Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

mkuu mm ni mzalendo
Wewe ukiwa mzalendo basi ntaamini hata Idd Amin alikuwa mzalendo Uganda. Kila siku Dr Slaa Dr Slaa. Kwanini Msiongelee mambo yenu au mkatumia muda huo kumshauri Baba Liz aliyeshindwa kutetea slogan yake ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA ?
 
Tatizo la babu ni woga, anawaogopa sana vijana wanaokuja kasi na anajua kuwa hana tena sifa za kugombea Urais
Hivi sifa za kugombea ni zipi? Sidhani kama upo serious na tamko lako.
Namshukuru Slaa kwa mchango wake kwenye chama. Ameonesha ukomavu mkubwa. Mtu kama Zito bado ni mtoto. Angekuwa yeye katibu, chama kingeishauzwa. Amejaribu sana kuuza wenzake...nadhani mnakumbuka Mwigulu akisema wapo viongozi walio tayari kutoa ushahidi. Alikuwa akimaanisha Zito. Zito, Lipumba na Mrema ni political prostitutes.
 
"INASEMEKANA" hata jina lake katika orodha ya wasafiri halikuwa jina halisi na kama ni kweli basi hii inaleta maswali mengi kuhusiana na INTEGRITY ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dr. Slaa kama alifahamu "mke" wake alikuwa anadanganya mamlaka nchini.

Kwa nini na kwa faida gani alikuwa anadanganya?


Mimi napata was was sana,people like you & zemakropo mnajinasibisha na jinsia ya uanaume,
Mbaya zaid ni jinsia yenu nyinyi mnaopata wivu wa josephine kuwa pamoja na Dr Slaa,sijawahi kuona wala kuskia wanawke waliomo humu jukwaani wakipata wivu dhidi ya josephine kuwa na Dr slaa hata siku moja,ila nyinyi mmekuwa vinara sana,

Mimi nahisi nyinyi watoto MCHELE MCHELE,HAMSHUGHULIKII,WATOTO SIO RIDHK,MIMI HUWA NAWAITA WATOTO WA WATUU...
MAISHA YENU NI USANII TUH,MNAPENDA KILA KITU,SI MCHANA SI USIKU WATOTO SI MALI KITUU,LAKIN MMEKOSEA NJIA SANA,SERA ZA ULIBERALI HUKU SI MASKANI KWAKE..,You wish mungu angewaumba Josephine eeeh??

Achen hizo,hebu jitumeni kufanya kazi muish kama vijana wa kisasa,Uliberali hautawasaidia kitu ndug zangun..
 
mzee slaa mbona unaongea maneno matupu bila hata ya kutoa vielelezo,hujasema kwa nini juliana shonza ulikuwa unamzuia hata kuzungumza jukwaani halafu unawaita watovu wa nidhamu how.
 
Vijana gani unamaanisha?Wale waliokwapua simu?Heri wazee kuliko vijana wanaoshiriki katika vitendo vya aibu kama wizi na kujigamba kwa ushirikina.Ni fedheha kwa vijana.Dunia inaendeshwa kisayansi mzee,hakuna ujanja ujanja

Tusi hapo ni nini? Buku 7 ni tusi?mada unajibu kama ni objective...kila mtu akiamua kuweka anachohisi moyoni na kijibiwe tutafika kweli..Mwambie kinana aingie JF kama atajibu hata mada 1...
 
Sorry @ Ben Saanane was actually quoting mkubwa Chilisosi
 
Last edited by a moderator:
Mpango wa shetani kutaka kushika nchi unavurugika kwa kasi.
 
katika vijama wa cdm hakuna -------- kama ben saanane,hajui anachokifanya,ni mnafiki na mzandiki!toka atoe maelezo ya kuwafukuza shonza,mwapamba,mchange na anaendelea kumshambulia zitto kila kukicha!ben saanane ur idiot
 
halafu vijana wa cdm mbona htwa hampendi kushughulisha akili mtafikiri kuku wa kisasa!uwezo wenu wa kufikikiri na kupambanua mambo ni mdogo mno!ukitaka kujua kuwa nyie hakuna kitu hoja ya dr slaa au mbowe iletwe humu,,amkeni wao si malaika,mnaua chama acheni kuwa mburula
 
Kiukweli Dr Slaa ameishiwa. Huo ni ukweli usiopingika. JK anatoka madarakani anamuwekea mwingine amgatagaze tena. Kiukweli huyu mzee angetakiwa kutumia huu muda kuweka ndoa yake vizuri. Siasa apumzike.
 
