Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 760
- 1,444
- Thread starter
- #21
Mkuu ndo kitu kinachoshangaza Siku 5 hata majirani ofisi zingne hawakuhisi kitu maana jana wakati police wamefika kulikua na harufu inatoka ya kuharibika na wanasema mwili ulikua kwenye hali mbaya sana wamekuta maji mengi unatoa