Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Huu ni uongo. Josephine anafanya biashara medical kwa mtaji ambao hauna uhusiano wowote na CHADEMA. Sijaongea naye lakini nina vyanzo independent kabisa vinavyoshuhudia kwa uhakika kabisa mtaji wake ni kutoka nje ya chama. Kwanza hata hanijui! Wewe una chanzo gani zaidi ya ubunifu wako na uongo.

Wewe ni mume wake?
 
Ok , ina maana tutaona picha za mabomu Arusha na Mwangosi au?

Vipi leo mnafanya vurugu wapi? manake siku nyingi sana mmekuwa kimya

chilisosi
siamini kama umefilisika kwa hoja kiasi hiki..
mpaka sasa na wewe umeanza "swaga" hizi za kitoto???
duuuuuh kweli ccm inadumaza akili
 
the bold! u have nothing,wewe ni mtupu mno!narudia nyie vjana wa jf wa cdm mnaua chama tena kwa kasi kubwa!think twice ipo ck utanambia
 
Bora umemwambia. Babu hoiiii hawezi kujibu bila kutukana. Punguza jazba mzee Slaa challenge ndogo tu hizi ukishika si utatoa mchozii.
 
nyie vijana!tambueni kuwa dr slaa na mh mbowe ni binadam na si malaika!!kiukweli ukiangalia kwa undani dr slaa ni tatizo katka chama
 
Ni kipi ambacho mleta thread hajaelewa katika majibu ya Dr W.Slaa?.
Inashangaza kuleta mada ambayo imejibiwa kwa ufasaha.
 
hahaha
angalia hoja alizoandika sio kuleta kebehi zako za kitoto hapa!

Naomba nitoke nje ya mada kidogo.. Kwa kuangalia haraka haraka ..mkuu naona umejibu nyuzi zote ambazo ama zinamponda slaa ama kukashifu safari yake.

Napata tabu kukubaliana na hili jambo ila linaweza kuwa la kweli...

Wewe si ndie uliesema ni "mwamba na jasiri" mbona unakuja kwa kutumia I'd nyingine?? Samahani lakini..
 
the bold! u have nothing,wewe
ni mtupu mno!narudia nyie vjana wa jf wa cdm mnaua chama tena kwa kasi
kubwa!think twice ipo ck utanambia

nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kuwa dr. w. slaa na mbowe sio malaika
BUT
kama mtanzania, kama muumini wa demikrasi hatuwezi kukaaa kimya huku watu wanapotosha tu kwa hoja za kitoto kama hizi..
Kama una hoja ilete wenye hekima waijadili
 
the bold! u have nothing,wewe
ni mtupu mno!narudia nyie vjana wa jf wa cdm mnaua chama tena kwa kasi
kubwa!think twice ipo ck utanambia

kama dr. w. slaa ni tatizo kwa chdm toeni hoja zenye mashiko na wanachama watamuwajibisha..
lakini ukisema slaa hafai just bcz alishawishi kufukuzwa kwa shonza.... thats too childish
majority ya members wa chadema walitaka shonza afukuzwe, si slaa peke yake
 
Naomba nitoke nje ya mada
kidogo.. Kwa kuangalia haraka haraka ..mkuu naona umejibu nyuzi zote
ambazo ama zinamponda slaa ama kukashifu safari yake.

Napata tabu kukubaliana na hili jambo ila linaweza kuwa la kweli...

Wewe si ndie uliesema ni "mwamba na jasiri" mbona unakuja kwa kutumia
I'd nyingine?? Samahani lakini..

nice try.!!
jaribu tena
 
Guys, why are you so much concerned with CHADEMA issues? Kama babu anaiharibu chadema nyie kinawauma nini, ilihali mnajulikana wazi ni wanaCCM? Kuharibika kwa CHADEMA si ndiyo faraja yenu ili nyie mfanikiwe? Sasa mnaumia nini? Au hata pilipili za shamba nyie huwa zinawawasha? Mind your business bwana, ya CHADEMA tuachieni CHADEMA wenyewe. Chama chenu kinaporomoka mchana kutwa, lakini hamuhangaikii kukinusuru, kucha kuchwa mnaiongelea CHADEMA.

Why so much concerned with CHADEMA issues?
You know what?....mti wenye matunda baba, hauwachi...............................................!!
 
ben saanane we ni tatizo kubwa cdm,unaiua cdm taratibu,ni mnafiki,mfitini na mzandiki
Ilitegemea mirija na mabomba ya maziwa,umeyakosa cdm sasa upo chama cha mimfu unalia na Ben,utalia sana ila uko kwenye taka ndio hadhi yako.
 
Tatizo la babu ni woga, anawaogopa sana vijana wanaokuja kasi na anajua kuwa hana tena sifa za kugombea Urais

Kaogopa wakati kajibu? Toa nawe hoja zako tusikie tena. Ukweli ni kwamba Tz tumezoea kutumia hisia bila tafiti na hii italigharimu taifa letu. Iwe ni wakati wa CCM au wakati wa chama kingine chochote hata bila chama kama tutajafika huko cku moja.
 
narudia tena vijana wengi wa cdm humu jf ni washahabiki tu,hamkijui chama,ni wahuni ndo maana hamna point za maana!!mnakiua chama taratibu,mnapayukapayuka tu!waachie wenye uchungu kama kamamda mawazo,tumaini makene ,zitto wafanye kazi la sivyo cdm itasambaratika vpande vpande
Nyie njaa ndio inawafanya muwepo jf,mnakuja mjin na jembe mmekuja kulima lami 2mbaf,akil yako inawaza mihogo huna tofauti na mkasi..
 
Unaulizia Mbege kibosho........babu anapewa good time na mtoto Jozevine...mamaa yupo kikazi zaidi..

Ukiweza kuziona ndoto zake kila akilala ni jinsi ya kuingia magogoni, mambo ya red carpet, vimulimuli, body guard...na unawajua tena kina "ishomire"

Msishangae baada ya 2015 babu akishaangukia pua na ndoto kuyeyuka, bi mdang'a ataanza kuimba...nilipe nisepe...nilipe nisepe....
Hivi kile kidingi cha magogoni kilichomrubuni Shoza kina bib wangapi vile...
 
Hahaha Dr. Slaa ameandika maneno "hofu ya Mungu".... Hahaha Mungu yupi huyo?
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
Umeloba step kwenye siasa ukiwa mdogo sana! Take it from me, utakuja kujuta ulivyo kubali kutumika kijinga, wewe huko tena kwenye kundi la wanasiasa, bali uko kwenye kundi la vibaraka, pole sana kwa kucheza magarasa
 
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI

=========MAJIBU KUTOKA KWA DR. SLAA==========

Umesahau aliposema Atahakikisha nchi hii haitawaliki,pia aliwashawishi wananchi wavamie ngome ya silaa cent.police station watu wakaumia yeye anakula bata.HUYO NDIO SILAA ORIGINAL SIO COPY
 
Back
Top Bottom