Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Wewe ni kiburudisho cha maccm huna lolote mchumia tumbo mkubwa wewe.sura mbaya kama bibi kizee.umekomaa utadhani unaumwa kwashakoo.

Hapana.. Umekosea mkuu.. Hukupaswa kusema hayo yoote uliyo yasema

Kama kutumiwa na ccm kwa manufaa yake binafsi na chama sioni tatizo lolote maana ni hyari yake

Ni sawa leo hii mtu aanze kukutusi na kukudhihaki eti kwasababu unatumikia ama kutetea chama unachoamini

Kwa lugha nyepesi.. Kama yeye anatumiwa basi hata wewe pia unatumika

Kwa maswala ya sura na ukomavu..ha ha ha hizo zitakuwa ishu zenu binafsi

Ila ni vema ungewasilisha maoni yako ya kwanini slaa asitolewe katka uongozi
 
Slaa ataingia kwenye kitabu cha kumbukumbu cha CCM na JK kwa kumpeleka kasi 2010! Wizi tu ndo uliwaokoa
 
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu

Hivi Katibu Mkuu wa CCM na Mwenyekiti wake ni vijana wa miaka mingapi vile???!
Na KAMANDA wa vijana si Mzee Kingunge au?!
Yaani watu wengine tuliojiunga JF Mwezi JUNE tunashusha hadhi ya JUKWAA si pole pole!
Yaani tangia ka-propaganda kama haka katumike hamuoni kwamba kanakosa kiitikio au?!
Tehe!
 
Slaa akiona hoja rahisi utamuona akileta vijawabu vyake vya kuungaunga ila hoja maana azikimbia. Sijaona akijibu hoja za Mmk wala juliana wala Mwampamba zilizowahi kuletwa hapa hii ni ishara ya undumilakuwili wa huyu mzee mwenye uchu wa madaraka na anaepata kiburi kutoka kwa wapiga kelele wa jf' ngoja wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama utakiona cha mtema kuni.
 
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI

Tehe tehe..tehe...ila hapo kwenye red sio kwamba anakurupuka muombe mzee radhi..

Babu huwa anaoteshwa kama yule mwenzake wa samunge...ndio maana utamsikia mara anasema.....kuna kontena limeingia na makaratasi ya kura, kuna watu wanafuatilia gari, tunajitoa kwenye hili au lile, hatuendi hatujaalikwa..ila wenzake wakikaa na kufikiria mara mbili wanaamua kumtosa. Kama sio tu ishu ya kugombea uraisi...mbona wangeshamtolea uvivu siku nyingi tu.

Mwenzenu EL kila anapotia maguu anaacha neema, nyie kila mkifanya mkutano ni kukung'uta mifuko ya walala hoi.....ndio maana mnapenda maandamano na mikutano kwa sababu inalipa...

Lema yupo standby na makontena ya kukusanya "sadaka" 24/7.

Mungu akupe nini unakusanya mahela..audit unafanya mwenyewe....matumizi mnaandika chochote mnachotaka....HIYO NDIO CHADOMO BANA....a.k.a saccos...a.k.a vikoba.

Na mnavyozidi kunogewa na hizo "sadaka" hatutoshangaa siasa itakapowashinda mkaibukia kwenye kuhubiri, kwa sababu mazoea hujenga tabia.
 
mkuu kazi ya heshima ni ipi
yawezekana hiyo ya kwako ambayo unaamini ni ya heshimaa kumbe siyo ya
heshima hawa vijana waache wafanye kazi ambazo nafsi zao zinawatuma
mapenzi ya mtu hayaingiliwi na mtu yeyote kila mtu hufanya kitu
kulingana na mapenzi yake,

hawa vijana shonza, mwampamba (na wengine kama hao) ni virusi katika taifa..
wamo tayari kufanya chochote (hata kusaliti) ili mradi washibishe matumbo yao
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
Kmanda achana nao saa hizi wapo katika pressure Juliana Shonza usije pata laana ya kamkono
attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada haujitambui kabisa, Dr.Slaa ni tumaini pekee la watanzania waliochoshwa na utawala wa kidhalimu wa ccm..!
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
dada umekuwa mtu wa ajabu sana siku hiz hebu kacheki akili yako kama ipo vzr
 
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI


Uzuri mmoja wa ushauri ni kwamba SI lazima kuubali. Wewe ndugu umetoa ushauri. Inaelekea wanachadema hawautaki. Kwa hiyo labda ni vizuri ukatafuta tu kitu kingine cha kushauri.

Hey, by the way: kuna sera moja katika uwindaji ambayo nadhani wanachadema waliowengi wanaitambua. Na inaelekea wewe unaitumia hapa ukidhani watu ni wajinga sana hawaitambui hiyo mbinu.

If you destroy the leader of the herd, you disperse the herd. Is that it?
 
Hivi kwan huyu babu atagombea tena? Amuulize profesa kila uchaguz kura zinapungua. Asijejidanganya kuwa 2015 zitaongezeka. Bora aachie majank ataumbuka buree

Kama mmegundua kuwa Dr. Slaa si kiongozi bora ni vizuri mkawapa ushauri CHADEMA wamsimamishe yeye kugombea urais ili washindwe vibaya sana.
 
Dr. Slaa is a problem mainly because of Josephine. Kabla ya kuwa na Josephine alikuwa normal tu.

Naunga mkono hoja. Josephine ndio catalyst!

mafi ga mbene...mind your own businesses. kione kwanza ki HAMY-D. Au mnataka tuanze kuzungumza habari za wake zenu hapa walio hai na waliokufa. Nyamazeni. Josephine ameiba shilingi ngapi BOT. Josephine amejiuzia Mgodi wa Kiwira lini? Josephine alibeba mhuri wa serikali kuenda nao hotelini Uswisi tarehe ngapi?
 
Vp imegusa sana bro. Jamaa ni bavicha huyu mpk umejua kapiga viroba coz viroba viko bavicha tu.
 
Hawa ni wafu tu mkuu, huna haja ya kupoteza nguvu na akili zako kuwajibu watembea na tindikali na sumu na mabomu

Hii kitu ya tindikali imeshamalizika leo, Tesha aliwanyima ujira vijana wa CCM waliofanya kazi ya kung'oa mabango ya CDM wakamfanyia unyani.

Mtaonana na Lissu mahakamani, hivi hamjagundua tu kuwa mnapambana na moto wa Mungu, kila mbinu inafichuka.
 
mafi ga mbene...mind your own businesses. kione kwanza ki HAMY-D. Au mnataka tuanze kuzungumza habari za wake zenu hapa walio hai na waliokufa. Nyamazeni. Josephine ameiba shilingi ngapi BOT. Josephine amejiuzia Mgodi wa Kiwira lini? Josephine alibeba mhuri wa serikali kuenda nao hotelini Uswisi tarehe ngapi?

Josephine amelipwa ruzuku ya chadema kwa manufaa yake binafsi. Anatumia resources za chadema kwa biashara zake.
 
Guys, why are you so much concerned with CHADEMA issues? Kama babu anaiharibu chadema nyie kinawauma nini, ilihali mnajulikana wazi ni wanaCCM? Kuharibika kwa CHADEMA si ndiyo faraja yenu ili nyie mfanikiwe? Sasa mnaumia nini? Au hata pilipili za shamba nyie huwa zinawawasha? Mind your business bwana, ya CHADEMA tuachieni CHADEMA wenyewe. Chama chenu kinaporomoka mchana kutwa, lakini hamuhangaikii kukinusuru, kucha kuchwa mnaiongelea CHADEMA.

Lukolo nakutwanga like langu/yangu, haya mamjamaa ma-pinda sana
 
Babayako,
Jibu maswali ya msingi niliyokuuliza. Vinginevyo unayosema ni upuuzi. Hata mbuzi ukimpigia Gita hatacheza kwa mdundo, maana kama inning'angania tu hoja zako, ni dalili ya upungufu wa akili, kuwafanya wengine waamini hoja zako tu ndizo za ukweli. Kwanza huna ujasiri, Kama uko jasiri reveal your identity. Tukuone Kama mwamba.


Mkuu,
1. Bavicha waliwafukuza akina shonza kwa remot control kutoka kwako ndio mana hujawahi kujibu hoja za shonza, za mwampamba, ktb wa bavicha mkoa wa mwanza, tanga na wale wa mbeya. Na hutakaa uweze kujibu sana utaishia kutokwa povu.
2.baregu alichagua nchi kwanza chama baadae ndio mana alibaki kwenye tume tofauti na matamko yenu ya kujitoa na kumtaka aachie ngazi.kumbuka ht ktk bajeti yenu mlisimamia kujitoa
3.barua ya zitto ipo ht hapa jf, justfication ya muhuri wa siri ni kuishiwa hoja, jambo la msingi hapa ni content ya barua pamoja na uwezo wako km mtendaji mkuu wa chama kushindwa ku control issues. Kiufupi barua ilivuja kutoka chadema bila kujali minor cases km hiyo unayojaribu kujitetea. Msimamo wa zittoilikuwa ni lwakatare ajiuzulu nafasi zake kwa sababu anakabiliwa na tuhuma nzito ikiwa ni pamoja na kuandaa mipango haramu ya kumlisha sumu mhariri wa mwananchi denis msaki

4. Hujajibu hoja ya msingi ya ww kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chadema na hilo ndio tatizo lako kujipofusha kwenye mambo ya msingi yanayokuhusu.
 
Back
Top Bottom