Binafsi siku nikiingia JF nikakuta misukule ya ccm kama MwanaDiwani, ZeMarcopolo, Boko haram, assadsyria3, Chilisosi na wengine wameacha kuwashambulia Dr.W.Slaa na kamanda Mbowe na wameanza kuwasifia basi siku hiyo narudisha kadi ya Chadema kwakuwa itakuwa ni dhahiri kuwa viongozi wangu wametusaliti watanzania.

Lakini hizi kelele zinazopigwa hapa ni salamu tosha kuwa hao makamanda ndio kitisho kikuu kwa uhai wa ccm kwahiyo wanalazimika kukesha mitandaoni ili kujaribu kuchafua watu wakidhani watanusurika na maziko yao mwaka 2015.
Nawaona malaika wa shetani ccm wamejazana kwenye thread hii wakijaribu kutafuta mawindo wampelekee anayewaweka mjini!

Mkuu wengine hapo wana ID nyingi.Na sisi huwa tunawakomesha.

Watu hawajengi hoja tena zaidi ya uzushi tu
 
Last edited by a moderator:
dr NAKUHESHIMU SN KAMANDA LAKINI SUALA LA BAREGU LIPO WAZI KASOME RAIA MWEMA BAREGU ALIKIRI KWAMBA ULIMPIGIA CM KWAMBA AJITOE NA AKAKUJIBU KWANN UMPIGIE CM NA USIMPE BARUA BADO UKAENDELEA KUSISITIZA NDIPO AKAKWAMBIA NINGEAMBIWA NICHAGUE KIPI KATI YA CHAMA NA MASLAHI YA NCHI NINGECHAGUA YA MASLAAHI YA NCHI HEMBU KANUSHA KWAMBA HUKUMPIGIA PROF BAREGU CM ANALICHOSEMA RAIA MWEMA NI UONGO.PILI KATIBA ULIOYONUKUU INATUMIKA NAKUBALI ILA UFAHAMU INFLENCE NA BIAS NDIO VIBAYA ZAIDI KULIKO HT HIYO KATIBA MFANO MAREKANI INAJUSTIFY SURVELLANCE ALIYOFICHUA SNOWDEN INGAWA NI KINYUME CHA KATIBA YAO KWAHIYO RAIS ANATUMIA INFLUENCE KUMFUNGA SNOWDEN HIVYO WW ULISHAWAONA HAWA VIJANA NI THREAT KWAKO HUONI INFLUENCE YAKO ILICHANGIA PAKUBWA HATA KM KATIBA IPO TATU SUALA LA BARUA YA ZITO KUVUJA MWENYEWE ALILALAMIKA KWAMBA BARUA ALIYOKUA AMEIPELEKA KWA KATIBU MKUU ANAIONA HP JF JE ZITO NI MUONGO KWAMBA HAKULETA BARUA YOYOTE OFISINI KWAKO?NA MWISHO NI KWAMBA KWANINI UNAPENDELEA MASULA MAZITO KAMA KUHUDHURIA VIONGOZI WA CHADEMA KWENYE SHUGHULI ZOZOTE ZA KITAIFA KUZITOLEA KWENYE VYOMBO VYA HABARI BILA KUSHAURIANA NA WENZIO KAMA SUALA HILI LA CHADEMA KUSHIRIKI UJIO WA OBAMA, HUONI KAMA UNGEJADIALIANA NA VVIONGOZI WENGINE KM MH MBOWE AU ZITO AU WENGINE UNGEPATA USHAURI KABLA YA KUROPOKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI AND KUMISLEAD WANANCHI KWA KUTOKUA MAKINI KATIKA MASUALA NYETI NA YANAOGUSA WATU WENGI?

Umepata bahati sana ya kujibiwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA.Next time tumia muda wako vizuri ujifunze kuandika .

1 : Suala la watu kufukuzwa ilikua mchakato wa BAVICHA na hata mimi nilipewa Adhabu ambayo nilipambana kukata rufaa ngazi ya juu kulingana na katiba yetu.Tujifunze kanuni.Acha ujinga unaorudia rudia kuandika hapa

2:Hayo mengine uliyoandika yalishajibiwa humu humu acha uvivu/upotoshaji wa makusudi.
 
ben saanane we ni tatizo kubwa cdm,unaiua cdm taratibu,ni mnafiki,mfitini na mzandiki
 
dr NAKUHESHIMU SN KAMANDA LAKINI SUALA LA BAREGU LIPO WAZI KASOME RAIA MWEMA BAREGU ALIKIRI KWAMBA ULIMPIGIA CM KWAMBA AJITOE NA AKAKUJIBU KWANN UMPIGIE CM NA USIMPE BARUA BADO UKAENDELEA KUSISITIZA NDIPO AKAKWAMBIA NINGEAMBIWA NICHAGUE KIPI KATI YA CHAMA NA MASLAHI YA NCHI NINGECHAGUA YA MASLAAHI YA NCHI HEMBU KANUSHA KWAMBA HUKUMPIGIA PROF BAREGU CM ANALICHOSEMA RAIA MWEMA NI UONGO.PILI KATIBA ULIOYONUKUU INATUMIKA NAKUBALI ILA UFAHAMU INFLENCE NA BIAS NDIO VIBAYA ZAIDI KULIKO HT HIYO KATIBA MFANO MAREKANI INAJUSTIFY SURVELLANCE ALIYOFICHUA SNOWDEN INGAWA NI KINYUME CHA KATIBA YAO KWAHIYO RAIS ANATUMIA INFLUENCE KUMFUNGA SNOWDEN HIVYO WW ULISHAWAONA HAWA VIJANA NI THREAT KWAKO HUONI INFLUENCE YAKO ILICHANGIA PAKUBWA HATA KM KATIBA IPO TATU SUALA LA BARUA YA ZITO KUVUJA MWENYEWE ALILALAMIKA KWAMBA BARUA ALIYOKUA AMEIPELEKA KWA KATIBU MKUU ANAIONA HP JF JE ZITO NI MUONGO KWAMBA HAKULETA BARUA YOYOTE OFISINI KWAKO?NA MWISHO NI KWAMBA KWANINI UNAPENDELEA MASULA MAZITO KAMA KUHUDHURIA VIONGOZI WA CHADEMA KWENYE SHUGHULI ZOZOTE ZA KITAIFA KUZITOLEA KWENYE VYOMBO VYA HABARI BILA KUSHAURIANA NA WENZIO KAMA SUALA HILI LA CHADEMA KUSHIRIKI UJIO WA OBAMA, HUONI KAMA UNGEJADIALIANA NA VVIONGOZI WENGINE KM MH MBOWE AU ZITO AU WENGINE UNGEPATA USHAURI KABLA YA KUROPOKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI AND KUMISLEAD WANANCHI KWA KUTOKUA MAKINI KATIKA MASUALA NYETI NA YANAOGUSA WATU WENGI?

Aise yani unajikamua sana kumjibu dr slaa na inaonyesha umetumwa...labda nikushauri jambo kuwa usipoteze muda wako kumsema dr hapa jwa sababu akuna atakaye kusikiliza kwa sababu watu walishaweka mioyo yao na mapenzi yao kwa huyu doctor ba ndiyo kimbilio lao nikiwemo na mimi...kwa shyo usipoteze muda wako kabisa
 
assardsyria3!unasumbuka bure,babu anasumbuliwa na uzee,ukiangalia comment zake humu jf utakubaliana nami babu ameshachoka kifikira na kiuongozi,hana jipya,amebaki kupayukapayuka !uwezo wake umeshafikia mwisho
 
Umepata bahati sana ya kujibiwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA.Next time tumia muda wako vizuri ujifunze kuandika .

