ya watu mjini Warsaw Poland amesema vita ya Ukraine imeleta tatizo kubwa la kiuchumi duniani hasa Afrika .

Mleta mada utakuwa na mimba kubwa ya Magufuli inakutesa tulia uzae tu

USSR
Haikuteteleka kwa muktadha wa Covid 19 kama ni kufanya citing ya alichokizungumza Mama lakini in aggregate mtoa mada anatuambia ni horrible sasa leta nondo hapa kumpinga mleta mada kwa facts na sio farts.
 
Juzi rais Samia akiongea kwa msisitizo alisema "nchi yetu uchumi wake haukuteteleka sana kama majirani zetu kutokana na sera na maamuzi mazuri ya hayati Magufuli kutokufungan nchi kipindi cha COVID 19 , uchumi wetu upo imara kuzidi majirani zetu na Afrika"

Hoja yako imekaa kizushi na kihiyo,kwa mujibu wa bank ya dunia uchumi wa dunia umeshuka kutokana na janga la COVID 19,vita vya Ukraine na mabadiliko ya tabia nchi.

Jana rais Biden akihutubia maelefu ya watu mjini Warsaw Poland amesema vita ya Ukraine imeleta tatizo kubwa la kiuchumi duniani hasa Afrika .

Mleta mada utakuwa na mimba kubwa ya Magufuli inakutesa tulia uzae tu

USSR
Always Huwa una excuses kama zote kujaribu kutafuta justifications for your failures..

Covidi ilikuwepo kuanzia 2015 Hadi 2020? By the way athari za covid zimeanza kuanzia mwaka 2021 Hadi Sasa Mwendazake akiwa kaburini.
 
Haikuteteleka kwa muktadha wa Covid 19 kama ni kufanya citing ya alichokizungumza Mama lakini in aggregate mtoa mada anatuambia ni horrible sasa leta nondo hapa kumpinga mleta mada kwa facts na sio farts.
Akija akaniambia mpaka sasa Rais aliyepo amefanya nini la mama kama legacy nakuja kumjibu tena , namsubilia

USSR
 
Wewe ni Mtanzania, upo ndani ya nchi na hukuona alichofanya JPM, watu wa nje waliona alichofanya na kumsifia, hebu funguka, piga maombi ili uone kazi nzuri aliyofanya JPM. Hakika JPM alikuwa mkombozi wetu kiuchumi ila basi tu! Mpaka sasa siamini! Huenda umejificha mahali, utarudi lini baba?
Kila Rais alifanya Wala hakuna maajabu yeyete ndio maana licha ya propaganda zote ila namba zinakataa..

Tueleze alifanya yapi? Masoko ya Ndugai na uwanja wa Chato ambavyo ni Makao ya popo?
 
Habari zenu wanabodi..

Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.

Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..

Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.

My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.

Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
👇



Misukule ya Magufuli itasema kwa nini umamchafua mtu ambaye amelala hawezi kujitetea.

I assure you kama Mwenfazake angekuwa hai tungekuwa kama Zimbabwe au Yemen au Somalia. Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule Shetani
 
Kwa hiyo katika hali ya kawaida ni wakati gani uchumi wa nchi upo vizuri, wa Magufuli au wa mh Samia
Hili ni swali au jibu? Awamu ya Rais Samia
Screenshot_20221208-221653.png
Screenshot_20221208-223154.png
Screenshot_20221208-223213.png
 
Always Huwa una excuses kama zote kujaribu kutafuta justifications for your failures..

