Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Hayo ni mawazo yako; au tuseme hiyo ndiyo habari unayotaka kuisikia.Mkuu usiilaum JF kwani hakuna mtu anashurutishwa kusoma habari hizi huru na kweli
chambua km uongo unapita, familia na majirani wanajuwa wamemzika Baba yao na ni nini kijana alipoenda kufungua mlango kumsaka Baba yake
vitu vya kawaida hata Saddam alikuwa na msemaji wake, au picha moja linaitwa Missing in Action, Utawala wa USA ulisema hakuna mateka Vietnam, mwisho Chuck Norris akaingia nao
siku watu na Udaku wakiingia na ushahidi wa wahusika nitakutafuta hapahapa JF