Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 312
babu kachoka
Kwani CHADEMA kuna kubeba zege???
babu kachoka
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu
Jaribuni sometimes kujibu hoja na sio matusi
Heshima yako Dr,Chilisosi,
Upotoshwaji ikiachwa kuendelea kwa muda mrefu hatimaye kuna watu wataamini ni ukweli. Naomba kujibu Mimi mwenyewe hoja zote zilizotolewa na mleta thread......
....Upotoshwaji ikiachwa kuendelea kwa muda mrefu hatimaye kuna watu wataamini ni ukweli. Naomba kujibu Mimi mwenyewe hoja zote zilizotolewa na mleta thread......
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu
Ana jibu kwa sababu hoja imewekwa kistaarabu na kiungwana bila lugha chafu ya matusi.Dr.
Unamoyo sana kujibu hoja za buk 7...ukiwaendekeza hawa watakuweka busy hawakosi la kusema maana ndo ajira yao.
Tusijichanganye kuwajibu wachumia tumbo, tuwapuuze! Wakiandika uzi wao tusichangie, that's the only solution!
Sayansi ipi unayoizungumzia?? Ya kutembea na sumu hadi bar ukivizia kuwalisha wenzio? Kumwagia watu tindikali?? Poor u.Vijana gani unamaanisha?Wale waliokwapua simu?Heri wazee kuliko vijana wanaoshiriki katika vitendo vya aibu kama wizi na kujigamba kwa ushirikina.Ni fedheha kwa vijana.Dunia inaendeshwa kisayansi mzee,hakuna ujanja ujanja
Mnamwogopa..anawapa jambajamba 2015.....kachukue posho lumumba umemaliza kazi yako.