lo najuta kwa kutoiona hii "uzi' toka mwanzo....
Ofcz last week end ilikuwa tamu sana kwangu.....
Pande hii nilitembelea club kama 3 hivi usiku mmoja...
Pini ya "price tag" ya Jessie J na B.O.B inanikuna sana
Lakini kiukweli sidhani kama nimetengeneza kumbukumbu ya kivile coz hamna jipya!
Haijaweza kufuta kumbukumbu yangu ya kipindi hicho miaka ya 99 wakati wa Dru Hill.
Kwenye album yao ya "Enter the Dru" kulikuwa na ngoma mbili za "In my bed" na "these are the times"..
Kikubwa kinachonikumbusha kwenye hizo ngoma, pamoja na kuzipenda sana ila zilinipa wasaa wa ku-dance na mchumba mmoja hivi!
Ilikuwa tumetoka kidarasa (study tour)...Bagamoyo..... Dj wakati anapiga hiyo nyimbo (In my bed) niliingia peke yangu kucheza...
Sasbabu nilikuwa naujua, so nikawa najaribu kucheza kama Sisqo huku nikiimba..... watru wakinichek hivi ..shosti akaja.. tukacheza!
Ukumbi ukalipuka kwa shangwe jinsi nilivyo-roll na mtoto.....wimbo ukaisha, watu wakataka urudiwe tena!!!!
Baada ya hiyo music huo usiku yule shosti akawaga "girlfriend" wangu...... hadi leo huko aliko akiwaona "Dru Hill" lazima anipigie simu!
Zilikuwa nyakati tamu sana enzi hizo....
Your Signaure gives a hint of what you love... I know already unapenda Jazz music and you are all "soul" Music... BUT hii post umetoa yaonesha ni since when you love Music and of course in most cases tukigongana in entertainment we have almost the same taste...
Nianzie hapo nyuma... kwa akin Dru Hill... Gosh! I loved that group, so young and naive then... (bitter sweet memories zipo hapo) Nilikua nampenda Sisqo ili mbaya (come to think of it don't even know what i liked in him - nikirudi nyuma) enways "In my bed" was my fav song of Dru hill, infact to date.... I Love the part "Sleeping in my bed... Messing with my head... tell me why oh why oh why"... I can still sing the whole song word to word mpaka leo na utu uzima huu.... (alafu huo shosti mlicheza vipi na huu wimbo kama hauchezeki wawili vile...lol).. I am glad thou kua the song na the lady are forever in your memory....
Tunakuja kwa hawa wa kizazi kipya ambao ulisikiliza last weekend and so it seems you had fun.... Good. I like when people are happy na ukiwauliza you find it was in the near future they had that fun... it tells a lot kuhusu a person (for most saiz majukumu yamebana your spare time unaenda kwenye vikao vya jumuia, harusi, misiba... the list goes on, na ukiendekeza unakua sooo fade up)
Huo wimbo wa "Price tag" naupenda (in fact hapa niko kumsikiliza B.O.B) naona ni mzuri saana but wa kizushi kabisa... Huyo binti katengeneza saana jina na she is getting loads of money sasa... And she says it is not about the money....
I think the song's word should have been: It all about the money money....Its alll about the cha -ching chang, cha-ching, If you wanna make the world dance remember about the price tag......lol... (but that just my IMO)
JG nimefurahi kukuona for umekua adimu saana.... I hope Malaika is well and good.
Oh! JG my most favourite Music saizi ni "Nwa baby" (Ashawo Remix) Niliifuma sehemu..... I Love it!!!