1 : Suala la watu kufukuzwa ilikua mchakato wa BAVICHA na hata mimi nilipewa Adhabu ambayo nilipambana kukata rufaa ngazi ya juu kulingana na katiba yetu.Tujifunze kanuni.Acha ujinga unaorudia rudia kuandika hapa

2:Hayo mengine uliyoandika yalishajibiwa humu humu acha uvivu/upotoshaji wa makusudi.
kwani ww ni msemaji wa dk slaa@poison dealer company
 
Aise yani unajikamua sana kumjibu dr slaa na inaonyesha umetumwa...labda nikushauri jambo kuwa usipoteze muda wako kumsema dr hapa jwa sababu akuna atakaye kusikiliza kwa sababu watu walishaweka mioyo yao na mapenzi yao kwa huyu doctor ba ndiyo kimbilio lao nikiwemo na mimi...kwa shyo usipoteze muda wako kabisa
acha upumbavu mm ni mzalendo cwezi kutumika kama ww@kondom
 
narudia tena vijana wengi wa cdm humu jf ni washahabiki tu,hamkijui chama,ni wahuni ndo maana hamna point za maana!!mnakiua chama taratibu,mnapayukapayuka tu!waachie wenye uchungu kama kamamda mawazo,tumaini makene ,zitto wafanye kazi la sivyo cdm itasambaratika vpande vpande
 
Slaa akiona hoja rahisi utamuona akileta vijawabu vyake vya kuungaunga ila hoja maana azikimbia. Sijaona akijibu hoja za Mmk wala juliana wala Mwampamba zilizowahi kuletwa hapa hii ni ishara ya undumilakuwili wa huyu mzee mwenye uchu wa madaraka na anaepata kiburi kutoka kwa wapiga kelele wa jf' ngoja wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama utakiona cha mtema kuni.

Wenye uchu wa madaraka ni nyie ambao mnatumia hata UDINI ili muingie madarakani!AIBU ZENU!
 
Tehe tehe..tehe...ila hapo kwenye red sio kwamba anakurupuka muombe mzee radhi..

Babu huwa anaoteshwa kama yule mwenzake wa samunge...ndio maana utamsikia mara anasema.....kuna kontena limeingia na makaratasi ya kura, kuna watu wanafuatilia gari, tunajitoa kwenye hili au lile, hatuendi hatujaalikwa..ila wenzake wakikaa na kufikiria mara mbili wanaamua kumtosa. Kama sio tu ishu ya kugombea uraisi...mbona wangeshamtolea uvivu siku nyingi tu.

Mwenzenu EL kila anapotia maguu anaacha neema, nyie kila mkifanya mkutano ni kukung'uta mifuko ya walala hoi.....ndio maana mnapenda maandamano na mikutano kwa sababu inalipa...

Lema yupo standby na makontena ya kukusanya "sadaka" 24/7.

Mungu akupe nini unakusanya mahela..audit unafanya mwenyewe....matumizi mnaandika chochote mnachotaka....HIYO NDIO CHADOMO BANA....a.k.a saccos...a.k.a vikoba.

Na mnavyozidi kunogewa na hizo "sadaka" hatutoshangaa siasa itakapowashinda mkaibukia kwenye kuhubiri, kwa sababu mazoea hujenga tabia.

Tumewapa madaraka mmeshindwa kuleta maendeleo;mmewalinda watorosha twiga na wauwaji wa tembo wetu,mmewalinda mafisadi na wezi wa Mali ya umma kwa kigezo kuwa mkiwakamata nchi itatetereka,badala ya kukusanya kodi kubwa kwa makampuni ya kigeni yanayochimba madini,mmewashushia mzigo wa kodi wananchi wa kipato cha chini kupitia MPESA na TIGO pesa na mama ntilie wabangaizaji,mkawakumbatia wauzaji wa madawa ya kulevya na kuwakatisha tamaa wazalendo (marehemu Dr Massau)kwa kuwawekea vikwazo kwa kuendekeza 10%,pia mmeshiriki ktk mauaj..........................!!!!!!

Need to say more!?
Badala ya kujadili hayo yooooote mmekalia kumjadili mtu mmoja tu,Dr W.P.Slaa.Kweli Dr ameshawashika pabaya na hoja zote hapo juu ndio atakazotumia kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania kupitia chama cha upinzani.Nyie endelezeni blah blah badala ya kutekeleza ahadi zenu!
 
Back
Top Bottom