Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,050
- 748
Direct DebitIle kadi ya CCM umeilipia ada ya mwaka huu?? Au unailipia miaka mitano mitano km kawaida yako
Direct DebitIle kadi ya CCM umeilipia ada ya mwaka huu?? Au unailipia miaka mitano mitano km kawaida yako
Ha ha haa Dr Slaa leo amenifurahisha dah halafu ndio anategemea akakae pale magogoni!:lalala:Kiongozi, kwa hadhi yako hupaswi kutoa matusi, wewe jikite ktk kujenga hoja, matusi waachie vijana wako wa mia mbili per post. Kashfa za josephine zipo nyingi, ungejibu hoja ya marcoplo badala ya kutukana ili kuonyesha tofauti kati yake na ww.
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
Mkuu taratibu jamaa yangu.Kiongozi, kwa hadhi yako hupaswi kutoa matusi, wewe jikite ktk kujenga hoja, matusi waachie vijana wako wa mia mbili per post. Kashfa za josephine zipo nyingi, ungejibu hoja ya marcoplo badala ya kutukana ili kuonyesha tofauti kati yake na ww.
Ni lazima maisha yake yawe SUPPLEMENTED na CHADEMA kwa vile bado anasubiri UJAZO kutoka serikalini.Josephine amelipwa ruzuku ya chadema kwa manufaa yake binafsi. Anatumia resources za chadema kwa biashara zake.
Tatizo la babu ni woga, anawaogopa sana vijana wanaokuja kasi na anajua kuwa hana tena sifa za kugombea Urais
Ile kadi ya CCM umeilipia ada ya mwaka huu?? Au unailipia miaka mitano mitano km kawaida yako
Have you ever ask the same question to those pro-CHADEMA who brings thread kuhusu CCM na makada wake every day?.Huwa napata shida sana kuona Mtu Gamba anaanzisha thread za uongozi ndani ya Watu Gwanda! Sijui kwa interest zipi?? Why don't you mind your own business?????
Vijana kuweni macho musiwaite watu wazima wazee kwa tamaa ya uongozi. Umri wa dr ndio muafaka, msidhani kuing'oa ccm ni yelemama. Ujuzi na maarifa tele vinahitajika.vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu
Ni kweli maisha nimagum sana,ila sasa wewe na mwenzako mwampamba bado ni vijana wadogo sana,hivi mmekosa kabisa kazi ya kufanya hadi mkaamua kutumika na wale wazee wasio na mbele wala nyuma kwa maslahi ya kutafuta umaarufu na kuchumia tumbo?
Huwa nawaonea huruma sana,kwa kweli mnasikitisha sana,yule mwenzako kakimbia hadi kazi yake ya ualimu na kuweka matumain ya maisha yake kwa kuwatumikia watu hopless kama mwigulu,inahuzunisha sana
Mkuu umenichekesha sana,Ni lazima maisha yake yawe SUPPLEMENTED na CHADEMA kwa vile bado anasubiri UJAZO kutoka serikalini.
Kwani hufahamu kama ni FIRST LADY KIVULI. Nina wasiwasi atasubiri sana mpaka FOREVER kuwa Tanzania FIRST LADY.
She's dying everytime when she see a photo like this,
Thread inaonekana wazi ni kichefuchefu kwani mlengwa hakaribii hata tone sifa mbaya unayojaribu kumjengea. Ni propaganda chafu.soma thred uelewe sio unakurupuka
Huu ndiyo UJUMBE.Babayako,
Jibu maswali ya msingi niliyokuuliza. Vinginevyo unayosema ni upuuzi. Hata mbuzi ukimpigia Gita hatacheza kwa mdundo, maana kama inning'angania tu hoja zako, ni dalili ya upungufu wa akili, kuwafanya wengine waamini hoja zako tu ndizo za ukweli. Kwanza huna ujasiri, Kama uko jasiri reveal your identity. Tukuone Kama mwamba.
Ni lazima maisha yake yawe SUPPLEMENTED na CHADEMA kwa vile bado anasubiri UJAZO kutoka serikalini.
Kwani hufahamu kama ni FIRST LADY KIVULI. Nina wasiwasi atasubiri sana mpaka FOREVER kuwa Tanzania FIRST LADY.
She's dying everytime when she see a photo like this,
Ha ha haa Dr Slaa leo amenifurahisha dah halafu ndio anategemea akakae pale magogoni!:lalala: