Do You Remember?

Do You Remember?

Wiki ya pili hii najifunza kucheza kiduku.
<br
We hovyo kabisa! Wenzako kina AD, AJ & Co. wanajifunza kucheza KAT*LERO we unaongelea kikudu hapa. Ovyooooo! Wenzako wanaongelea mmoja kutikisa KICHWA na mate wake kuzungusha HIPS! We vp banaa? Kikudu ile kama unapita kwenye matope? Ovyo tu ile.
 
Nipo Dr, nimejaa tele kama pishi ya mchele hahahahah lol! Mzima wewe lakini? Nakutakia jumapili njema 🙂🙂🙂





King alijikausha!! Kaona BAK in the house kaja mwenyewe....lol.... Thanks a bunch BAK.....
 
Last edited by a moderator:
dah...Am so happy for this thread..thanks Sweet

Kama kuna mtu anapend animfundishe twist za kina Kabaka, aorodheshe jina kwa AshaDii...:drum:



....lol..... Naona hon' uko tayari kuonesha them moves (stil considering thou kama i want that).... The recruited will see how you Rock!!
 
shemeji sasa unaongea kichaga! animfundishe ndo nini? manake za kabaka nazipenda, na za kibaki pia. kuna ile moja kericho wanaipenda sana, ' i lov yu, yu lov me. i luku yu yu luku me! i lov me yu lov me! 'let us go!!''


Wifi king acha UKOROFI!!! lol (alafu huo wimbo umechagua naona tubadilishe... you have to call HIM kaka... atakuaje Shem hali wewe wifi yangu...lol)
 
We hovyo kabisa! Wenzako kina AD, AJ & Co. wanajifunza kucheza KAT*LERO we unaongelea kikudu hapa. Ovyooooo! Wenzako wanaongelea mmoja kutikisa KICHWA na mate wake kuzungusha HIPS! We vp banaa? Kikudu ile kama unapita kwenye matope? Ovyo tu ile.


C'mon dude!! Was that the idea you got???? lol... Then we; the so called by you as ADI & Co are in real BIG Trouble..... (Alafu acha kumkorofisha Husny - ana ULINZI wa kutisha)
 
adi, niliwahi kuuliza hili swali siku ile nimezalika,na yeye sweetie wako akanijibu nimuite shemeji. tena niliuliza kwa kidhungu,hahaha! i had this song,sijui ulipotelea kwenye kimeo gani..u shld see them kenyan boys moving their chest muscles,ofcoz ladies too! ntakuimbia siku ukinikaribisha sunna ya futari,lol
Wifi king acha UKOROFI!!! lol (alafu huo wimbo umechagua naona tubadilishe... you have to call HIM kaka... atakuaje Shem hali wewe wifi yangu...lol)
<br />
<br />
 
sooo overprotective! let the ladies envy u banaa,lol!
....lol..... Naona hon' uko tayari kuonesha them moves (stil considering thou kama i want that).... The recruited will see how you Rock!!
<br />
<br />
 
hahhaha,wifi umeanza sasa. unataka kakako anipige ban hapa eeh? bak was missed banaa,lol!
King alijikausha!! Kaona BAK in the house kaja mwenyewe....lol.... Thanks a bunch BAK.....
<br />
<br />
 
adi, niliwahi kuuliza hili swali siku ile nimezalika,na yeye sweetie wako akanijibu nimuite shemeji. tena niliuliza kwa kidhungu,hahaha! i had this song,sijui ulipotelea kwenye kimeo gani..u shld see them kenyan boys moving their chest muscles,ofcoz ladies too! ntakuimbia siku ukinikaribisha sunna ya futari,lol


Ukweli wa Mungu nikua the Kenyan dudes knows how to move it (ki music tu king...lol) frankly speaking... Unajua we learn from mistakes... Siku ile nilimwachia yeye aamue... sasa baada ya kutafakari nimetengua hivo it is me deciding what he and you should call each other....lol
 
hahhaha,wifi umeanza sasa. unataka kakako anipige ban hapa eeh? bak was missed banaa,lol!


Hakuna bana.... Kaka is understanding...lol.. BAK was missed huo ndo UKWELI wenyewe (na ni ladies mostly hivo kaka knows this pia)
 
&lt;br
We hovyo kabisa! Wenzako kina AD, AJ & Co. wanajifunza kucheza KAT*LERO we unaongelea kikudu hapa. Ovyooooo! Wenzako wanaongelea mmoja kutikisa KICHWA na mate wake kuzungusha HIPS! We vp banaa? Kikudu ile kama unapita kwenye matope? Ovyo tu ile.

Hii post imenishtua kwakweli...ni vyema kama hujui jambo ukaacha lipite maana watu twaheshimiana humu...
 
wifi,whatever u say...nakuaminia
abt kenyan guys,let me nt say much. japo they know hw to make them moves nadhani they cant melt my heart,lol!
Ukweli wa Mungu nikua the Kenyan dudes knows how to move it (ki music tu king...lol) frankly speaking... Unajua we learn from mistakes... Siku ile nilimwachia yeye aamue... sasa baada ya kutafakari nimetengua hivo it is me deciding what he and you should call each other....lol
<br />
<br />
 
wifi,whatever u say...nakuaminia
abt kenyan guys,let me nt say much. japo they know hw to make them moves nadhani they cant melt my heart,lol!


Hapo sawa King..... (they can not beat your heart kwasababu ni one of the worst ktk mahusiano...thus i concur)
 
Hii post imenishtua kwakweli...ni vyema kama hujui jambo ukaacha lipite maana watu twaheshimiana humu...[/QUOTE.. Bora wewe imekushtua ukabaki mzima, mi fahamu zilinipotea, ndo zarejea just now...daaah nimeamini usilolijua usiku wa giza... Mshikaji kadandia treni kwa mbele mpaka hasira... Afu Sangara na AD jumlisha King'asti na Husninyo wote nimewanunia...
 
Bora wewe imekushtua ukabaki mzima, mi fahamu zilinipotea, ndo zarejea just now...daaah nimeamini usilolijua usiku wa giza... Mshikaji kadandia treni kwa mbele mpaka hasira... Afu Sangara na AD jumlisha King'asti na Husninyo wote nimewanunia...


Dah!!! Hii nayo kali!! Yaaaaani kakuudhi DEADTEJA wee na Husny na sisi bado utununie sisi?? Kulikoni??
 
Dah!!! Hii nayo kali!! Yaaaaani kakuudhi DEADTEJA wee na Husny na sisi bado utununie sisi?? Kulikoni??
Hahahaha! Nimewachekea baada ya kuisoma hiyo ID ya huyo mpendwa hapo... Nimemsamehe kwa moyo wangu wote... Habari ako binafsi AD? Mi miss you sana... Nisalimie wifi King'
 
Hahahaha! Nimewachekea baada ya kuisoma hiyo ID ya huyo mpendwa hapo... Nimemsamehe kwa moyo wangu wote... Habari ako binafsi AD? Mi miss you sana... Nisalimie wifi King'


Hapo sawa!!! Naona umerudi katika mstarai....lol... Niliogopa thought we had lost you...
Habari yangu nzuri... ni mda mrefu saaana umepita nikafurahia na kujiachia kama this
weekend... genuinely I feel Great namshukuru Mungu.....

Me miss you zaidi... alafu wifi King' kuna issue anafuatilia hivo kidogo ka-pause....
 
lo najuta kwa kutoiona hii "uzi' toka mwanzo....
Ofcz last week end ilikuwa tamu sana kwangu.....
Pande hii nilitembelea club kama 3 hivi usiku mmoja...
Pini ya "price tag" ya Jessie J na B.O.B inanikuna sana
Lakini kiukweli sidhani kama nimetengeneza kumbukumbu ya kivile coz hamna jipya!
Haijaweza kufuta kumbukumbu yangu ya kipindi hicho miaka ya 99 wakati wa Dru Hill.
Kwenye album yao ya "Enter the Dru" kulikuwa na ngoma mbili za "In my bed" na "these are the times"..
Kikubwa kinachonikumbusha kwenye hizo ngoma, pamoja na kuzipenda sana ila zilinipa wasaa wa ku-dance na mchumba mmoja hivi!
Ilikuwa tumetoka kidarasa (study tour)...Bagamoyo..... Dj wakati anapiga hiyo nyimbo (In my bed) niliingia peke yangu kucheza...
Sababu nilikuwa naujua, so nikawa najaribu kucheza kama Sisqo huku nikiimba..... watu wakinichek hivi ..shosti akaja.. tukacheza!
Ukumbi ukalipuka kwa shangwe jinsi nilivyo-roll na mtoto.....wimbo ukaisha, watu wakataka urudiwe tena!!!!
Baada ya hiyo music huo usiku yule shosti akawaga "girlfriend" wangu...... hadi leo huko aliko akiwaona "Dru Hill" lazima anipigie simu!
Zilikuwa nyakati tamu sana enzi hizo....
 
Hapo sawa!!! Naona umerudi katika mstarai....lol... Niliogopa thought we had lost you...
Habari yangu nzuri... ni mda mrefu saaana umepita nikafurahia na kujiachia kama this
weekend... genuinely I feel Great namshukuru Mungu.....

Me miss you zaidi... alafu wifi King' kuna issue anafuatilia hivo kidogo ka-pause....
...lol... Jiachie mpendwa, maisha yenyewe haya kwa nini unune?.. Waswahili wanasemaga, raha jipe mwenyewe... Nafurah vile wewe bukheri... Mwaaaaaaah, hilo busu ni special kwa j2 ya leo! Akirudi wifi King mgawane, na ole wako umpunje mwenzio...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom