Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Naomba munisaidie kutambua kama hawa watu ni vjana,kikwete,kinana,mangula,shein,hawa ni vjan?kama kikwete n kjana Ridhiwan ni nan?muswe wanafk watanzania umri sio kigezo cha uongoz bora, rais mwai kibak wa kenxa alpokuwa madarakan nch yake ilkuwa inauchumi mzr zaid ya tanzania kama ni umr kibak na kkwete nan alikuwa na umri mkubwa?hebu mrnganshe nape na dr slaa jaman kwel nape hata propaganda hazjui her uzee ulio tukuka wa dr slaa kuliko ujna wenye upumbavu wa Nape na Mwigulu usio na mtazamo wa mbele
 
Ujana wa akna Nape wa kuanzsha ccj na kuchemsha huo ujana chadema hatuutaki
 
soma thred uelewe sio unakurupuka

Sasa nawewe kwa akili yako kuna hoja ya kujadili hapo, huo si upuuzi tu. Nani asiyejua kuwa Dr. Slaa ni tishio kwa CCM na hivyo mnahaha kujinusuru. Hamuwezi kuiangusha CDM kwa mitego ya kitoto kama hiyo, labda muendelee kurusha mabomu kwenye mikutano ya CDM na tutaanza kuwaonyesha kwa RED BRIGADE. Si mnajifanya mmeshindwa siasa za utulivu, tutawaonyesha tu.
 
chama kimefika hapa kilipo kwa uongzi wake na kukurupuka kwake. Wewe haujachangia chochote kukifikisha chama hapa kilipo, chuki zako hazisaidii kitu. viva slaa viva
 
CHADEMA hakuna mgawanyiko. CHADEMA iko imara!
Najua unaombea sana tugawanyike lakini haitakuwa hivyo. Dhamira zetu ni imara, huwezi kuzidhhoofisha, tuna kazi moja tu - kuhakikisha CCM inaachia mamlaka mikononi mwa Watanzania!
 
CDM huwa wanajitahidi sana kurop.o.ka kwamba hawakurupuki ila kwa hoja chache tu ulizozibainisha hapo juu wanajitambulisha wao niwakurupukaji kwa kiwango gani.
Leo nimekubaliana na wewe asilimia mia moja, hasa baada ya ule uzi wa mama KOKU
 
Slaa akiona hoja rahisi
utamuona akileta vijawabu vyake vya kuungaunga ila hoja maana azikimbia.
Sijaona akijibu hoja za Mmk wala juliana wala Mwampamba zilizowahi
kuletwa hapa hii ni ishara ya undumilakuwili wa huyu mzee mwenye uchu wa
madaraka na anaepata kiburi kutoka kwa wapiga kelele wa jf' ngoja
wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama utakiona cha mtema kuni.

acha kashfa, kwahiyo una maana hoja ya huyu gamba mwenzako assadyria ni ya kitoto, una maana hatalipwa buku 7!?
 
Back
Top Bottom