Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu
naona huu ujumbe hata ccm unawafaa pia, au unafikisha ujumbe kupitia cdm? au we polisi nini unalalamika wazee kupandishwa cheo?