Covidi ilikuwepo kuanzia 2015 Hadi 2020?
Wewe unataka kujua kuwa Magufuli alikusanya hadi Trilioni 2 kwa mwezi kutoka billion 800 za Kikwete

Unataka kujua alijenga SGR , kununua ndege 11,kujenga stand ya mbezi Louis,Dodoma , Chato, kupanua uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere , kujenga Chato airport,kupanua kwanza airport,njia nne kibaha hadi kimara,kuhamishai serkali Dodoma,kujenga meli ziwa Victoria na nyasa, kuhakikisha elimu Bure, kujenga barabara za lami dar hasa kinondoni, kupambana na rushwa ,madawa ya kulevya , uhujumu uchumi, wafanyakazi hewa na vyeti fake na kununua majengo ya kibalozi na kuanzisha balozi mpya au kubuni vitambulisho vya machinga

Mimi nitakufunza kilaza wewe usiyemjua kuchambua ilaza za vyama

Wewe unataka nini nije nikujibu

USSR
 
Samia hana hata miaka miwili😆,vuta subra,
Jpm aliimarisha uchumi sana🤷🏾‍♂️
Aliimarisha from which ground Mzee? Uchumi uliporomoka unasema aliimarisha? Ni awamu ya nani ulisikia vyuma kukaza?

Ni awamu ya nani ulisikia sekta ya real estate Kuporomoka? Hukuona watu wamekimbia majengo huko Mjini?

Hukuona maelfu ya maduka yamefungwa? Tupeni takwimu zinazoonesha uchumi kuimarika.

Mwisho chini ya miaka 2 ya Rais Samia tayari Kuna signs nzuri sana kwenye uchumi kama zifuatazo 👇
Screenshot_20230213-191611.jpg
Screenshot_20230213-192459.jpg
20230221_204426.jpg
20230208_214233.jpg
20230201_114325.jpg
 
Habari zenu wanabodi..

Ushahidi wa Takwimu umebainisha jinsi Serikali ya Magufuli iliharibu Uchumi wa Tanzania Kwa kiwango Kikubwa.

Kwa mujibu wa jarida la Tanzania Business Insight likinukuu taarifa za Benki Kuu na Ofisi ya Taifa ya Takwimu limefanya ulinganisho wa ukuaji wa Uchumi Kwa awamu ya kwanza ya Rais Mkapa,Kikwete na Magufuli.

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..

Aidha Uchambuzi pia unaonesha awamu ya kwanza ya Marehemu Mkapa,Alikuza uchumi Kwa Asilimia 154% na ni katika awamu ya Mkapa ndipo Uchumi wa Tanzania ulikuwa Mkubwa kuliko wa Kenya.

My Take
Ukweli ni kwamba licha ya Majigambo,Magufuli alifeli sana kwenye uchumi na ndio chanzo Cha kuanzisha udikteta usio na msingi ikiwemo kutunga Sheria za kuzuia watu ku challenge takwimu za uongo na za kupika za Serikali yake. Na kawaida ya Uchumi,namba Huwa hazidanganyi.

Wafuasi wa Mwendazake njooni mtoe majibu Kwa nini mlihatibu Uchumi? Mlikuwa mnafanya kazi gani hasa?
Swali lililosalia ni Je awamu ya 6 itatuvusha? Ni suala la kusubiria.
👇



Ujibiwe nini mjinga tu wala hujui mambo ya uchumi. Kwa kudhani unajua kuliko wataalam wa benki ya dunia waliyoitangaza tz kufikia gdp per capita usd 1086 na kua nchi ya uchumi wa kati unaonesha ujinga wako.
Eti growth rate 74%, 32% . Uliwahi kuona wapi annual growth rate za hivyo mjinga wewe.
Wakati wa jk tulikua na growth rate za 7.4% and then jpm akaanza ukuuaji mzuri kama huo kabla corona haijaingia na kuvuruga uchumi wa nchi nyingi. Nchi nyingi dunia zikawa na growth rate hazifiki hata 1% lakini tz kutokana na jpm alivyo handle corona uchumi wetu ukawa unakua kwa asilimia 3.2. jirani zetu kenya na uganga nadhani growth rate zilikua negative.
Mtahangaika kum demornise jpm hadi mnaonyesha ujinga wenu. Mtu uchumi hujui unajidai kuchambua kitu gani.
 
Back
Top Bottom